habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 456
sera za kipumbavu ni zile za kutembea na sumu hadi bar ili uwekee wenzako kwenye vinywajiHata katiba mpya yenyewe haikuwepo kwenye Sera za CCM ndiyo maana hata waziri wa sheria yule mwanamama sijui anaitwaga nani alishatoa tamko la Serikali hadharani kwamba Serikali ya CCM haina mpango wa kuandika katiba mpya kwani iliyopo haina matatizo lakini baadaye wakaona sera zao ni za kipumbavu ikabidi warudi nyuma waangalie sera za Chadema then Rais akaamua huu mchakato uanze mara moja.
Via Mobile