Alhaji Kasisiko hapaswi kukikwepa kikombe. japo kwa sasa lazima atalipa fadhira kwa kijana wake kutokana na ufadhiri aliokuwa anaupata, akiachwa atashindwa kufanya maamuzi kwa mujibu wa katiba.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Wilayani Kasulu mkoani Kigoma kimewavua nyadhifa viongozi wake watatu wa jimbo la Kasulu mjini kwa tuhuma za kuhujumu mkutano wa Katibu mkuu chama hicho Dr Wilbroad Slaa katia ziara yake mkoani humo
Mwenyekiti wa Chadema wilayani Kasulu Bw Rajabu Bujoro ameiambia Redio Kwizera kuwa maamuzi hayo yamefikiwa katika kikao cha kamati ya ushauri ya chama hicho baada ya kubaini kuwa viongozi hao walichochea vurugu katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kiganamo December 8 mwaka huu.
Amewataja waliovuliwa madaraka kuwa ni Bw Lukas Gervas aliyekuwa katibu, Bw Joshua Kaijage aliyekuwa katibu mwenezi pamoja na Masoud Bigangika aliyekuwa mratibu wa vijana wote kutoka jimbo la Kasulu mjini na kwamba watapewa siku 14 ili wajieleze na wakishindwa watavuliwa uanachama
Hata hivyo Mwenyekiti wa Chadema Mkoani Kigoma Alhaji Jafar Kasisiko amesema kuwa maamuzi hayo yanakiuka Katiba ya Chama hicho kwa kuwa wilaya haina mamlaka ya kinidhamu kwa viongozi wa Jimbo isipokuwa baraza la Mkoa
Mtoi bila shaka hili zimwi ambalo limemchanganya Slaa akaamua kuja na ahadi ya kuhalalisha Gongo.Alhaji Kasisiko hapaswi kukikwepa kikombe. japo kwa sasa lazima atalipa fadhira kwa kijana wake kutokana na ufadhiri aliokuwa anaupata, akiachwa atashindwa kufanya maamuzi kwa mujibu wa katiba.
kwa style hii chadema mpaka kufika uchaguzi,atakuwa amebaki mzee mtei mwenyewe!
Karama!..????sasa karama inakuwaje kwa taarifa,iwe ni habari ya kweli ama ya uongo .