Halafu nimegundua wale washabiki wengi wa Chadema ni watu wanaopenda ubaguzi, udini, na Ukabila. Hiyo kweli, CCM wakimsimamisha Mkatoliki utaona watu wote hapa wanatoka Chadema na kwenda CCM. Sasa hivi, kuna wanachama hao hao wanaoipenda Chadema, wanaandika kwamba Lowassa ndiye awe mgombea wa CCM 2015 ili wapate kumpigia kura.
Dr. Slaa kaingizwa mkenge na hawa jamaa.
usipende kujipachika majina tu..... tafuta maana kwanza