CHADEMA Kidedea Urais SAUT

CHADEMA Kidedea Urais SAUT

Han'some

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
283
Reaction score
76
Habari kutoka SAUT, Mwanza, ni kwamba mgombea urais wa SAUT[CHADEMA] Bw. Mcheshi amepata ushindi wa kishindo na amemgaragaza vibaya mgombea wa C.C.M. Bw Peter

*Itakumbukwa kuwa jana, C.C.M. waliripotiwa kumwaga kiasi cha shs mil 8 kuwarubuni wapiga kura.
 
Hongereni makamanda wote mliofanikisha ushindi huo,huo si ushindiwake bali kwa Cdm nzima.Wembe uwe huohuo mpaka 2015
 
Habari kutoka SAUT, Mwanza, ni kwamba mgombea urais wa SAUT[CHADEMA] Bw. Mcheshi amepata ushindi wa kishindo na amemgaragaza vibaya mgombea wa C.C.M. Bw Peter

*Itakumbukwa kuwa jana, C.C.M. waliripotiwa kumwaga kiasi cha shs mil 8 kuwarubuni wapiga kura.

hahaha!

chama cha magaidi (ccm) vipi video ya rwakatare hawajaileta huko ikasaidia ushindi?
 
St Augustine hawana mchezo na Elimu, mkichochea migomo mtaishia kupata shahada za kina mulugo! Semister ya kwanza inaisha salama bila ya migomo nadhan hali si mbaya sana vyuon ukilinganisha na msimu ulopita!
 
Mungu ibariki SAUTU Mungu ibariki CHADEMA ccm na kesi zao za kupika kwa kutumia hela za walipa kodi zitawatokea puani. Nyie mko na hela na ugaidi wenu sisi WAna CHADEMA tuko na Mungu.
 
Makamanda wa SAUT ;

Kwanza kabisa niwapongeze kwa ushindi wa kishindo; Hongereni sana kwa kupeperusha bendera ya chama cha UKOMBOZI.

Rai yangu kwenu, ni kuwakumbusha ku-copy and paste smartly kauli mbiu ya wapambanaji wa Arusha "Kula CCM, kura CHADEMA".

Tupo pamoja !!!
 
Mungu ibariki SAUTU Mungu ibariki CHADEMA ccm na kesi zao za kupika kwa kutumia hela za walipa kodi zitawatokea puani. Nyie mko na hela na ugaidi wenu sisi WAna CHADEMA tuko na Mungu.

Mkuu gwanda1 unamaanisha nini hapo kwenye red?
 
Tanzania peoplezzzzzzzzzzzz,labda wahalibu uchaguzi,lakini taratibu ikulu tunasoge,na huyo rais wa chuo mwaka 2015 tunampa ubunge
 
Wakuu sasa ni dhahili kuwa CCM inazidi kukimbiwa na wasomi wa elimu mbalimbali,kama mnakumbuka juzi nilikuja na uzi nikiwaletea kinachoendelea katika uchaguzi wa nafasi ya urais wa chuo kikuu cha mtakatifu Augustino (SAUT)Mwanza chuo chenye wanafunzi 13500 kwamba uchaguzi huo umechukua sura ya uchama kati ya CHADEMA VS CCM na kwamba CCM ilikuwa imemwga fedha zaidi ya shilingi milioni 8 ili kuhakikisha kada wao Peter Bega anashinda zidi ya kamanda Donavankamwene Mcheshi,,kama ilivyokawaida nguvu ya umma imetoa majibu kwa magamba kwamba fedha sio chanzo cha furaha bali matatizo baada ya mwanachama wao bwna Bega kuambulia kura za aibu na kamanda Mcheshi kuibuka na ushindi mzito,pongezi nyingi kwa wanaSAUT,CDMSAUT na timu ya M4C kanda ya ziwa iliyoongozwa na kamanda Alphonce Mawazo,kwa kutoa mbinu na mikakati iliyofanikisha ushindi bt wito Wenje akumbuke na aone umuhimu wa CDMSAUT kwa kukumbuka jinsi walivyojitoa kumsaidia katika kampeni zake za 2010 .
CHADEMA hatujawi KUSHINDWA,TULISHINDA,TUMESHINDA na TUTASHINDA DAIMA
  • :rockon:
.

  • :amen:
    • :yo:


 
Hongera kwa kushinda uchaguzi. Mh. Weje alishiriki katika mchakato wa kumpata mshindi ila nadhani hujautambua ushiriki wake. Nashukuru kwa taarifa ila toa (futa au uondoe kabisa) lawama kwa Mh. Mbunge wetu kuwa hakuwakumbuka.
 
Back
Top Bottom