Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,702
- Thread starter
- #61
acha pombe..Kweli akiri makalioni. serikali haifanyi hayo kuua chadema ni sehemu ya kazi yao na posho zinaliwa na hao ccm unao wasema wapo madarakani wewe upo mtaani hayo matumizi ya fedha ni kodi yako na wajomba zako, hao askari wanalipwa posho maisha yanaenda ulie tangaza ukuta ni wewe uliye ahirisha ni wewe nani mwenye hasara. Chadema ya kuhurumiwa kwa akiri kama hizi yaani mpaka sasa hamjui aliye watangazia ukuta alikuwa anatishia serikali isimdai kodi bdo aka kwama mtaburuzwa na mbowe mpaka mkome.