CHADEMA kidedea tena Arusha

CHADEMA kidedea tena Arusha

Mkishindwa kutawala na kuongoza nchi anzisheni fujo kila kona ili mpate namna ya kutumia mabavu kukandamiza haki
 
inaelekea nchi yote itaiasi ccm
 
Hawa CCM ni Wajinga sana, eti walibaka? hivi wanajua tafasiri ya "kubaka" kisheria?

Hayo ni matumizi mabaya ya madaraka...
 
Huko ngoma nzito and I guess next year no vote to CCM will increase twice
 
CCM wanapenda sana kujidhalilisha hasa kwenye hivi vyombo vya kutoa haki - wanajisahau wanafikiri vyote hivyo ni mali ya Lumumba.
 
Ahahahaha,"kesi kipuuzi"mkuu Crashwise chukua like 100
 
Kiboko ya John Mongella ni Nazir Karamagi...............baas

https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/9212-karamagi-amnyanganya-mongela-mke.html
Kumbe ndio maana huyu jamaa yuko vilee ! Kunyang'anywa mke ni sawa na kufedheheshwa , hata hivyo muonekano wake hauruhusu kuwa na demu mzuri , hivi vyeo vinalinda mengi sana !
 
Misukule wa CHADEMA mna vituko sana.
Siku mabwana zenu wakishinda kesi mnaisifia mahakama na mahakimu. Wakishindwa mnaanza kulalamika kuwa mahakama zinatumika na CCM. Akili zenu bado kupevuka.
 
Watanzania tuchangamkeni ukombozi wa taifa letu umewadia sasa. Ni dhahiri sana kwamba ccm inakata roho na ndiyo maana inatapatapa. Kujaza watu mtandaoni kina Lizaboni, msalani, simiyu yetu ili kujaribu kuchafua CDM na kukifufua, bado wameshindwa. Mauaji ya raia, bado yamekwama, Kubambikiza kesi kumekwama, kutumia vitisho na ubabe ndiyo ililyobaki na ambayo CDM wanapangua na kuzidi kuchanja mbuga. Sasa wanatunga hadhith za mtoto mpumbavu kwamba eti mgambo wamebakwa na viongozi wa cDM ili kuongeza uzito wa kesi, bado mahakama zina macho zimepangua.

Sas ccm itaponea wapi? Mungu Ilaze ccm mahala pabaya kuzimuni.


Ile kesi ya kipumbavu iliyokuwa inasimamiwa na mkuu wa Wilaya John Mongella na mkuu wa Mkoa wa Arusha wakidai naibu meya Msoffe na na diwani wa Levelosi mhe. Nanyaro waliwapiga mgambo na kuwabaka imefutwa baada hakimu kusema ni kati ya kesi za kipuuzi kuwahi kufunguliwa mahakamani hapo.

Ikumbukwe mkuu wa mkoa wa Arusha tarehe 07.08.2014 akiongea na vyombo vya habari alisema lazima madiwani hao washilishwe adabu ili iwe fundisho kwa viongozi wengine.

Hongera CHADEMA, Hongera Nanyaro na Msoffe.
 
Ile kesi ya kipumbavu iliyokuwa inasimamiwa na mkuu wa Wilaya John Mongella na mkuu wa Mkoa wa Arusha wakidai naibu meya Msoffe na na diwani wa Levelosi mhe. Nanyaro waliwapiga mgambo na kuwabaka imefutwa baada hakimu kusema ni kati ya kesi za kipuuzi kuwahi kufunguliwa mahakamani hapo.

Ikumbukwe mkuu wa mkoa wa Arusha tarehe 07.08.2014 akiongea na vyombo vya habari alisema lazima madiwani hao washilishwe adabu ili iwe fundisho kwa viongozi wengine.

Hongera CHADEMA, Hongera Nanyaro na Msoffe.
Chadema Arusha mbona mnaidhalilisha ccm namna hii jamani ? Siyo fresh bhana .
 
Back
Top Bottom