Haijawahi tokea chama cha upinzani makini kama cdm hapa nchini,mnaosema cjui hata nccr enzi za mrema ilikuwa kama cdm mnaota ndoto za mchana na hata cuf haijawahi ifikia cdm labda kwa zenji,bahati nzuri since then nilkuwepo,ushauri mwingi wa cdm unafanyiwa kazi na serikali hii indirect,pia kila linaloanzishwa na cdm na ccm wanaiga,while kipindi kile ccm haikuwahi kuiga chochote toka vyama vikubwa kama nccr na cuf na wala haikuwa kukosa usingizi kama inavyokoseshwa na cdm.
slaa leo akiwa morogoro kesho kutwa nape na kinana wako moro,sugu akiwika mbeya kesho kutwa wako hapo,sasa enzi za cuf na nccr haya yalitokea? think