peoplessssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss
Maccm ni majinga hayana akili, yanatumia nguvu dhidi ya wanaotumia vichwa kufikiri
Nakala iwafikie mara moja wafuatao; Lizaboni laki si pesa MSALANI Simiyu Yetu
& Co. Kwa hatua za haraka.
Siku zote Mungu hamuachi mwenye haki. Viva CHADEMA viva wanachedema. FUTA DELETE KABISA CCM ARUSHA.
Leo mnawapongeza Mahakimu kwa vile wamefanya mnachokipenda? Kweli machadema ni mataahira
Kumbe ndio maana huyu jamaa yuko vilee ! Kunyang'anywa mke ni sawa na kufedheheshwa , hata hivyo muonekano wake hauruhusu kuwa na demu mzuri , hivi vyeo vinalinda mengi sana !Kiboko ya John Mongella ni Nazir Karamagi...............baas
https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/9212-karamagi-amnyanganya-mongela-mke.html
Ile kesi ya kipumbavu iliyokuwa inasimamiwa na mkuu wa Wilaya John Mongella na mkuu wa Mkoa wa Arusha wakidai naibu meya Msoffe na na diwani wa Levelosi mhe. Nanyaro waliwapiga mgambo na kuwabaka imefutwa baada hakimu kusema ni kati ya kesi za kipuuzi kuwahi kufunguliwa mahakamani hapo.
Ikumbukwe mkuu wa mkoa wa Arusha tarehe 07.08.2014 akiongea na vyombo vya habari alisema lazima madiwani hao washilishwe adabu ili iwe fundisho kwa viongozi wengine.
Hongera CHADEMA, Hongera Nanyaro na Msoffe.
Chadema Arusha mbona mnaidhalilisha ccm namna hii jamani ? Siyo fresh bhana .Ile kesi ya kipumbavu iliyokuwa inasimamiwa na mkuu wa Wilaya John Mongella na mkuu wa Mkoa wa Arusha wakidai naibu meya Msoffe na na diwani wa Levelosi mhe. Nanyaro waliwapiga mgambo na kuwabaka imefutwa baada hakimu kusema ni kati ya kesi za kipuuzi kuwahi kufunguliwa mahakamani hapo.
Ikumbukwe mkuu wa mkoa wa Arusha tarehe 07.08.2014 akiongea na vyombo vya habari alisema lazima madiwani hao washilishwe adabu ili iwe fundisho kwa viongozi wengine.
Hongera CHADEMA, Hongera Nanyaro na Msoffe.