CHADEMA kidedea tena Arusha

CHADEMA kidedea tena Arusha

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760
Ile kesi ya kipumbavu iliyokuwa inasimamiwa na mkuu wa Wilaya John Mongella na mkuu wa Mkoa wa Arusha wakidai naibu meya Msoffe na na diwani wa Levelosi mhe. Nanyaro waliwapiga mgambo na kuwabaka imefutwa baada hakimu kusema ni kati ya kesi za kipuuzi kuwahi kufunguliwa mahakamani hapo.

Ikumbukwe mkuu wa mkoa wa Arusha tarehe 07.08.2014 akiongea na vyombo vya habari alisema lazima madiwani hao washilishwe adabu ili iwe fundisho kwa viongozi wengine.

Hongera CHADEMA, Hongera Nanyaro na Msoffe.
 
peoplessssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss
 
Ni kweli kabisa Crashwise kama alivyoamuru hakimu hiyo ilikuwa ni kesi ya kipumbavvu kabisa ambayo hata mimi sikupata kuona kesi ya namna hiyo hapo kabla.

Congrats kamansa Nanyaro Ephata na Prosper Msoffe. Siku nyingine hayo mamigambo yakiwaletea za kuleta muyatandike vizuri ili yakamsimulie John Getrude.
 
Last edited by a moderator:
Siku zote Mungu hamuachi mwenye haki. Viva CHADEMA viva wanachedema. FUTA DELETE KABISA CCM ARUSHA.
 
Ike kesi ya kipumbavu iliyokuwa inasimamiwa na mkuu wa wilaya John Mongella na mkuu wa mkoa wa Arusha wakidai naibu meya Msoffe na na diwani wa Levelosi mhe. Nanyaro waliwapiga mgambo na kuwabaka imefutwa baada hakimu kusema ni kati ya kesi za kipuuzi kuwahi kufunguliwa mahakamani hapo.

Ikumbukwe mkuu wa mkoa wa Arusha tarehe 07.08.2014 akiongea na vyombo vya habari alisema lazima madiwani hao washilishwe adabu ili iwe fundisho kwa viongozi wengine.

Hongera chadema, Hongera Nanyaro na Msoffe.

Na bado
Watashindwa sana
 
Ni wajinga na wapumbavu tu ndio wangeweza kukubaliana na upuuzi huo ambao wao waliuita eti "kesi"

Nashindwa hata kusema hongera maana hakuna jambo lolote ambalo hatukustahili kiasi baada ya kulipata tupewe hongera

Ninachoweza kusema ni kwamba HAKI IMECHUKUA MKONDO WAKE

BACK TANGANYIKA
 
Kiboko ya John Mongella ni Nazir Karamagi...............baas

https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/9212-karamagi-amnyanganya-mongela-mke.html
 
mahakama imetenda haki!

hakimu hata kama angekuwa anaangukaga asingeamua tofauti maana hao jamaa pamoja na mkuu wa mkoa walifika siku moja tu mahakamani na kuzomewa sana na makamanda tangu hapo kila ilipokuwa inatajwa hawakusogeza pua mahakamani hapo...
 
Leo mnawapongeza Mahakimu kwa vile wamefanya mnachokipenda? Kweli machadema ni mataahira
 
ike kesi ya kipumbavu iliyokuwa inasimamiwa na mkuu wa wilaya john mongella na mkuu wa mkoa wa arusha wakidai naibu meya msoffe na na diwani wa levelosi mhe. Nanyaro waliwapiga mgambo na kuwabaka imefutwa baada hakimu kusema ni kati ya kesi za kipuuzi kuwahi kufunguliwa mahakamani hapo.

Ikumbukwe mkuu wa mkoa wa arusha tarehe 07.08.2014 akiongea na vyombo vya habari alisema lazima madiwani hao washilishwe adabu ili iwe fundisho kwa viongozi wengine.

Hongera chadema, hongera nanyaro na msoffe.

tumeanza na mungu tupo na mungu na tutamalizana na mungu chadema ni mpango wa mungu mwaka huu tutaelewana tuu
 
Back
Top Bottom