Kiberiti Kidogo
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 575
- 915
Hivi serikali hii na CDM ni nani anawataalamu wa mambo ya kiuchumi kuliko mwingine?!?
Nimesoma maoni ya mkutano wa CHADEMA juu ya uchumi wetu.
Kuna mambo ambayo hayana ubishi na ni kweli.
Serikali kana ni sikivu ikubali tu na kujirekebisha.
Biashara karibia 7,000 zimefungwa( mwanzoni mwa mwaka huu kulingana na Dr Mpango ilikuwa 2,000)
Mabenki yametikisika, amana zimetetereka.
TRA makusanyo yamedidimia, ni dhahiri hilo kutokana na biashara kufungwa!
Sasa kukua huku kwa uchumi kwa 7% kwetu sisi tulio katika sekta binafsi inatutia mashaka huko tuendako.
Mi ni CCM progressive, na chama hakinilipii buku saba.
Tuzingatie ushauri ili tunaojitegemea tufaidike na nchi yetu.
Mkuu mimi niliyejiajiri, biahara yangu nikiifunga kutokana na hali hii ya kudoroa biashara, TRA hawataKusanya kodi, na watu wanakosa ajira.Good for you Mr. Jidu La Mabambasi kwa hatimaye kukubaliana na mawazo ya wapinzani kuwa hali inadorora si kwa pororjo za watawala kuwa wanaolalamika ni wapigadili, bali kwa sababu ya uchumi wetu kudidimia.
North Korea?Bado Mnaendelea Kuzindua Mabomba Ya Maji Na Vitanda Vya Disp Na Madawati Eti Unajifananisha Na N Korea Anayetengeneza Nykulia,jipange Kijana Ndyo Urudi Hapa
- Amelaani TRA kuipiga kodi kubwa Acacia kuliko bajeti ya nchi. Kwani hiyo kodi ni ya mwaka mmoja si ni malimbikizo na interest ya miaka zaidi ya 15?
- Amesema Tanzania itasusiwa na wawekezaji. Mbona North Korea imesusiwa na dunia lakini China inafanya nao biashara?
- Kasifia awamu ya nne tulikuwa tunaenda vizuri kiuchumi. Vinavyouzwa nje ni madini, kahawa na korosho. Kama kwenye madini nchi ilikuwa haikusanyi kodi na inapata asilimia 0 ya mauzo. Na inawezekana hata katika exports nyingine za nchi mambo yalikuwa hayo hayo. Anazungumzia uchumi hewa au ni uchumi gani?
- Nchi yenye uchumi hewa inaendeshwa na misaada. Bahati mbaya wanaoiba madini sio wanaotoa misaada. Ina maana kwa mwendo iliokuwa inaenda Tanzania watoa misaada wangechoka na hapo ndio joto ya jiwe ingeonekana.
North Korea anae mpiga mkwara US? umlinganishe na cc tunao pewa net za msaada
Kwahio kuji amin ni suluhisho la kiuchumiBahati nzuri tuna rais anaejiamini.