Kwa kuwa kuna mahakimu dhaifu wanaotumiwa na ccm,ndiyo unataka panapotokea mahakimu waadilifu wasitoe appreciations? Au kwa kuwa kuna mahakimu watenda haki, ndiyo unataka kwa mgongo wao wawasifie hata wale mnaowatumia kuhujumu? CDM siyo mbumbumbu kama ccm msiokuwa na uwezo wa kufanya kuchambua hoja.
For CDM, a spade shall never be a big spoon. PERIOD!.
For CDM, a spade shall never be a big spoon. PERIOD!.
Misukule wa CHADEMA mna vituko sana.
Siku mabwana zenu wakishinda kesi mnaisifia mahakama na mahakimu. Wakishindwa mnaanza kulalamika kuwa mahakama zinatumika na CCM. Akili zenu bado kupevuka.