johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Kiukweli Chadema itaongozwa na wanachadema wenyewe kama ilivyo UDP ya mzee Cheyo, TLP ya Mrema, Nccr ya Mbatia na Chauma ya mzee Rungwe ambavyo vinaongozwa na wanachama wa vyama husika.
Ya ngoswe mwachie ngoswe.
Sherehe siyo yako kiherehere na masufuria na masinia cha nini?
Kwa niaba yangu mwenyewe na wanalumumba tunawatakia makamanda uchaguzi mwema!
Siasa siyo uadui
Maendeleo hayana vyama!
Ya ngoswe mwachie ngoswe.
Sherehe siyo yako kiherehere na masufuria na masinia cha nini?
Kwa niaba yangu mwenyewe na wanalumumba tunawatakia makamanda uchaguzi mwema!
Siasa siyo uadui
Maendeleo hayana vyama!