CHADEMA itakufa kabla ya uchaguzi ujao

CHADEMA itakufa kabla ya uchaguzi ujao

PIX-15.jpg
 
donald trump alikua sahihi aliposema we need to be recolonized coz hatujui maana ya democracy . kaka magufuli anatekeleza wajibu serikali hamna extraordinary
 
1. Spidi ya JPM
Tangu raisi aingie madarakani amekuwa akijibu hoja nyingi ambazo wapinzani walikuwa wakizipigia kelele. Hivyo uwepo wa Magufuli kwa sasa umefanya watanzania waamini kuwa mabadiliko yanaweza kufanyika hata ndani ya CCM hivyo miaka ijayo ni wazi kuwa watanzania hawataona haja ya kuijaribu upinzani ilhali wanapata majibu ya maswali yao kutoka kwa CCM.
Hebu soma hapaa ili upate jibu la hapo kwenye red . >>>> Magufuli named in Kova, Nzowa court wrangle
Hivi watu wengine hamna hata kumbukumbu, hebu kamuulize Mzee Wassira alivyosema cdm itakufa kabla ya 2013, sasa anatawaliwa na cdm hao hao jimboni mwake. Kumbuka kama tallying centres zisingefungwa na Mzee wa tume 'kusoma matokeo kadri alivyokuwa analetewa' labda na wewe ungelikuwa chini ya mtawala tofauti tofauti ni yeye angekuwa 'kiongozi'!
http://www.thecitizen.co.tz/News/Ma...ngle/-/1840340/3081948/-/ay74uaz/-/index.html
 
Kutokana na spidi aliyoanza nayo Mh JPM ni wazi kwamba nguvu ya chama kikubwa cha upinzani kitafifia na kupotea midomoni mwa watu kutokana na sababu mbalimbali.

Ni ukweli usiopingika kuwa JPM ndani ya siku 100 ameweza kuonesha muelekeo mzuri kwa wananchi ambapo utafiti uliofanywa unaonesha wananchi kwasasa wanamkubali zaidi Magufuli kuliko aliyekuwa mgombea wa chama pinzani ndugu Edward Lowassa.

Zipo sababu ambazo zitapelekea kufifia na kufa kwa nguvu yake ya upinzani;

1. Spidi ya JPM
Tangu raisi aingie madarakani amekuwa akijibu hoja nyingi ambazo wapinzani walikuwa wakizipigia kelele. Hivyo uwepo wa Magufuli kwa sasa umefanya watanzania waamini kuwa mabadiliko yanaweza kufanyika hata ndani ya CCM hivyo miaka ijayo ni wazi kuwa watanzania hawataona haja ya kuijaribu upinzani ilhali wanapata majibu ya maswali yao kutoka kwa CCM.

2. Wapinzani kujenga hoja nyepesi
Wimbo mkuu wa upinzani hauchezeki kwa sasa hasa baada ya Magufuli kuingia ikulu, hoja nyingi za wapinzani kwa sasa hazina nguvu, mfano wanapokuja kusema kwanini rais Magufuli hataki kusafiri nje ya nchi ni hoja ya kuchekesha sana wakati haohao walikuwa wa kwanza kukemea safari za nje za aliyekuwa raisi wa awamu ya nne ila leo hii wanabadilika.

Hizo ni baadhi tu ya sababu na najua zipo nyingi ila amini usiamini CHADEMA itakufa kabla ya uchaguzi ujao.

Yaani katika kitu kinachoacha watu wengi wa ccm uchi ni huu upuuzi wa kumsifia Magufuli kwa hizi hatua chache anazochukua na kudhani kwamba sisi wananchi ni wajinga. Ngoja nikuulize, toka Magufuli ameingia madarakani, ni bidhaa gani imeshuka bei kwa wewe mwananchi wa kawaida? Mfano mafuta yameshuka bei kwenye soko la dunia, je hapa nchini yameshuka? Wakulima ndio wengi kwenye nchi hii, je pembejeo zimeshuka bei? Mazao yao yamepandishwa bei kiasi cha kukidhi maisha yake? Hayo majibu mnayojisifia eti yanatumbuliwa mpaka wapinzani leo wanadharaulika mbele ya wananchi yalapandwa na wapinzani ama ccm yenyewe? Hebu nipe gharama za umeme zimeshuka?

Haya yote hayo tuyaache, je serekali ya Magufuli mpaka sasa imeongeza ajira achia mbali ahadi tulizozizoea toka kwa viongozi wa ccm kwamba tutakuza ajira miaka nenda rudi? Unawezaje kusimama mbele ya wanaume ukasema wapinzani wanadharaulika wakati anachokifanya Magufuli ni kama kutuomba msamaha wa kile kilichofanywa na serekali ya ccm dhidi ya wananchi. Mimi kwangu nachukulia kutumbuliwa majipu ni kama kutuomba wananchi msamaha kwa uzembe na maovu yaliyofanywa na serekali za ccm zilizopita. Tunajua umeshikiwa akili lakini hata ukishikiwa akili ukiambiwa chochote huhoji unakuja tu hapa jukwaani kuandika. Hivi hata mkeo/mumeo si atakudharau akiona hiki ulichoandika hapa jukwaani!?
 
Umenena tulitaka mabadiliko na ndiyo haya, Lowassa asingefanya chochote kuliko haya ayafanyayo JPM.Mungu amlinde. JPM.
 
Saizi wanazunguka vijijini eti wanamtafuta wa kujaza nafasi ya katibu mkuu. unaenda ileje kumtafuta katibu mkuu wa chama kama sio kupiga perdiem ni nini?
Niwapumbavu
WAMEMPATA MGOMBEA URAIS 2020
Wameshindwa kumpata kumpa katibu mkuu
kama sio ukilaza
 
Kutokana na spidi aliyoanza nayo Mh JPM ni wazi kwamba nguvu ya chama kikubwa cha upinzani kitafifia na kupotea midomoni mwa watu kutokana na sababu mbalimbali.

Ni ukweli usiopingika kuwa JPM ndani ya siku 100 ameweza kuonesha muelekeo mzuri kwa wananchi ambapo utafiti uliofanywa unaonesha wananchi kwasasa wanamkubali zaidi Magufuli kuliko aliyekuwa mgombea wa chama pinzani ndugu Edward Lowassa.

Zipo sababu ambazo zitapelekea kufifia na kufa kwa nguvu yake ya upinzani;

1. Spidi ya JPM
Tangu raisi aingie madarakani amekuwa akijibu hoja nyingi ambazo wapinzani walikuwa wakizipigia kelele. Hivyo uwepo wa Magufuli kwa sasa umefanya watanzania waamini kuwa mabadiliko yanaweza kufanyika hata ndani ya CCM hivyo miaka ijayo ni wazi kuwa watanzania hawataona haja ya kuijaribu upinzani ilhali wanapata majibu ya maswali yao kutoka kwa CCM.

2. Wapinzani kujenga hoja nyepesi
Wimbo mkuu wa upinzani hauchezeki kwa sasa hasa baada ya Magufuli kuingia ikulu, hoja nyingi za wapinzani kwa sasa hazina nguvu, mfano wanapokuja kusema kwanini rais Magufuli hataki kusafiri nje ya nchi ni hoja ya kuchekesha sana wakati haohao walikuwa wa kwanza kukemea safari za nje za aliyekuwa raisi wa awamu ya nne ila leo hii wanabadilika.

Hizo ni baadhi tu ya sababu na najua zipo nyingi ila amini usiamini CHADEMA itakufa kabla ya uchaguzi ujao.
Utakufa wewe na ccm yako na utaiwacha cdm inadunda
 
Hakika kuna watu wanapenda sana kuongea kwa nyuma huku mbele kukiwashinda. unapomlaani mpinzani wako ili afe sasa unadhani hiyo mechi utacheza we na sangazi yako????????????????

Ukweli ni kwamba watakufa wooote wailaanio CDM lakini yenyewe haitakufa kamwe kwa maana haina unafiki kama wao.

Wanaoilaani watalaaniwa na watakaoibariki tayaari wameshabarikiwa.

Ole wao waineneayo mabaya, siku ikifika watabaki midomi wazo wakiiona ikidunda nao wakibaki kua walewale na unafiki wao uliopitiliza. Mungu ibariki CDM, Mungu ibariki UKAWA na makamanda wote.
Mkuu hiyo yote ni ile kauli ya kikwete ya kuwaombea kibarua kwa magu,yaani sasa hivi jf imevamiwa na viwavi jeshi
 
kama una mali andika urithi haraka sana , ushahidi unaonyesha wazi kabisa kwamba ukiichulia kifo chadema humalizi wiki mbili , mifano ni mingi , usicheze na Mungu mjomba , ni vema ukachagua na kiwanja kabisa , kisutu , chang'ombe , kinondoni au tukupeleke kwenu ?
Huyo hana faida ni afadhali akatupwa msitu wa mabwepande aliwe na wadudu
 
Hakuna taifa imara bila upinzani imara wewe kibarua chako cha lb46uv kisikutoe akili haya kachukue buku saba yako VIP pombe aliwafikiria au bado kama alivyoambiwa na mwenye kiti wenu maana mwezi wa kwanza yupo kimya
Amfikirie wapi huyu ni kati ya wale wapiga deki wa lumumba
 
Kutokana na spidi aliyoanza nayo Mh JPM ni wazi kwamba nguvu ya chama kikubwa cha upinzani kitafifia na kupotea midomoni mwa watu kutokana na sababu mbalimbali.

Ni ukweli usiopingika kuwa JPM ndani ya siku 100 ameweza kuonesha muelekeo mzuri kwa wananchi ambapo utafiti uliofanywa unaonesha wananchi kwasasa wanamkubali zaidi Magufuli kuliko aliyekuwa mgombea wa chama pinzani ndugu Edward Lowassa.

Zipo sababu ambazo zitapelekea kufifia na kufa kwa nguvu yake ya upinzani;

1. Spidi ya JPM
Tangu raisi aingie madarakani amekuwa akijibu hoja nyingi ambazo wapinzani walikuwa wakizipigia kelele. Hivyo uwepo wa Magufuli kwa sasa umefanya watanzania waamini kuwa mabadiliko yanaweza kufanyika hata ndani ya CCM hivyo miaka ijayo ni wazi kuwa watanzania hawataona haja ya kuijaribu upinzani ilhali wanapata majibu ya maswali yao kutoka kwa CCM.

2. Wapinzani kujenga hoja nyepesi
Wimbo mkuu wa upinzani hauchezeki kwa sasa hasa baada ya Magufuli kuingia ikulu, hoja nyingi za wapinzani kwa sasa hazina nguvu, mfano wanapokuja kusema kwanini rais Magufuli hataki kusafiri nje ya nchi ni hoja ya kuchekesha sana wakati haohao walikuwa wa kwanza kukemea safari za nje za aliyekuwa raisi wa awamu ya nne ila leo hii wanabadilika.

Hizo ni baadhi tu ya sababu na najua zipo nyingi ila amini usiamini CHADEMA itakufa kabla ya uchaguzi ujao.
Muulize mhe mmoja anayeitwa Wasira, aliwahi kuja na utabiri kama huu lakini mwisho wa siku 'akafa' yeye kisiasa...
 
Hiki kifo cha chadema ni tofauti na vifo vingine aisee!!mana kufa kwetu kunasababisha idadi ya wabunge wa ukawa kuongezeka!!what a surprise!!na wabunge Wa ccm wanaotutabiria vifo vya kisiasa wenyewe wanazidi kuimarika(wassira)!tunahitaji vifo zaidi!hahahaha
Ccm wabunge wao wao wanazidi kupungua kila uchaguziyaani graph yao imenamia chini kwa speed ya rocket
 
Kutokana na spidi aliyoanza nayo Mh JPM ni wazi kwamba nguvu ya chama kikubwa cha upinzani kitafifia na kupotea midomoni mwa watu kutokana na sababu mbalimbali.

Ni ukweli usiopingika kuwa JPM ndani ya siku 100 ameweza kuonesha muelekeo mzuri kwa wananchi ambapo utafiti uliofanywa unaonesha wananchi kwasasa wanamkubali zaidi Magufuli kuliko aliyekuwa mgombea wa chama pinzani ndugu Edward Lowassa.

Zipo sababu ambazo zitapelekea kufifia na kufa kwa nguvu yake ya upinzani;

1. Spidi ya JPM
Tangu raisi aingie madarakani amekuwa akijibu hoja nyingi ambazo wapinzani walikuwa wakizipigia kelele. Hivyo uwepo wa Magufuli kwa sasa umefanya watanzania waamini kuwa mabadiliko yanaweza kufanyika hata ndani ya CCM hivyo miaka ijayo ni wazi kuwa watanzania hawataona haja ya kuijaribu upinzani ilhali wanapata majibu ya maswali yao kutoka kwa CCM.

2. Wapinzani kujenga hoja nyepesi
Wimbo mkuu wa upinzani hauchezeki kwa sasa hasa baada ya Magufuli kuingia ikulu, hoja nyingi za wapinzani kwa sasa hazina nguvu, mfano wanapokuja kusema kwanini rais Magufuli hataki kusafiri nje ya nchi ni hoja ya kuchekesha sana wakati haohao walikuwa wa kwanza kukemea safari za nje za aliyekuwa raisi wa awamu ya nne ila leo hii wanabadilika.

Hizo ni baadhi tu ya sababu na najua zipo nyingi ila amini usiamini CHADEMA itakufa kabla ya uchaguzi ujao.
Punguza Siasa..
 
Back
Top Bottom