CHADEMA Inaongoza nchi Indirectly

hivi inakuwaje jf wanaruhusu mtu anatoa nakala ya rasimu ya katiba ya uongo halafu mods mnaiangalia na ile anapotosha uma sijui tunajenga taifa la namna gani kumbe siku hizi mtu anaweza kuja jf na kuweka bandiko la uongo na ukweli unajulikana halafu kaachwa tu watu kama hawa ndo watasabisha jf ifungiwe.
 
hivi inakuwaje jf wanaruhusu mtu anatoa nakala ya rasimu ya katiba ya uongo halafu mods mnaiangalia na ile anapotosha uma sijui tunajenga taifa la namna gani kumbe siku hizi mtu anaweza kuja jf na kuweka bandiko la uongo na ukweli unajulikana halafu kaachwa tu watu kama hawa ndo watasabisha jf ifungiwe.

Mkuu subiri tuone kama JF safari hii watachomoka kufungiwa ,hii ni hatari sana.
 
Chadema ndio mlezi wa nchi hii MACCM yameshajizira hayajui wanafanya nini,katiba ni zao la Chadema ile kutoka nje mbele ya Kikwete na mabalozi wote wanaompa aslimia 40 ya bajeti yake alifedheheka akamua aanze na la katiba
 
cdm ni ya watanzania na tanzania ni ya watanzania kwahiyo cdm kuongoza nchi ni hali ya kawaida na ata katiba mpya kuandikwa ni wazo la CDM na siyo chama kingine.
 
Huyu habariyamujini kila anaponijibu kwenye posts zangu naona huwa anajibu kitu tofauti kabisa na anakuwa anajibu haraka sana hata kama Post imeenda shule kiasi gani nikajua labda ananifanyia mimi tu ili kunifanyia fujo humu JF, lakini katika thread hii nimejaribu kufuatilia michango yake katika post za watu tofauti nimegundua ni mpuuzi tu fulani aliyedhamilia kuifanya JF ionekane ni forum ya mahayawani, nimeamua nimuweke rasmi kwenye Ignore list yangu.

Post


Majibu


Post


Majibu


Post


Majibu
A very good analysis.
Usishangae sana kwa sababu akili za magamba ndivyo zilivyo, huwa hawajibu hoja, ila wanakuja na vioja vya kutuhamisha kwenye mada. Fuatilia majibu ya akina 'thatha' na wenzake hapo juu, ndivyo uwezo wao wa kufikiri ulipokomea.
 
Haijawahi tokea chama cha upinzani makini kama cdm hapa nchini,mnaosema cjui hata nccr enzi za mrema ilikuwa kama cdm mnaota ndoto za mchana na hata cuf haijawahi ifikia cdm labda kwa zenji,bahati nzuri since then nilkuwepo,ushauri mwingi wa cdm unafanyiwa kazi na serikali hii indirect,pia kila linaloanzishwa na cdm na ccm wanaiga,while kipindi kile ccm haikuwahi kuiga chochote toka vyama vikubwa kama nccr na cuf na wala haikuwa kukosa usingizi kama inavyokoseshwa na cdm.

slaa leo akiwa morogoro kesho kutwa nape na kinana wako moro,sugu akiwika mbeya kesho kutwa wako hapo,sasa enzi za cuf na nccr haya yalitokea? think

Na CDM walipokuwa wanasafiri kwa Helikopta kwenye kampeni CCM waliponda sana, walipogundua kumbe CCM inakula kwao fasta wakaiga.
 
Kuna mengi sana waliyoiga ccm toka cdm ila cdm as cdm hawajawahi iga kitu cha ccm na hili ndilo linalowafanya cdm wawe tofauti na vyama vingine,japo Dr slaa na mh mbowe kwa nyakati tofauti wamesikika wakisema kuiga sio vibaya kikubwa hayo mambo yatekelezwe kwa niamba ya wananchi wote bila kujali itikadi zetu.i salute them
 
Back
Top Bottom