Tetesi: CHADEMA kuandaa mkutano mkubwa wa hadhara kwa ajili ya kutangaza msamaha kwa Mdee na wenzake

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,012
20,685
Kuna tetesi kwamba Chadema wameamua kuweka "silaha chini", na muda si mrefu watatangaza msamaha kwa Mdee na wenzake.

Mkutano mkubwa wa hadhara unapangwa ili kutangaza msamaha huo kwa msingi huohuo wa maridhiano, na wao wajikoshe kwamba hata kwao Kuna wema (charity begins at home).

Itakumbukwa kwamba wabunge hao ni wake na marafiki wa ndani sana wa viongozi hao, na kuna tetesi kwamba huwa wanafaidi mishahara yao, japo wakiwa jukwaani wanawapinga.

Baadhi ya viongozi waandamizi wa CDM wanasema kwamba Mdee na wenzake wanaendesha vita ngumu, na madhubuti, kwa hiyo ni bora tu watangaze msamaha.

Kwa mara ya kwanza mawakili wa GPO wamekata tamaa kutokana na Mdee na wenzake kukaa katika njia ya ukweli muda wote.
 
Kuna tetesi kwamba Chadema wameamua kuweka "silaha chini", na muda si mrefu watatangaza.msamaha kwa Mdee na wenzake.

Mkutano mkubwa wa hadhara unapangwa ili kutangaza msamaha huo kwa msingi huohuo wa maridhiano, na wao wajikoshe kwamba hata kwao Kuna wema (charity begins at home).

Itakumbukwa kwamba wabunge hao ni wake na marafiki wa ndani sana wa viongozi hao, na kuna tetesi kwamba huwa wanafaidi mishahara yao, japo wakiwa jukwaani wanawapinga.

Baadhi ya viongozi waandamizi wa CDM wanasema kwamba Mdee na wenzake wanaendesha vita ngumu, na madhubuti, kwa hiyo ni bora tu watangaze msamaha. Kwa mara ya kwanza mawakili wa GPO wamekata tamaa kutokana na Mdee na wenzake kukaa katika njia ya ukweli muda wote.

Covid 19 hawajawahi kuomba msamaha watasamehewaje. Kumbuka kamati kuu iliwafukuza na barakuu likawafukuza pia. Sasa msamaha lazima uanzie kamati kuu uje baraza kuu.
 
Mkuu, mambo ya aibu hayaanikwi mapema, itashtukizwa tu Mdee Yuko jukwaani, anaitwa anatangaziwa msamaha, anahutubia. Ngoma imekwisha.
Nadhani kesi hii itaisha kama nyinginezo na soon wanakuja kukubaliana msamaha na kuendelea kuwepo kwenye chama hiki pendwa na watagombea Tena ubunge na watakaokosa pia kurejeshwa viti Maaluma.
Siasa zisizo na uhasama zimerudi.
 
Mkuu, mambo ya aibu hayaanikwi mapema, itashtukizwa tu Mdee Yuko jukwaani, anaitwa anatangaziwa msamaha, anahutubia. Ngoma imekwisha.

Atasamehewa na Nani? Baraza kuu ndilo linatakiwa likae litoe msamaha. Halafu Kuna wengine walianza kuinanga CHADEMA, hao msamaha unawapa kivipi?
 
Kuna tetesi kwamba Chadema wameamua kuweka "silaha chini", na muda si mrefu watatangaza.msamaha kwa Mdee na wenzake.

Mkutano mkubwa wa hadhara unapangwa ili kutangaza msamaha huo kwa msingi huohuo wa maridhiano, na wao wajikoshe kwamba hata kwao Kuna wema (charity begins at home).

Itakumbukwa kwamba wabunge hao ni wake na marafiki wa ndani sana wa viongozi hao, na kuna tetesi kwamba huwa wanafaidi mishahara yao, japo wakiwa jukwaani wanawapinga.

Baadhi ya viongozi waandamizi wa CDM wanasema kwamba Mdee na wenzake wanaendesha vita ngumu, na madhubuti, kwa hiyo ni bora tu watangaze msamaha. Kwa mara ya kwanza mawakili wa GPO wamekata tamaa kutokana na Mdee na wenzake kukaa katika njia ya ukweli muda wote.
Btw hii inaonyesha kbs kua CDM ni wakubwa!! Yaan wapo on trending whole country!! Iwe wana CCM, act wanaharakati mbalimbali. Na hii ndio maana ya ukubwa!!
 
Nadhani kesi hii itaisha kama nyinginezo na soon wanakuja kukubaliana msamaha na kuendelea kuwepo kwenye chama hiki pendwa na watagombea Tena ubunge na watakaokosa pia kurejeshwa viti Maaluma.
Siasa zisizo na uhasama zimerudi.
Walichokifanya mawakili ni kufupisha kesi ili uamuz utolewe mapema.
Kumbuka hii kesi walishtakiwa cdm, so uamuzi utatolewa kwa kuzingatia wale walokwisha hojiwa.
Usifikiri ni nyepesi hivyo
 
Back
Top Bottom