CHADEMA: Israel ituombe radhi

CHADEMA: Israel ituombe radhi

THREAD hii nimeikuta ikiwa imefika mbali sana kiasi cha kunilazimisha nianze kupitia post moja hadi nyingine ili nipate kile nilichokuwa nakitafuta! Hata hivyo, sikukipata.....si kwenye michango ya members tu bali hata kutoka kwenye main thread! Interest yangu ni kufahamu msingi wa swali uliomfanya Ehud Barak Kuitaja nchi yetu kwamba haina maana wala umuhimu wowote kwa Israel! Kwavile msingi wa swali haupo wazi basi inaonesha wazi kwamba wachangiaji wengi michango yao imetawaliwa na USHABIKI WA KIPUMBAVU, MAPENZI YA KIPUMBAVU na CHUKI ZA KIPUMBAVU za wachangiaji!

USHABIKI WA KIPUMBAVU!
Sio siri kwamba baadhi ya mashabiki wa CHADEMA wana ushabiki wa kipumbavu kiasi kwamba inapotokea yeyote akaisema serikali (ingawaje hapa imesemwa TZ, na kwao wao TZ is all about serikali) kwa mabaya basi wao watashangilia hata kama kusemwa huko nao kunawahusu! Hawa ni wale wanaoamini katika nadharia kwamba ADUI WA ADUI YAKO NI RAFIKI! Kutokana na ushabiki huo wa kipumbavu, inaonekana kana kwamba Ehud Barak ametamka kwamba Tanzania haina umuhimu wala maana kwa Israel kwakuwa ni ombaomba; kitu ambacho hakijawekwa wazi! Kwavile sababu haikuwekwa wazi, je ikidhihirika kwamba ameyasema hayo kwa sababu tu Tanzania ipo Afrika na watu wake ni Waafrika bado mtaandelea kushangilia?!

MAPENZI YA KIPUMBAVU
Wakati ushabiki wa kipumbavu unatokana na itikadi za kisiasa, mapenzi ya kipumbavu yanatokana na itikadi za kidini! Wapo baadhi ya Wakristo, kutokana tu na itikadi zao za kidini na kule kuaminishwa kwao kwamba Israel ni taifa teule na kwamba ndiko chimbuko la Jesus Christ, basi wao kila kinachosemwa au kufanywa na Israel wao watakifurahia na kukipamba kwa maua!! Yaani Mwafrika mwenye ngozi nyeusi anajishadidia na Myahudi mwenye ngozi nyeupe na kumshabikia kwamba eti ni taifa teule!

CHUKI ZA KIPUMBAVU!
Hii ni sawa na hapo juu ingawaje hili lipo kwa baadhi ya Waislamu ambao nao msingi wake ni itikadi za kidini! Kwavile Wayahudi wana chuki na Waarabu ambao wengi wao ni Waislamu basi chochote kinachofanywa ama kusemwa na Israel kitabezwa kwavile tu Wayahudi wana chuki na Waarabu ambao ni “waislamu wenzetu”!!!

HIVYO basi, kwa vile wengi wetu (including mtoa mada) tumedandia mada tusiyoijua chanzo, basi ningemuomba Mheshimwa Mnyika atueleze chanzo cha Ehud Barak kutoa kauli hiyo! Mathalani, tuseme Uhud Barak aliulizwa swali kwamba ana maoni gani kuhusu Tanzania kuiunga mkono Palestina....mnatarajia atajibu nini?! Lazima tu atoe kauli ya sizitaki mbichi hizi!
 
THREAD hii nimeikuta ikiwa imefika mbali sana kiasi cha kunilazimisha nianze kupitia post moja hadi nyingine ili nipate kile nilichokuwa nakitafuta! Hata hivyo, sikukipata.....si kwenye michango ya members tu bali hata kutoka kwenye main thread! Interest yangu ni kufahamu msingi wa swali uliomfanya Ehud Barak Kuitaja nchi yetu kwamba haina maana wala umuhimu wowote kwa Israel! Kwavile msingi wa swali haupo wazi basi inaonesha wazi kwamba wachangiaji wengi michango yao imetawaliwa na USHABIKI WA KIPUMBAVU, MAPENZI YA KIPUMBAVU na CHUKI ZA KIPUMBAVU za wachangiaji!

USHABIKI WA KIPUMBAVU!
Sio siri kwamba baadhi ya mashabiki wa CHADEMA wana ushabiki wa kipumbavu kiasi kwamba inapotokea yeyote akaisema serikali (ingawaje hapa imesemwa TZ, na kwao wao TZ is all about serikali) kwa mabaya basi wao watashangilia hata kama kusemwa huko nao kunawahusu! Hawa ni wale wanaoamini katika nadharia kwamba ADUI WA ADUI YAKO NI RAFIKI! Kutokana na ushabiki huo wa kipumbavu, inaonekana kana kwamba Ehud Barak ametamka kwamba Tanzania haina umuhimu wala maana kwa Israel kwakuwa ni ombaomba; kitu ambacho hakijawekwa wazi! Kwavile sababu haikuwekwa wazi, je ikidhihirika kwamba ameyasema hayo kwa sababu tu Tanzania ipo Afrika na watu wake ni Waafrika bado mtaandelea kushangilia?!

MAPENZI YA KIPUMBAVU
Wakati ushabiki wa kipumbavu unatokana na itikadi za kisiasa, mapenzi ya kipumbavu yanatokana na itikadi za kidini! Wapo baadhi ya Wakristo, kutokana tu na itikadi zao za kidini na kule kuaminishwa kwao kwamba Israel ni taifa teule na kwamba ndiko chimbuko la Jesus Christ, basi wao kila kinachosemwa au kufanywa na Israel wao watakifurahia na kukipamba kwa maua!! Yaani Mwafrika mwenye ngozi nyeusi anajishadidia na Myahudi mwenye ngozi nyeupe na kumshabikia kwamba eti ni taifa teule!

CHUKI ZA KIPUMBAVU!
Hii ni sawa na hapo juu ingawaje hili lipo kwa baadhi ya Waislamu ambao nao msingi wake ni itikadi za kidini! Kwavile Wayahudi wana chuki na Waarabu ambao wengi wao ni Waislamu basi chochote kinachofanywa ama kusemwa na Israel kitabezwa kwavile tu Wayahudi wana chuki na Waarabu ambao ni "waislamu wenzetu"!!!

HIVYO basi, kwa vile wengi wetu (including mtoa mada) tumedandia mada tusiyoijua chanzo, basi ningemuomba Mheshimwa Mnyika atueleze chanzo cha Ehud Barak kutoa kauli hiyo! Mathalani, tuseme Uhud Barak aliulizwa swali kwamba ana maoni gani kuhusu Tanzania kuiunga mkono Palestina....mnatarajia atajibu nini?! Lazima tu atoe kauli ya sizitaki mbichi hizi!

Nimefuraishwa sana na uchambuzi wako,lakini kwa bahati mbaya sikufuraishwa kabisa na lugha uliyotumia(Abusive language) kufikisha ujumbe wako!inaonekana wewe ni great thinker,lakini kwa bahati mbaya huna busara,na kwa bahata mbaya zaidi busara is inborn character,nasikitika kwa kuwa hutoipata kamwe!pole sana mkuu!
 
THREAD hii nimeikuta ikiwa imefika mbali sana kiasi cha kunilazimisha nianze kupitia post moja hadi nyingine ili nipate kile nilichokuwa nakitafuta! Hata hivyo, sikukipata.....si kwenye michango ya members tu bali hata kutoka kwenye main thread! Interest yangu ni kufahamu msingi wa swali uliomfanya Ehud Barak Kuitaja nchi yetu kwamba haina maana wala umuhimu wowote kwa Israel! Kwavile msingi wa swali haupo wazi basi inaonesha wazi kwamba wachangiaji wengi michango yao imetawaliwa na USHABIKI WA KIPUMBAVU, MAPENZI YA KIPUMBAVU na CHUKI ZA KIPUMBAVU za wachangiaji!

USHABIKI WA KIPUMBAVU!
Sio siri kwamba baadhi ya mashabiki wa CHADEMA wana ushabiki wa kipumbavu kiasi kwamba inapotokea yeyote akaisema serikali (ingawaje hapa imesemwa TZ, na kwao wao TZ is all about serikali) kwa mabaya basi wao watashangilia hata kama kusemwa huko nao kunawahusu! Hawa ni wale wanaoamini katika nadharia kwamba ADUI WA ADUI YAKO NI RAFIKI! Kutokana na ushabiki huo wa kipumbavu, inaonekana kana kwamba Ehud Barak ametamka kwamba Tanzania haina umuhimu wala maana kwa Israel kwakuwa ni ombaomba; kitu ambacho hakijawekwa wazi! Kwavile sababu haikuwekwa wazi, je ikidhihirika kwamba ameyasema hayo kwa sababu tu Tanzania ipo Afrika na watu wake ni Waafrika bado mtaandelea kushangilia?!

MAPENZI YA KIPUMBAVU
Wakati ushabiki wa kipumbavu unatokana na itikadi za kisiasa, mapenzi ya kipumbavu yanatokana na itikadi za kidini! Wapo baadhi ya Wakristo, kutokana tu na itikadi zao za kidini na kule kuaminishwa kwao kwamba Israel ni taifa teule na kwamba ndiko chimbuko la Jesus Christ, basi wao kila kinachosemwa au kufanywa na Israel wao watakifurahia na kukipamba kwa maua!! Yaani Mwafrika mwenye ngozi nyeusi anajishadidia na Myahudi mwenye ngozi nyeupe na kumshabikia kwamba eti ni taifa teule!

CHUKI ZA KIPUMBAVU!
Hii ni sawa na hapo juu ingawaje hili lipo kwa baadhi ya Waislamu ambao nao msingi wake ni itikadi za kidini! Kwavile Wayahudi wana chuki na Waarabu ambao wengi wao ni Waislamu basi chochote kinachofanywa ama kusemwa na Israel kitabezwa kwavile tu Wayahudi wana chuki na Waarabu ambao ni waislamu wenzetu!!!

HIVYO basi, kwa vile wengi wetu (including mtoa mada) tumedandia mada tusiyoijua chanzo, basi ningemuomba Mheshimwa Mnyika atueleze chanzo cha Ehud Barak kutoa kauli hiyo! Mathalani, tuseme Uhud Barak aliulizwa swali kwamba ana maoni gani kuhusu Tanzania kuiunga mkono Palestina....mnatarajia atajibu nini?! Lazima tu atoe kauli ya sizitaki mbichi hizi!

Mkuu NasDaz.
Kwa bandiko lako ili umemaliza kila kitu, ingawa watakuja kupinga ili bandiko lako
 
Mkuu NasDaz.
Kwa bandiko lako ili umemaliza kila kitu, ingawa watakuja **** kupinga ili pandiko lako

Mh!kwani hakuna neno jingine zuri linaloweza kukaa penye neno lenye nyekundu na kufikisha ujumbe uliokusudiwa?badilika mkuu!!
 
Nimefuraishwa sana na uchambuzi wako,lakini kwa bahati mbaya sikufuraishwa kabisa na lugha uliyotumia(Abusive language) kufikisha ujumbe wako!inaonekana wewe ni great thinker,lakini kwa bahati mbaya huna busara,na kwa bahata mbaya zaidi busara is inborn character,nasikitika kwa kuwa hutoipata kamwe!pole sana mkuu!

Busara ninayo sana, lakini ninapoghadhibishwa nalazimika kuziweka busara zangu pembeni na kuonesha hisia zangu za kutofurahishwa!!! Busara na unafiki, haviendani!
 
Mh!kwani hakuna neno jingine zuri linaloweza kukaa penye neno lenye nyekundu na kufikisha ujumbe uliokusudiwa?badilika mkuu!!

Hivi hilo neno umeliona kwangu tu au sababu kaandika Ritz?
 
Mkuu NasDaz.
Kwa bandiko lako ili umemaliza kila kitu, ingawa watakuja wapumbavu kupinga ili bandiko lako

Mkuu ritz, bila shaka hili nalifahamu sana.....na haya lazima yaendelee kuwepo ili JF iendelee kuwepo pia!
 

Busara ninayo sana, lakini ninapoghadhibishwa nalazimika kuziweka busara zangu pembeni na kuonesha hisia zangu za kutofurahishwa!!! Busara na unafiki, haviendani!
Kama zipo zitumie mkuu,umetupa somo zuri sana,lakini linahalibiwa na matumizi ya lugha!poa mkuu,kila la kheri!
 
Hivi hilo neno umeliona kwangu tu au sababu kaandika Ritz?
Mkuu ritz,hata kwa NasDas nimesikitishwa matumizi ya neno hili soma bandiko langu namba 183 utaona !sina ubaya na wewe,lakini ni vema tujadiliane kwa lugha nzuri bila kukwazana!
 
Wewe CHADEMA siyo raia wa tanzania! Tanzania ndio iliyokuwa ya kwanza kutukana Israel tangia ya enzi ya chama chashika hatamu. Tanzania iliweka palestinians day hapa nchini , na kila mwaka mwezi novemba ilikuwa inamleta Kiongozi wa palestina Yassa Arafa kutukana waisraeli majukwaani kwa wiki moja. Halafu mwaka 1976, tanzania iliwatukana waisrael vibaya sana kwa kitendo chao cha kuwaokoa ndugu zao pale entebe. Leo hii CHADEMA kinachokuuma ninini, kama sera za kutukana ulianzisha mwenyewe kwa kujipendekeza kwa waarabu? Mkuki kwa kenge hauumi ila kwa binadamu ni mchungu! kua wewe!

Halafu huyo Ehud Barak sio mtoto kusema hivyo, lazima ujue kuna jambo la kispy wameligundua, eiza tanzania inapitisha uranium kisirisiri kwenda Iran au kuna jambo baya iran inaitumia nchi yetu. Acha undumila kuwili CHADEMA, wewe umeshindwa kutetea katiba ya wananchi na kujipeleka mwenye kuuza sera zako ikulu kwa kujikomba, eti leo unakurupuka na kudai Israel iombe radhi. Je na hao walioiba twiga 166 mbona umakaaa kimyaa? Unaona jinsi usivyokuwa na CV ya kutawala Tanzania?
 
THREAD hii nimeikuta ikiwa imefika mbali sana kiasi cha kunilazimisha nianze kupitia post moja hadi nyingine ili nipate kile nilichokuwa nakitafuta! Hata hivyo, sikukipata.....si kwenye michango ya members tu bali hata kutoka kwenye main thread! Interest yangu ni kufahamu msingi wa swali uliomfanya Ehud Barak Kuitaja nchi yetu kwamba haina maana wala umuhimu wowote kwa Israel! Kwavile msingi wa swali haupo wazi basi inaonesha wazi kwamba wachangiaji wengi michango yao imetawaliwa na USHABIKI WA KIPUMBAVU, MAPENZI YA KIPUMBAVU na CHUKI ZA KIPUMBAVU za wachangiaji!

USHABIKI WA KIPUMBAVU!
Sio siri kwamba baadhi ya mashabiki wa CHADEMA wana ushabiki wa kipumbavu kiasi kwamba inapotokea yeyote akaisema serikali (ingawaje hapa imesemwa TZ, na kwao wao TZ is all about serikali) kwa mabaya basi wao watashangilia hata kama kusemwa huko nao kunawahusu! Hawa ni wale wanaoamini katika nadharia kwamba ADUI WA ADUI YAKO NI RAFIKI! Kutokana na ushabiki huo wa kipumbavu, inaonekana kana kwamba Ehud Barak ametamka kwamba Tanzania haina umuhimu wala maana kwa Israel kwakuwa ni ombaomba; kitu ambacho hakijawekwa wazi! Kwavile sababu haikuwekwa wazi, je ikidhihirika kwamba ameyasema hayo kwa sababu tu Tanzania ipo Afrika na watu wake ni Waafrika bado mtaandelea kushangilia?!

MAPENZI YA KIPUMBAVU
Wakati ushabiki wa kipumbavu unatokana na itikadi za kisiasa, mapenzi ya kipumbavu yanatokana na itikadi za kidini! Wapo baadhi ya Wakristo, kutokana tu na itikadi zao za kidini na kule kuaminishwa kwao kwamba Israel ni taifa teule na kwamba ndiko chimbuko la Jesus Christ, basi wao kila kinachosemwa au kufanywa na Israel wao watakifurahia na kukipamba kwa maua!! Yaani Mwafrika mwenye ngozi nyeusi anajishadidia na Myahudi mwenye ngozi nyeupe na kumshabikia kwamba eti ni taifa teule!

CHUKI ZA KIPUMBAVU!
Hii ni sawa na hapo juu ingawaje hili lipo kwa baadhi ya Waislamu ambao nao msingi wake ni itikadi za kidini! Kwavile Wayahudi wana chuki na Waarabu ambao wengi wao ni Waislamu basi chochote kinachofanywa ama kusemwa na Israel kitabezwa kwavile tu Wayahudi wana chuki na Waarabu ambao ni "waislamu wenzetu"!!!

HIVYO basi, kwa vile wengi wetu (including mtoa mada) tumedandia mada tusiyoijua chanzo, basi ningemuomba Mheshimwa Mnyika atueleze chanzo cha Ehud Barak kutoa kauli hiyo! Mathalani, tuseme Uhud Barak aliulizwa swali kwamba ana maoni gani kuhusu Tanzania kuiunga mkono Palestina....mnatarajia atajibu nini?! Lazima tu atoe kauli ya sizitaki mbichi hizi!

Kaka umesahau sehemu moja kuhusu chuki za kipumbavu,

Kuwa kuna wakristo ambao kwa mtazamo kuwa kama Wayahudi (Waisraeli) ni maadui wa Waarabu (Waislamu) na wao wanaamini kuwa waislamu ni maadui wao na hata kudhani ni mfano wa shetani basi chochote kinachofanywa na Waisraeli ni sawa na lazima kiungwe mkono......
 
Ndugu yangu lugha yoyote isiyo ya kiungwana haikubaliki,israel haikuwa na ulazima wa kutumia lugha za kihuni ktk swala hili hata kwa sababu gani,hii inaonyesha jinsi walivyo wabinafsi na kibri,na wewe pia hoja zako zingependeza kama usingekuja na lugha za kuonyesha hukupata malezi mazuri,punguza jabza.
 
Wewe CHADEMA siyo raia wa tanzania! Tanzania ndio iliyokuwa ya kwanza kutukana Israel tangia ya enzi ya chama chashika hatamu. Tanzania iliweka palestinians day hapa nchini , na kila mwaka mwezi novemba ilikuwa inamleta Kiongozi wa palestina Yassa Arafa kutukana waisraeli majukwaani kwa wiki moja. Halafu mwaka 1976, tanzania iliwatukana waisrael vibaya sana kwa kitendo chao cha kuwaokoa ndugu zao pale entebe. Leo hii CHADEMA kinachokuuma ninini, kama sera za kutukana ulianzisha mwenyewe kwa kujipendekeza kwa waarabu? Mkuki kwa kenge hauumi ila kwa binadamu ni mchungu! kua wewe!

Kabla ya kufakamia issues ni vyema ukajierevusha kwanza...

1. Tanzania ilivunja mahusiano ya "kibalozi" na Israel mwaka 1967 mara baada ya Israel kuteka maeneo zaidi ya wapalestina pamoja na Egypt. Huo ulikuwa sio msimamo wa Tanzania pekee bali msimamo wa Umoja wa Nchi za Africa (OAU). Lakini pia Chama kushika hatamu ilianza miaka ya sabini hivyo maamuzi hayo hayakuwa na uhusiano wowte wa chama kushika hatamu.

2. Kuhusu sherehe za Palestina kama unavyoziita ni kuwa sherehe hizo sio za Tanzania bali ni kumbukumbu maalumu ya kutambua madhila ya watu wa Palestina zilizoanzishwa na Umoja wa Mataifa kwa Resolution.....na ndio maana hata hapa Tanzania daima huandaliwa na Umoja wa Mataifa na kusomwa hotuba maalum ya Katibu Mkuu wa umoja huo.

3. Kuhusu Tanzania kumleta Yasser Arafat kila mwaka ni uongo na uzandiki. Yasser Arafat alifanya ziara rasmi mara moja tu Tanzania na kuja kwa mazungumzo na Mwalimu Nyerere mara kadhaa bila ya kuhutubia. Sanasana Yasser Arafat alikuwa na kawaida ya kuhudhuria karibia Summit zote za OAU na kuhutubia kwa invitation ya karibia viongozi wote wa kiafrika.

4. Kuhusu Entebe raid ni kweli Tanzania tulicondemn suala hilo kama ambavyo tungelifanya kama lingetokea kwa taifa lolote la Kiafrika na kama ambavyo tulikuwa tukifanya kila makaburu walivyovamia nchi za Kusini mwa Afrika kuwatafuta na kuwaona wapigania uhuru ambao walitambuliwa kama magaidi.

Maandishi yako yanaonyesha jinsi ulivyo na chuki na mitizamo ya kinafiki. Unadanganya na unapohusisha suala kuibiwa twiga "166" na Waarabu katika suala hili unajionyesha wazi nini chachu ya mtizamo wako katika suala hili. Chuki dhidi ya waarabu ambao kwako wewe ni waislamu na unaamini kuwa suala la wapalestina si la Ukombozi kama unaojifaragua kuwa unaupigania hapa nchini bali kwa mtazamo wako finyu ni suala wayahudi dhidi ya maadui zako Waislamu. Mbaya zaidi unajitambulisha kama CHADEMA na hivyo kukiweka chama hicho katika kikaango (vulnerable) zaidi dhidi ya tuhuma/propaganda kuwa ni chama cha wakristo (ambao kwa mtazamo wa waislamu wenye mitazamo finyu kama yako wanachuki Uislamu).....
 
Ndugu yangu lugha yoyote isiyo ya kiungwana haikubaliki,israel haikuwa na ulazima wa kutumia lugha za kihuni ktk swala hili hata kwa sababu gani,hii inaonyesha jinsi walivyo wabinafsi na kibri,na wewe pia hoja zako zingependeza kama usingekuja na lugha za kuonyesha hukupata malezi mazuri,punguza jabza.
 
To stay silent would be a disgrace
Mwalimu Nyerere
2009-08-06, Issue 445

Pambazuka News presents a selection of memorable quotations by the late Mwalimu Nyerere, on the topics of Palestine, imperialism and racialism, good governance and life lessons. This material previously appeared in CHEMCHEMI, Bulletin of the Mwalimu Nyerere Professorial Chair in Pan African Studies of the University of Dar es Salaam, Tanzania.


ON PALESTINE, 1967 (
Excerpts from a speech on foreign policy made on 16th October 1967 at the TANU Biannual Conference in Mwanza before more than 2000 delegates.)

Our desire for friendship with every other nation does not, however, mean that we can be unconcerned with world events, or that we should try to buy that friendship with silence on the great issues of world peace and justice. If it is to be meaningful, friendship must be able to withstand honesty in international affairs. Certainly we should refrain from adverse comments on the internal affairs of other states, just as we expect them to do with regard to ourselves. But to stay silent on such issues as Vietnam because one or more powerful nations do not like what we say would be a disgrace.

In the Middle East we have seen yet another outbreak of dangerous and destructive war in recent months. The fighting there was brought to a halt very quickly, but the situation remains one of great danger to us all.

Large areas of UAR, Syria and Jordan remain under Israeli occupation.

We are thus very obviously concerned in the matter. But we have other interests too. It is not, and should not be, part of our policy to gloss over an act of aggression because we recognise and have diplomatic relations with the country which commits such aggression.

The establishment of the state of Israel was an act of aggression against the Arab people. It was connived at by the international community because of the history of persecution against the Jews. This persecution reached its climax in the murder by Nazi Germany of six million Jewish men, women, and children. The survivors of this persecution sought security in a Jewish national state in Arab Palestine. The international community accepted this. The Arab states did not and could not accept that act of aggression. We believe that there cannot be lasting peace in the Middle East until the Arab states have accepted the fact of Israel. But the Arab states cannot be beaten into such acceptance. On the contrary, attempts to coerce the Arab states into recognising Israel – whether it be by refusal to relinquish occupied territory, or by an insistence on direct negotiations between the two sides – would only make such acceptance impossible.

In expressing our hope that a peaceful settlement of this terribly difficult situation will soon become possible, it is necessary for us to accept two things. First, Israel's desire to be acknowledged as a nation is understandable. But second, and equally important, that Israel's occupation of the territories of UAR, Jordan and Syria, must be brought to an end. Israel must evacuate the areas she overran in June this year – without exception – before she can reasonably expect Arab countries will begin to acquiesce in her national presence. Israel has had her victory, at terrible cost in human lives. She must now accept that the United Nations which sanctioned her birth is, and must be, unalterably opposed to territorial aggrandisement by force of threat of force.

That is Tanzania's position. We recognise Israel and wish to be friendly with her as well as with the Arab nations. But we cannot condone aggression on any pretext, nor accept victory in war as a justification for the exploitation of other lands, or government over other peoples.


MWALIMU NYERERE ON IMPERIALISM AND RACIALISM, 1973[2]

Humanity has already passed through many phases since man began his evolutionary journey. And nature shows us that not all life evolves in the same way. The chimpanzees – to whom once we were very near – got on to the wrong evolutionary path and they got stuck. And there were other species which became extinct; their teeth were so big, or their bodies so heavy, that they could not adapt to changing circumstances and they died out.

I am convinced that, in the history of the human race, imperialists and racialists will also become extinct. They are now very powerful. But they are a very primitive animal. The only difference between them and these other extinct creatures is that their teeth and claws are more elaborate and cause much greater harm – we can see this even now in the terrible use of napalm in Vietnam. But failure to co-operate together is a mark of bestiality; it is not a characteristic of humanity.

Imperialists and racialists will go. Vorster, and all like him, will come to an end. Every racialist in the world is an animal of some kind or the other, and all are kinds that have no future. Eventually they will become extinct.

Africa must refuse to be humiliated, exploited, and pushed around. And with the same determination we must refuse to humiliate, exploit, or push others around. We must act, not just say words.

MWALIMU ON ‘GOOD GOVERNANCE', 1998[3]

It reminded me of the social history of Great Britain before the advent of the welfare state. The extremes of individual or family poverty within that country were dealt with through the philanthropy of rich persons to whom such human misery was unbearable. But their charity was given only to those they regarded as the 'deserving poor'. This, in practice, meant that it was given only to those people regarded by the philanthropist as having demonstrated an acceptance of the social and economic status quo – and for as long as they did so.

As the world's powerful nations have not (as yet) accepted the principle of international welfare, they apply the same 'deserving poor' notion to the reality of poverty outside their own countries. 'Aid' and non-commercial credit are regarded not as springing from the principles of human rights or international solidarity, regardless of national borders, but as charity extended as a matter of altruism by richer governments to the less developed and very poor nations. However, the quantity of this 'official' charity being increasingly inadequate to meet the most obvious needs, one of the criteria for a nation being classified as among the world's 'deserving poor' came to be having 'good governance' as defined by the donor community.

And in practice that phrase meant and means those countries having multi-party systems of democracy, economies based on the principle of private ownership and of international free trade and a good record of human rights: Again as defined by the industrialised market economy countries of the North. It was in this kind of context that we in Africa first heard about 'good governance'; and this was the manner in which it was brought up at the Harare meeting to which I have referred.

MWALIMU: MY MISTAKES, 1999[4]

There are things that I would have done more firmly or not at all. For example, I would not nationalise the sisal plantations. This was a mistake. I did not realise how difficult it would be for the state to manage agriculture. Agriculture is difficult to socialise. I tried to tell my government that what was traditionally the family's in the village social organisation should be left with the family, while what was new could be communalised at the village level. The land issue and family holdings were very sensitive. I saw this intellectually but it was hard to translate it into policy implementation. But I still think that in the end Tanzania will return to the values and basic principles of the Arusha Declaration.


BROUGHT TO YOU BY PAMBAZUKA NEWS

* This article first appeared in the maiden issue of CHEMCHEMI, Bulletin of the Mwalimu Nyerere Professorial Chair in Pan African Studies of the University of Dar es Salaam, Tanzania, and is reproduced here with the kind permission of the Editorial Board of CHEMCHEMI.
* Mwalimu Nyerere was Tanzania's first president.
* Please send comments to editor@pambazuka.org or comment online at Pambazuka News.

NOTES
[1] Excerpts from a speech on foreign policy made on 16th October 1967 at the TANU Biannual Conference in Mwanza before more than 2000 delegates.
[2] Nyerere, J. K. Freedom and Socialism, p. 371
[3] Written 12:04 PM Oct 13, 1998 by twnet@po.jaring.my in cdp:twn.features
[4] Interview with Ikaweba Bunting published in the New Internationalist Magazine, issue 309, January-February 1999.
[5] Written, perhaps in a visitor's book, at one of the Commonwealth conferences.
 
Du,kama ndo tumefikia apo basi hatuna thamani kabisa! Yeah waziri ameshaona sisi ni choka kiasi ambacho kama nchi ya Tanzania kamwe hatutaweza kuja kuisadia Nchi ya Israel kwa namana yoyote ile isipokuwa wao wamekuwa wakitusaidia na wanaendelea to do the same.
Solution: Tuache kuwa ombaomba wa kupindukia while we have all the resources for our development. Our leaders wawe waadilifu ktk kutumia resources tulizo nazo kwa maendeleo yetu... YOU KNOW,,akufukuzae,hakwambia toka....ni kauli zake tu utaziona! Hawa jamaa wameshatuchoka kabisa na bado kauli kama hizi tuzisubiri from other countries.
MFANO: Kuna mwenzangu amesha-site kauli iliyotolewa RECENTLY from Uk PM za kuwapa haki sawa mashoga na wasagaji ili tupate misaada!
 
Kabla ya kufakamia issues ni vyema ukajierevusha kwanza...

1. Tanzania ilivunja mahusiano ya "kibalozi" na Israel mwaka 1967 mara baada ya Israel kuteka maeneo zaidi ya wapalestina pamoja na Egypt. Huo ulikuwa sio msimamo wa Tanzania pekee bali msimamo wa Umoja wa Nchi za Africa (OAU). Lakini pia Chama kushika hatamu ilianza miaka ya sabini hivyo maamuzi hayo hayakuwa na uhusiano wowte wa chama kushika hatamu.

2. Kuhusu sherehe za Palestina kama unavyoziita ni kuwa sherehe hizo sio za Tanzania bali ni kumbukumbu maalumu ya kutambua madhila ya watu wa Palestina zilizoanzishwa na Umoja wa Mataifa kwa Resolution.....na ndio maana hata hapa Tanzania daima huandaliwa na Umoja wa Mataifa na kusomwa hotuba maalum ya Katibu Mkuu wa umoja huo.

3. Kuhusu Tanzania kumleta Yasser Arafat kila mwaka ni uongo na uzandiki. Yasser Arafat alifanya ziara rasmi mara moja tu Tanzania na kuja kwa mazungumzo na Mwalimu Nyerere mara kadhaa bila ya kuhutubia. Sanasana Yasser Arafat alikuwa na kawaida ya kuhudhuria karibia Summit zote za OAU na kuhutubia kwa invitation ya karibia viongozi wote wa kiafrika.

4. Kuhusu Entebe raid ni kweli Tanzania tulicondemn suala hilo kama ambavyo tungelifanya kama lingetokea kwa taifa lolote la Kiafrika na kama ambavyo tulikuwa tukifanya kila makaburu walivyovamia nchi za Kusini mwa Afrika kuwatafuta na kuwaona wapigania uhuru ambao walitambuliwa kama magaidi.

Maandishi yako yanaonyesha jinsi ulivyo na chuki na mitizamo ya kinafiki. Unadanganya na unapohusisha suala kuibiwa twiga "166" na Waarabu katika suala hili unajionyesha wazi nini chachu ya mtizamo wako katika suala hili. Chuki dhidi ya waarabu ambao kwako wewe ni waislamu na unaamini kuwa suala la wapalestina si la Ukombozi kama unaojifaragua kuwa unaupigania hapa nchini bali kwa mtazamo wako finyu ni suala wayahudi dhidi ya maadui zako Waislamu. Mbaya zaidi unajitambulisha kama CHADEMA na hivyo kukiweka chama hicho katika kikaango (vulnerable) zaidi dhidi ya tuhuma/propaganda kuwa ni chama cha wakristo (ambao kwa mtazamo wa waislamu wenye mitazamo finyu kama yako wanachuki Uislamu).....

Mkuu Omarlyas,
Wewe ni mtu makini sana humu Jamvini ingawa umekuwa adimu sana.

Hizi nondo ulizoshusha sio mchezo heshima kwako!
 
CHADEMA si mtazamaji wa maendeleo na mema au mabaya yanayoitokea taifa letu wakati wowote na mahali popote. Kubwa zaidi ni kwamba CHADEMA ni mbia na mshikadau muhimu sana tena chenye ustahili mkubwa kuhoji swala lolote na mustakabali wa nchi, ndani na na kimataifa.

Rudi shule Great Sinker ili upate uelewa zaidi juu ya hili.

CDM acheni kudandia traini kwa mbele! baraka kanena ukweli
 
THREAD hii nimeikuta ikiwa imefika mbali sana kiasi cha kunilazimisha nianze kupitia post moja hadi nyingine ili nipate kile nilichokuwa nakitafuta! Hata hivyo, sikukipata.....si kwenye michango ya members tu bali hata kutoka kwenye main thread! Interest yangu ni kufahamu msingi wa swali uliomfanya Ehud Barak Kuitaja nchi yetu kwamba haina maana wala umuhimu wowote kwa Israel! Kwavile msingi wa swali haupo wazi basi inaonesha wazi kwamba wachangiaji wengi michango yao imetawaliwa na USHABIKI WA KIPUMBAVU, MAPENZI YA KIPUMBAVU na CHUKI ZA KIPUMBAVU za wachangiaji!

USHABIKI WA KIPUMBAVU!
Sio siri kwamba baadhi ya mashabiki wa CHADEMA wana ushabiki wa kipumbavu kiasi kwamba inapotokea yeyote akaisema serikali (ingawaje hapa imesemwa TZ, na kwao wao TZ is all about serikali) kwa mabaya basi wao watashangilia hata kama kusemwa huko nao kunawahusu! Hawa ni wale wanaoamini katika nadharia kwamba ADUI WA ADUI YAKO NI RAFIKI! Kutokana na ushabiki huo wa kipumbavu, inaonekana kana kwamba Ehud Barak ametamka kwamba Tanzania haina umuhimu wala maana kwa Israel kwakuwa ni ombaomba; kitu ambacho hakijawekwa wazi! Kwavile sababu haikuwekwa wazi, je ikidhihirika kwamba ameyasema hayo kwa sababu tu Tanzania ipo Afrika na watu wake ni Waafrika bado mtaandelea kushangilia?!

MAPENZI YA KIPUMBAVU
Wakati ushabiki wa kipumbavu unatokana na itikadi za kisiasa, mapenzi ya kipumbavu yanatokana na itikadi za kidini! Wapo baadhi ya Wakristo, kutokana tu na itikadi zao za kidini na kule kuaminishwa kwao kwamba Israel ni taifa teule na kwamba ndiko chimbuko la Jesus Christ, basi wao kila kinachosemwa au kufanywa na Israel wao watakifurahia na kukipamba kwa maua!! Yaani Mwafrika mwenye ngozi nyeusi anajishadidia na Myahudi mwenye ngozi nyeupe na kumshabikia kwamba eti ni taifa teule!

CHUKI ZA KIPUMBAVU!
Hii ni sawa na hapo juu ingawaje hili lipo kwa baadhi ya Waislamu ambao nao msingi wake ni itikadi za kidini! Kwavile Wayahudi wana chuki na Waarabu ambao wengi wao ni Waislamu basi chochote kinachofanywa ama kusemwa na Israel kitabezwa kwavile tu Wayahudi wana chuki na Waarabu ambao ni "waislamu wenzetu"!!!

HIVYO basi, kwa vile wengi wetu (including mtoa mada) tumedandia mada tusiyoijua chanzo, basi ningemuomba Mheshimwa Mnyika atueleze chanzo cha Ehud Barak kutoa kauli hiyo! Mathalani, tuseme Uhud Barak aliulizwa swali kwamba ana maoni gani kuhusu Tanzania kuiunga mkono Palestina....mnatarajia atajibu nini?! Lazima tu atoe kauli ya sizitaki mbichi hizi!

Lakini hata wewe your hypothetical line of reasoning si nzuri.
 
Back
Top Bottom