CHADEMA Kidedea Urais SAUT

CHADEMA Kidedea Urais SAUT

Halafu chuo chenyewe cha kanisa unategemea nini?
Mvishukuru vyuo vya kanisa vinawaokoa hata mmepata kaupeo ka kuingia mitandaoni na kuvitukana, kanisa halibagui, hata wavaa vipedo na wafuga ndevu wanaruhusiwa kutoa ujinga wao wa elimu ahera kwenye vyuo vya kanisa.
 
Chadema pale tatizo wamejaa division 3,4 na zero wee unategemea nini

Hizo division 3,4 na 0 zilipatikana kwenye shule zenu za kata. Afu acha unafiki chuo gani kinachukua division 0? Au hujapitia elimu ya chuo na hivyo hujui lolote kuhusu udahili wa vyuo. Kumbuka SAUT ni mojawapo ya vyuo vinavyotoa elimu bora

Halafu chuo chenyewe cha kanisa unategemea nini?

Bado mnaendelea kupanda mbegu ya udini? Najua dhamira yako inakusuta kwa upumbavu uliouandika hapo, kwan hakuna waislamu wanaosoma pale... Tumia akili kabla hujaandika.
 
wanataaluma wa sasa wamekuwa wapumbavu.
wanafikiria uchama badala ya utaifa.
vyuo vikuu sio sehemu za kuongozwa na wanasiasa ila kuongoza na wanataaluma. kitendo cha kushabikia vyama vyuoni unaonesha ni wasomi wa namna gani tulionao hapa nchini.
 
Habari kutoka SAUT, Mwanza, ni kwamba mgombea urais wa SAUT[CHADEMA] Bw. Mcheshi amepata ushindi wa kishindo na amemgaragaza vibaya mgombea wa C.C.M. Bw Peter

*Itakumbukwa kuwa jana, C.C.M. waliripotiwa kumwaga kiasi cha shs mil 8 kuwarubuni wapiga kura.

This is how it is supposed to be. Wao wakati wanapiga propaganda za kuichafua CHADEMA jibu letu ni kupiga kura kwa CHADEMA katika kila uchaguzi hata kama ni wa ngazi ya chini kiasi gani. Kwa kipindi kama hiki, ushindi ni kila kitu.
 
Kubwa tulichofanya hapa saut kula ccm, kura cdm.. Na hakika jaman msifanye mzaha hela za ccm tumezitumbua binafsi zimenisaidia kuongezea karo ya semista ya mwisho
 
Ahh, mimi nilijua CCM wataumia, maana CCM inakufa, ila it is dying hard, kicking dying horse kicks but, it is dying anyway.
 
Kubwa tulichofanya hapa saut kula ccm, kura cdm.. Na hakika jaman msifanye mzaha hela za ccm tumezitumbua binafsi zimenisaidia kuongezea karo ya semista ya mwisho
Hizo hela ni kutumbua kwa kwenda mbele, kura ng'ooooo.
 
Kila hatua inayopigwa na chadema ni kwa juhudi za watu wanaojitolea zaidi<kwa usimamizi mkuu wa sir God> kuliko wanaotumiwa kuhujumu mabadiliko kwa Tsh50000,asanteni wana SAUTI
 
wanataaluma wa sasa wamekuwa wapumbavu.
wanafikiria uchama badala ya utaifa.
vyuo vikuu sio sehemu za kuongozwa na wanasiasa ila kuongoza na wanataaluma. kitendo cha kushabikia vyama vyuoni unaonesha ni wasomi wa namna gani tulionao hapa nchini.
Wanafikiria chama kinachotetea umma. Upumbafu ni kutotambua wanafunzi wanachofanya.
 
Shilingi million nane zingetosha kabisa kuimarisha mahitaji ya shule moja hapo Mwanza na hiyo ingaliinua hadhi ya taifa. CCM ni uozo mtupu. Watanzania tuendelee mbele wakitoa hiyo hela usisahau kuwa ni kodi yako hivyo ni haki yako sasa wewe: "Kula CCM kura CDM" Hilo ndilo fundisho tosha kwa hawa wezi wasio na aibu.
 
Pamoja na mbwembwe, Rushwa, propganda Chafu hatimae Vijana wasomi wamefanya kile kinachotarajiwa.
Hatimae devocatus ashinda uchaguzi SAUT
 
Hongera Chadema hongera Devocatus wasomi wanajitambua pesa za magamba msirudishe Peoples.......z
 
Kwanzia vijijini mpaka vyuo vikuoo...down town hapo vipi......
 
Respect, hata TANU iliimarika kuanzia vyuo vikuu,,,LONG LIVE CHADEMA
 
Back
Top Bottom