hivi inakuwaje jf wanaruhusu mtu anatoa nakala ya rasimu ya katiba ya uongo halafu mods mnaiangalia na ile anapotosha uma sijui tunajenga taifa la namna gani kumbe siku hizi mtu anaweza kuja jf na kuweka bandiko la uongo na ukweli unajulikana halafu kaachwa tu watu kama hawa ndo watasabisha jf ifungiwe.