CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!

CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!

Arusha ni mji wa kitalii na mlango wa kuingia TZ kwa watalii na wageni! walalahoi wengi hujipatia mkate wao tokana na sifa hizi za Arusha!
Kwanini chama cha upinzani CDM wanaitumia Arusha kuwa kitovu cha machafuko na misukosuko? kwanini hawaendi Kilimanjaro kulikoasisiwa Chadema? walalahoi wa Arusha wanataabika kwasababu Chadema wameamua kuwaadhibu wananchi wa Arusha kwa kuifanya Arusha kuwa mji wa maasi na machafuko ili Arusha iathirike kiuchumi na lengo lao la kuhujumu uchumi wa Arusha lifanikiwe!

Ombi langu kwa Wana Arusha wasikubali kutumiwa na CDM kuhujumu uchumi wa Arusha kwani watakaoathirika niwao na familia zao huku wenzao wa Kilimanjaro wakineemeka kwa kulinda amani na mshikamano wao!

Huko nyuma hukuwa hivi....wamekuharibu sana siku hizi
 
Hawa pro Chadema sio bure lazima baba zao watakuwa kuli wa bandarini matusi yao ni ya kikulikuli.
 
Acha upumbavu wewe! Kilichochafua amani ya Arusha ni Mabomu na Bunduki aina ya SMG na Bastola. Chadema hawana hizo silaha wanachafuaje amani ya arusha

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
sikuhiz kuna magoigoi weng sana Jf thread zao zina mawazo mfu. kwa bichwa lako kati ya polis na chadema nani analichafuwa jiji letu la arusha?....
 
Kadogo hukusema kidogo Mkuu, CDM ni chama cha kisiasa lakini cha kusikitisha ni kuwa wanapa uongozi wahuni kama kina Lema, aliyekulia katika mazingara ya fujo na ujangili, kwa hivyo tutegeme nini kutoka kwake. Arusha imerudishwa nyuma sana na hawa ndugu zetu. Ni lazima wana Arusha wakatae kuharibiwa mji wetu.

Wana Arusha amkeni
 
Arusha ni mji wa kitalii na mlango wa kuingia TZ kwa watalii na wageni! walalahoi wengi hujipatia mkate wao tokana na sifa hizi za Arusha!
Kwanini chama cha upinzani CDM wanaitumia Arusha kuwa kitovu cha machafuko na misukosuko? kwanini hawaendi Kilimanjaro kulikoasisiwa Chadema? walalahoi wa Arusha wanataabika kwasababu Chadema wameamua kuwaadhibu wananchi wa Arusha kwa kuifanya Arusha kuwa mji wa maasi na machafuko ili Arusha iathirike kiuchumi na lengo lao la kuhujumu uchumi wa Arusha lifanikiwe!

Ombi langu kwa Wana Arusha wasikubali kutumiwa na CDM kuhujumu uchumi wa Arusha kwani watakaoathirika niwao na familia zao huku wenzao wa Kilimanjaro wakineemeka kwa kulinda amani na mshikamano wao!

Kwa hiyo waendelee kutumiwa na CCM ili waendelee kunyonywa?
 
we ni Kadogoo na kibamia chako kidogoo ndio maana huna mke mtu mwenye familia yake hawezi kuwa na mawazo kama yako.
 
Hawa pro Chadema sio bure lazima baba zao watakuwa kuli wa bandarini matusi yao ni ya kikulikuli.
Pro CCM baba zao watakuwa waliberali maana matusi yao ni ya kiserukamba
 
ushauri wako mzuri sana kwa kizazi kilichoshiba mahitaji yote muhimu anayostahili mwanadamu ila kwa sisi wa arusha tuko kwenye lindi kubwa la umaskini uliopindukia uliosababishwa na CCM hivyo HATUTALALA HADI CCM ITOKE AKANI,USHAURI WAKO KWA UFUPI NI WA KIJINGA SANA NA SINA UHAKIKA NA UTIMAMU WA AKILI YAKOMADAR
Arusha ni mji wa kitalii na mlango wa kuingia TZ kwa watalii na wageni! walalahoi wengi hujipatia mkate wao tokana na sifa hizi za Arusha!
Kwanini chama cha upinzani CDM wanaitumia Arusha kuwa kitovu cha machafuko na misukosuko? kwanini hawaendi Kilimanjaro kulikoasisiwa Chadema? walalahoi wa Arusha wanataabika kwasababu Chadema wameamua kuwaadhibu wananchi wa Arusha kwa kuifanya Arusha kuwa mji wa maasi na machafuko ili Arusha iathirike kiuchumi na lengo lao la kuhujumu uchumi wa Arusha lifanikiwe!

Ombi langu kwa Wana Arusha wasikubali kutumiwa na CDM kuhujumu uchumi wa Arusha kwani watakaoathirika niwao na familia zao huku wenzao wa Kilimanjaro wakineemeka kwa kulinda amani na mshikamano wao!
 
Arusha ni mji wa kitalii na mlango wa kuingia TZ kwa watalii na wageni! walalahoi wengi hujipatia mkate wao tokana na sifa hizi za Arusha!
Kwanini chama cha upinzani CDM wanaitumia Arusha kuwa kitovu cha machafuko na misukosuko? kwanini hawaendi Kilimanjaro kulikoasisiwa Chadema? walalahoi wa Arusha wanataabika kwasababu Chadema wameamua kuwaadhibu wananchi wa Arusha kwa kuifanya Arusha kuwa mji wa maasi na machafuko ili Arusha iathirike kiuchumi na lengo lao la kuhujumu uchumi wa Arusha lifanikiwe!

Ombi langu kwa Wana Arusha wasikubali kutumiwa na CDM kuhujumu uchumi wa Arusha kwani watakaoathirika niwao na familia zao huku wenzao wa Kilimanjaro wakineemeka kwa kulinda amani na mshikamano wao!

Nakuonea huruma kwa hiyo aina ya majibu utakayopata kutokana na thread yako hii!
Hivi hao wananchi wa Arusha unaowalilia ni wapi? au una maana wafuasi wa CDM wanaoikosesha CCM na vibaraka vyake usingizi ni raia kutoka nchi za nje sio wana wa Arusha?! huo umma unatoka Kigoma unakuja Arusha unafanya mambo makubwa kisha unaondoka!

Ama kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake! inawezekana mwenzetu wewe huna nywele hata moko!??!! na kwa hiyo Huna ....................."
 
kutoka kuiunga mkono Chadema na kurudi kuisapoti CCM huko si kuamka ni kulala. tena usingizi wa pono
 
Arusha ni mji wa kitalii na mlango wa kuingia TZ kwa watalii na wageni! walalahoi wengi hujipatia mkate wao tokana na sifa hizi za Arusha!
Kwanini chama cha upinzani CDM wanaitumia Arusha kuwa kitovu cha machafuko na misukosuko? kwanini hawaendi Kilimanjaro kulikoasisiwa Chadema? walalahoi wa Arusha wanataabika kwasababu Chadema wameamua kuwaadhibu wananchi wa Arusha kwa kuifanya Arusha kuwa mji wa maasi na machafuko ili Arusha iathirike kiuchumi na lengo lao la kuhujumu uchumi wa Arusha lifanikiwe!

Ombi langu kwa Wana Arusha wasikubali kutumiwa na CDM kuhujumu uchumi wa Arusha kwani watakaoathirika niwao na familia zao huku wenzao wa Kilimanjaro wakineemeka kwa kulinda amani na mshikamano wao!

wacha kuongea pumba wewe.chama sio chammoja nichawatanzania wote kinakubalika .mbona arusha namwanza amtaki kuachia nyie kunanini .polisi ao mnao watumia mjue ipo siku watawageuka kama mwanza.
 
sikia mkuu arusha ni moshi na moshi ni arusha kwahiyo peleka ungese wako huko kuama mamamamako RIP MAREHEMU WOTE AMINA.
 
Nonsense! Mambo ya Arusha tuachie wenyewa wana Arusha na mambo ya CHADEMA pia tuachie wenyewe wana CHADEMA!

Wewe Kadogoo endelea na CCM yako na usituzoee kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Nonsense! Mambo ya Arusha tuachie wenyewa wana Arusha na mambo ya CHADEMA pia tuachie wenyewe wana CHADEMA!

Wewe Kadogoo endelea na CCM yako na usituzoee kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Arusha ni mji wa kitalii na mlango wa kuingia TZ kwa watalii na wageni! walalahoi wengi hujipatia mkate wao tokana na sifa hizi za Arusha!
Kwanini chama cha upinzani CDM wanaitumia Arusha kuwa kitovu cha machafuko na misukosuko? kwanini hawaendi
Kilimanjaro kulikoasisiwa Chadema? walalahoi wa Arusha wanataabika kwasababu Chadema wameamua kuwaadhibu wananchi wa Arusha kwa kuifanya Arusha kuwa mji wa maasi na machafuko ili Arusha iathirike kiuchumi na lengo lao la kuhujumu uchumi wa Arusha lifanikiwe!

Ombi langu kwa Wana Arusha wasikubali kutumiwa na CDM kuhujumu uchumi wa Arusha kwani watakaoathirika niwao na familia zao huku wenzao wa Kilimanjaro wakineemeka kwa kulinda amani na mshikamano wao!

Arusha wameshawaambia kna mbowe maandamano wapeleke moshi si kuja kuharbu ajra za vjana na wakaz wa arusha ambazo 80% znategemea kpato cha utalii wakat moshi makampun ya kna mbowe na hoteli zao na ndesamburo za protea machame na keys hotel moshi zikijaza wagen na kupandsha watalii mlma klmanjaro hatutak tena vurugu na maandamano wakaandamane moshi kuna vwanja vingi sana tumechoka dola ifanye kaz yake
 
Back
Top Bottom