Thubutu yao, itakuwa kosa kubwa na sababu ya sisi wengine kuanzisha CCJ...Hivi CDM watakuwa tayari kumpokea EL?
Thubutu yao, itakuwa kosa kubwa na sababu ya sisi wengine kuanzisha CCJ...Hivi CDM watakuwa tayari kumpokea EL?
Kama ni kweli EL ana mpango wa kuhamia CDM,
Basi JK itabidi ampiku kwa kuwakubalia mapendekezo yao otherwise mambo yanaweza kuja kumgeuka jumla,hivi anajuwa EL ana nguvu kuliko yeye ndani na nje ya chama cha magamba.
Naona Slaa katoroka kikao ..mwanzoni alikuwepo kwenye list..hawezi siasa za uso kwa uso ila mafichino
![]()
picha kwa hisani ya michuzi. Kaazi kwako.
Sio kwamba EL ana nguvu ni udhaifu au management style ya JK ndio unamfanya ajione na nguvu.