CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!

CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!

Una kiwango gani cha elimu maana kauli yako inatisha na sikuelewi elewi, au na wewe ni Lumumba Project
Mkuu huyo kalewa kodi zetu wanazotukata bila kuzifanyia kazi. Uzuri ni kwamba, watanzania wanajua who is who, which is which!! kwa hiyo tutaanza kuheshimiana soon.
 
Msifikirie tumesahau, Kama mlimua chacha wangwe na sasa hivi dr. slaa anatembea na sumu mfukoni ili amuwekee zito kabwe, Na watanzania wamewachoka kila siku vurugu tu.
 
WEWE rudi shule kajifunze kuandika ndio uingie vizuri na hizo porojo zako kwani unalipwa sh ngapi hadi ukurupuke kiasi hicho hujui kusoma hata kuangalia picha unashindwa kuona kama umegeuza kichwa chini miguu juu? Au wamepata ajali?
 
Ni mambo ya kusikitisha sana watanzania wanaumia wanawadanganya wanaandamana na hatimaye wanaumia.
jamani inasikitisha sana wenyewe wala wahamo watanzania wanauizwa halafu wanaleta mizaha na kuwahadaa
watanzania. Hivi mnafikiria amani ikitoweka mtaweza irejesha?

jamani tunaipenda nchi yetu. CHADEMA CHADEMA. Mnajua kabisa kile mkifanyacho sio sahihi
hivi mnajari kweli utu wa mtu.

inauma sana ukifikiria kwa undani.
hii nchi yetu tuweni na mshikamano tuacheni mambo haya nchi yetu
inahitaji maendeleo na amani ya kizazi hiki na kijacho

MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA

nchi haijaendelea kwa miaka hamsini itaendelea leo? umeshikiwa akili na magamba, blame shifting game fools nobody wambie waume zako waliokutuma tumekataa kunywa hii sumu ya mafisadi.
 
Wewe unayeishabikia ccm na polisi umesgajiuliza kwa nini polisi waliiba maiti mochwari pale TARIME na kuziteketeza barabarani ili kupoteza ushahidi hivyo kaa ukijua timu nzima uliopo ikulu kuanzia KIKWETE, na serikali yake ni MAJAMBAZI YA KUTISHA, ili kukuthbirishia hilo jiulize kwa nini GARI YA IKULU ilitumika kumteka DR. ULIMBOKA, je serikali iliwahi kuzungumzia hilo gari? Jibu hakuna, JE alie muua MWANGOSI si ni polisi, je alishahukumiwa au kufungwa, hakuna je unajua halipo kwa sasa? Hujui ok... ntakwambia yuko mitaani, na JE aliyeua mtoto ba kufumua ubongo kwa risasi si ni polisi? Je amechukuliwa hatua gani? Hivo fikiria mara mbili kabla ya kuihukumu CDM
 
Na mumshukuru wasira, laa sivyo mbowe wakulya wangemmaliza. Mnaua watu mnasingizia Police. Dr. slaa anatembea nasumu mfukoni ya nini,
 
Pale amani itakapopotea ndipo mtakapojua hii amani tuliyonayo ni ya thamani kuliko upuuzi mnao ufanya
na muomba MUNGU anihifadhi pale amani itapotoweka ili ni shuhudie hawa wanaojifanya wanaharakati
na wanasiasa watakua wapi.
MUNGU NI TUNZE NIWEZE KUSHUHUDIA
unacheza na AMANI$!
 
Na mumshukuru wasira, laa sivyo mbowe wakulya wangemmaliza. Mnaua watu mnasingizia Police. Dr. slaa anatembea nasumu mfukoni ya nini,
michango yako imekaa kiumbeaumbea huna maana hata kidogo. Kweli ccm wamewashika akiri watanzania.
 
Pale amani itakapopotea ndipo mtakapojua hii amani tuliyonayo ni ya thamani kuliko upuuzi mnao ufanya
na muomba MUNGU anihifadhi pale amani itapotoweka ili ni shuhudie hawa wanaojifanya wanaharakati
na wanasiasa watakua wapi.
MUNGU NI TUNZE NIWEZE KUSHUHUDIA
unacheza na AMANI$!
Annael, hebu acha masiara basi, hivi wewe ni mwananchi wa kawaida au ni kada wa ccm?
 
Msifikirie tumesahau, Kama mlimua chacha wangwe na sasa hivi dr. slaa anatembea na sumu mfukoni ili amuwekee zito kabwe, Na watanzania wamewachoka kila siku vurugu tu.

Vijana wa Chagonja wako kazini!
Hiyo sumu umeiweka wewe??
Na hao Polisi wameshindwa kumkamata siyo?!
 
Ni mambo ya kusikitisha sana watanzania wanaumia wanawadanganya wanaandamana na hatimaye wanaumia.
jamani inasikitisha sana wenyewe wala wahamo watanzania wanauizwa halafu wanaleta mizaha na kuwahadaa
watanzania. Hivi mnafikiria amani ikitoweka mtaweza irejesha?

jamani tunaipenda nchi yetu. CHADEMA CHADEMA. Mnajua kabisa kile mkifanyacho sio sahihi
hivi mnajari kweli utu wa mtu.

inauma sana ukifikiria kwa undani.
hii nchi yetu tuweni na mshikamano tuacheni mambo haya nchi yetu
inahitaji maendeleo na amani ya kizazi hiki na kijacho

MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA

Watanzania wanatudai.

CCM must go.

nchi haiwezi kuachiwa wachuuzi wa meno ya tembo na rasilimali zingine za nchi.
 
Kwani mbowe alikanusha lini pale waasira alipo sema asingekua yeye wakulya walitaka kummaliza. Watanzania sio wendawazimu,
 
Kwa nini hukujiuliza kuwa CCM inataka nini kwa watanzania wakati wameshaichoka ndio maana wanaikataa hawaitaki?
 
Amani tulionayo ni zaidi ya siasa mnazozifanya.
nyie chezeni na amani hii mnazani ni kitu kidogo.
Amani ikitoweka ndipo mnatakapo jua thani yake.
plz we have to stand and say "peace is more than politics"
 
Nimeshangaa sana kuona makamanda viroba wanashanbikia bila kutumia akili matukio ya mabomu na vurugu zinazoendelea nchini bila kufikiri chanzo ni nini?

Mimi nawauliza tu, siku Lema na Dj wakipatikana na hatia ya kupanga mauaji mtasema nini?

Mkae mkijua iko siku watanaswa tu!
 
Back
Top Bottom