CHADEMA inademka na kila mdundo unaopigwa

MoureenAbel

Member
Sep 24, 2021
29
43
Ili kuweza kukitoa chama tawala madarakani, ni wazi kuwa panahitaji chama ambacho kitakuwa mbadala wake, chenye nguvu kama au walau kukaribia nguvu chama tawala. Hali inapokuwa kinyume na hapo, ni wazi kwamba itakuwa vigumu sana kukitoa chama tawala madarakani kwa sababu hilo linawakatisha wananchi tamaa.

Hii ndio hali iliyopo Tanzania kwa sasa. CHADEMA inatamani sana kuiondoa CCM madarakani, lakini ni wazi kwa uwezo wa CHADEMA ulivyo mdogo, tamanio hili litendelea kuwa ndoto hadi pale watakapoamua kubadilika.

CHADEMA imekuwa ikiruka na kila mjadala unaokuja mitandaoni, viongozi wake wamekuwa ni watu wa kushikilia kila kibaya kinachoichafua serikali, badala ya kutumia nguvu na uwezo wao kujenga chama kiwafikie wananchi zaidi, kitoe sera mbadala ili wananchi wakifahamu na wajue kwamba wana mbadala.

Leo CHADEMA inamkumbatia Polepole na kumuona kama shujaa, wakati miezi kadhaa nyuma walikuwa wanamuona kama sehemu ya watesi, likiji la Tanzania kunyimwa mikopo wanaruka nalo, la katiba mpya wanalo, tozo wanalo, umeme wanalo, EWURA wanalo. Yani hata wananchi wanashindwa kuelewa hawa watu wana sera gani.

Suala sio kuruka na kila hoja au mjadala,andaeni sera itakayoonekana kuwa ni mbadala wa kinachopelelea haya yote kutokea.
 
Huna lolote ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jf. Huku mitandaoni sio ofisi za cdm bali watumiaji wa mitandao. Hadi saa hii cdm kama chama kiko nchi nzima kusajili wanachama wake kwa njia ya kidigitali, huku wakibeba ajenda ya katiba mpya.

Jana Mnyika amefanya press kuhusu mambo ya chama, umeona akiongelea huu upuuzi ulioweka hapa? Jitahidi kutenganisha maoni ya watumiaji wa mitandao, na misimamo ya chama. Ukijua tofauti ya hilo uje tuendelee na mjadala.
Ili kuweza kukitoa chama tawala madarakani, ni wazi kuwa panahitaji chama ambacho kitakuwa mbadala wake, chenye nguvu kama au walau kukaribia nguvu chama tawala. Hali inapokuwa kinyume na hapo, ni wazi kwamba itakuwa vigumu sana kukitoa chama tawala madarakani kwa sababu hilo linawakatisha wananchi tamaa.

Hii ndio hali iliyopo Tanzania kwa sasa. CHADEMA inatamani sana kuiondoa CCM madarakani, lakini ni wazi kwa uwezo wa CHADEMA ulivyo mdogo, tamanio hili litendelea kuwa ndoto hadi pale watakapoamua kubadilika.

CHADEMA imekuwa ikiruka na kila mjadala unaokuja mitandaoni, viongozi wake wamekuwa ni watu wa kushikilia kila kibaya kinachoichafua serikali, badala ya kutumia nguvu na uwezo wao kujenga chama kiwafikie wananchi zaidi, kitoe sera mbadala ili wananchi wakifahamu na wajue kwamba wana mbadala.

Leo CHADEMA inamkumbatia Polepole na kumuona kama shujaa, wakati miezi kadhaa nyuma walikuwa wanamuona kama sehemu ya watesi, likiji la Tanzania kunyimwa mikopo wanaruka nalo, la katiba mpya wanalo, tozo wanalo, umeme wanalo, EWURA wanalo. Yani hata wananchi wanashindwa kuelewa hawa watu wana sera gani.

Suala sio kuruka na kila hoja au mjadala,andaeni sera itakayoonekana kuwa ni mbadala wa kinachopelelea haya yote kutokea.
 
Ili kuweza kukitoa chama tawala madarakani, ni wazi kuwa panahitaji chama ambacho kitakuwa mbadala wake, chenye nguvu kama au walau kukaribia nguvu chama tawala. Hali inapokuwa kinyume na hapo, ni wazi kwamba itakuwa vigumu sana kukitoa chama tawala madarakani kwa sababu hilo linawakatisha wananchi tamaa.

Hii ndio hali iliyopo Tanzania kwa sasa. CHADEMA inatamani sana kuiondoa CCM madarakani, lakini ni wazi kwa uwezo wa CHADEMA ulivyo mdogo, tamanio hili litendelea kuwa ndoto hadi pale watakapoamua kubadilika.

CHADEMA imekuwa ikiruka na kila mjadala unaokuja mitandaoni, viongozi wake wamekuwa ni watu wa kushikilia kila kibaya kinachoichafua serikali, badala ya kutumia nguvu na uwezo wao kujenga chama kiwafikie wananchi zaidi, kitoe sera mbadala ili wananchi wakifahamu na wajue kwamba wana mbadala.

Leo CHADEMA inamkumbatia Polepole na kumuona kama shujaa, wakati miezi kadhaa nyuma walikuwa wanamuona kama sehemu ya watesi, likiji la Tanzania kunyimwa mikopo wanaruka nalo, la katiba mpya wanalo, tozo wanalo, umeme wanalo, EWURA wanalo. Yani hata wananchi wanashindwa kuelewa hawa watu wana sera gani.

Suala sio kuruka na kila hoja au mjadala,andaeni sera itakayoonekana kuwa ni mbadala wa kinachopelelea haya yote kutokea.
Hapo chukua chako mapema mnademka na mpambano wa Mzee Slow.
 
Polepole ana haki ya kutoa maoni yake kama alivyo mtanzania mwingine yeyote, na ajibiwe kwa hoja, kumnyima haki hiyo kwasababu zozote zile ni udikteta tu kama ulivyo udikteta mwingine wowote.

Mahakama zipo, kama alitenda makosa waungane wote wanaomshambulia wakamshtaki, na sio kumsuta; naamini kwa hili la Polepole majaji watakuwa upande wao, lakini asifungwe mdomo kwa sababu nyingine yoyote.
 
Polepole ana haki ya kutoa maoni yake kama alivyo mtanzania mwingine yeyote, kumnyima haki hiyo kwasababu zozote zile ni udikteta kama ulivyo udikteta mwingine wowote.
Waliomnyima ni nani kama SII wanachukua chako mapema. Ila kukukumbusha tu, enzi huyo akiwa kwenye viieete aliowaita wapinzani waliolalamikia Hali hii na mengine mengi , aliishia kuwauliza kama wanaijiua viieete😃.
 
Waliomnyima ni nani kama SII wanachukua chako mapema. Ila kukukumbusha tu, enzi huyo akiwa kwenye viieete aliowaita wapinzani waliolalamikia Hali hii na mengine mengi , aliishia kuwauliza kama wanaijiua viieete.
Nasimamia sheria simtetei mtu, na sheria haichagui sura, kabila, umbo, historia ya mtu, itikadi kisiasa au vyovyote vingine.
 
Ili kuweza kukitoa chama tawala madarakani, ni wazi kuwa panahitaji chama ambacho kitakuwa mbadala wake, chenye nguvu kama au walau kukaribia nguvu chama tawala. Hali inapokuwa kinyume na hapo, ni wazi kwamba itakuwa vigumu sana kukitoa chama tawala madarakani kwa sababu hilo linawakatisha wananchi tamaa.

Hii ndio hali iliyopo Tanzania kwa sasa. CHADEMA inatamani sana kuiondoa CCM madarakani, lakini ni wazi kwa uwezo wa CHADEMA ulivyo mdogo, tamanio hili litendelea kuwa ndoto hadi pale watakapoamua kubadilika.

CHADEMA imekuwa ikiruka na kila mjadala unaokuja mitandaoni, viongozi wake wamekuwa ni watu wa kushikilia kila kibaya kinachoichafua serikali, badala ya kutumia nguvu na uwezo wao kujenga chama kiwafikie wananchi zaidi, kitoe sera mbadala ili wananchi wakifahamu na wajue kwamba wana mbadala.

Leo CHADEMA inamkumbatia Polepole na kumuona kama shujaa, wakati miezi kadhaa nyuma walikuwa wanamuona kama sehemu ya watesi, likiji la Tanzania kunyimwa mikopo wanaruka nalo, la katiba mpya wanalo, tozo wanalo, umeme wanalo, EWURA wanalo. Yani hata wananchi wanashindwa kuelewa hawa watu wana sera gani.

Suala sio kuruka na kila hoja au mjadala,andaeni sera itakayoonekana kuwa ni mbadala wa kinachopelelea haya yote kutokea.
Unauona mdogo kwa kuwa Kwa kushirikiana na Mzee wa viieete mliwahujumu Ili wasiwe na uwezo, ila makadirio yenu yalienda fyongo , Sasa mnakuja lialia hapa, wenzenu wanasonga kidigitali, huku nyie mkipambana na joka mlilolifuga wenyewe🤔.
 
Nasimamia sheria simtetei mtu, na sheria haichagui sura, kabila, umbo, historia ya mtu, itikadi kisiasa au vyovyote vingine.
Hayo ya kusimamia Sheria SII Kwa mifumo corrupt kama ya nchi Ile ya akina slow slow🤔.
 
Hayo ya kusimamia Sheria SII Kwa mifumo corrupt kama ya nchi Ile ya akina slow slow.
Basi kama mahakamani mnapaogopa muacheni atoe maoni yake na mumjibu kwa hoja, sio kumsuta, hii precedence ya kijinga itatugharimu mbele ya safari ikiendekezwa.
 
Ili kuweza kukitoa chama tawala madarakani, ni wazi kuwa panahitaji chama ambacho kitakuwa mbadala wake, chenye nguvu kama au walau kukaribia nguvu chama tawala. Hali inapokuwa kinyume na hapo, ni wazi kwamba itakuwa vigumu sana kukitoa chama tawala madarakani kwa sababu hilo linawakatisha wananchi tamaa.

Hii ndio hali iliyopo Tanzania kwa sasa. CHADEMA inatamani sana kuiondoa CCM madarakani, lakini ni wazi kwa uwezo wa CHADEMA ulivyo mdogo, tamanio hili litendelea kuwa ndoto hadi pale watakapoamua kubadilika.

CHADEMA imekuwa ikiruka na kila mjadala unaokuja mitandaoni, viongozi wake wamekuwa ni watu wa kushikilia kila kibaya kinachoichafua serikali, badala ya kutumia nguvu na uwezo wao kujenga chama kiwafikie wananchi zaidi, kitoe sera mbadala ili wananchi wakifahamu na wajue kwamba wana mbadala.

Leo CHADEMA inamkumbatia Polepole na kumuona kama shujaa, wakati miezi kadhaa nyuma walikuwa wanamuona kama sehemu ya watesi, likiji la Tanzania kunyimwa mikopo wanaruka nalo, la katiba mpya wanalo, tozo wanalo, umeme wanalo, EWURA wanalo. Yani hata wananchi wanashindwa kuelewa hawa watu wana sera gani.

Suala sio kuruka na kila hoja au mjadala,andaeni sera itakayoonekana kuwa ni mbadala wa kinachopelelea haya yote kutokea.

😁😁

IMG_20211213_185318_612.jpg
 
Basi kama mahakamani mnapaogopa muacheni atoe maoni yake na mumjibu kwa hoja, sio kumsuta, hii precedence ya kijinga itatugharimu mbele ya safari ikiendekezwa.
Binafsi ninazo sababu nyingi za kuwa na mtazamo huu kwake, kwanza kwenye siasa ndio maisha Yao, ukigeugeu, acha ushiriki katika kuunga mkono, ama Kwa kushindwa kukemea uovu, au kuunga mkono, iwe moja kwamoja au hata TU kuashindwa kuukemea kwa nafasi aliyokuwa nayo, au hata tu kuonyesha kuchukizwa nao hasa ulioonyesha kuwa na dalili za ubaguzi au unyanyasaji wa kiitikadi, za kisiasa na zile zenye mrengo was ukanda.
 
Mwanalumumba ni lini chadema imetoa tamko kumsemea polepole...acheni uwongo polepole apambane
 
Chadema ilikuwa ile ya zamani ya dr Slaa, hii mdebwedo ya sasa hivi hakuna lolote, ni porojo tu bila sera wala hoja.
 
Ili kuweza kukitoa chama tawala madarakani, ni wazi kuwa panahitaji chama ambacho kitakuwa mbadala wake, chenye nguvu kama au walau kukaribia nguvu chama tawala. Hali inapokuwa kinyume na hapo, ni wazi kwamba itakuwa vigumu sana kukitoa chama tawala madarakani kwa sababu hilo linawakatisha wananchi tamaa.

Hii ndio hali iliyopo Tanzania kwa sasa. CHADEMA inatamani sana kuiondoa CCM madarakani, lakini ni wazi kwa uwezo wa CHADEMA ulivyo mdogo, tamanio hili litendelea kuwa ndoto hadi pale watakapoamua kubadilika.

CHADEMA imekuwa ikiruka na kila mjadala unaokuja mitandaoni, viongozi wake wamekuwa ni watu wa kushikilia kila kibaya kinachoichafua serikali, badala ya kutumia nguvu na uwezo wao kujenga chama kiwafikie wananchi zaidi, kitoe sera mbadala ili wananchi wakifahamu na wajue kwamba wana mbadala.

Leo CHADEMA inamkumbatia Polepole na kumuona kama shujaa, wakati miezi kadhaa nyuma walikuwa wanamuona kama sehemu ya watesi, likiji la Tanzania kunyimwa mikopo wanaruka nalo, la katiba mpya wanalo, tozo wanalo, umeme wanalo, EWURA wanalo. Yani hata wananchi wanashindwa kuelewa hawa watu wana sera gani.

Suala sio kuruka na kila hoja au mjadala,andaeni sera itakayoonekana kuwa ni mbadala wa kinachopelelea haya yote kutokea.
Mnatamani sana Chadema wamkumbatie Polepole. Hilo ni suala lenu la ndani na haliwahusu Chadema. Watu wanatetea uhuru wake wa kusema bila kubughudhiwa lakini hawana mpango nae kabisa.

Amandla...
 
Ili kuweza kukitoa chama tawala madarakani, ni wazi kuwa panahitaji chama ambacho kitakuwa mbadala wake, chenye nguvu kama au walau kukaribia nguvu chama tawala. Hali inapokuwa kinyume na hapo, ni wazi kwamba itakuwa vigumu sana kukitoa chama tawala madarakani kwa sababu hilo linawakatisha wananchi tamaa.

Hii ndio hali iliyopo Tanzania kwa sasa. CHADEMA inatamani sana kuiondoa CCM madarakani, lakini ni wazi kwa uwezo wa CHADEMA ulivyo mdogo, tamanio hili litendelea kuwa ndoto hadi pale watakapoamua kubadilika.

CHADEMA imekuwa ikiruka na kila mjadala unaokuja mitandaoni, viongozi wake wamekuwa ni watu wa kushikilia kila kibaya kinachoichafua serikali, badala ya kutumia nguvu na uwezo wao kujenga chama kiwafikie wananchi zaidi, kitoe sera mbadala ili wananchi wakifahamu na wajue kwamba wana mbadala.

Leo CHADEMA inamkumbatia Polepole na kumuona kama shujaa, wakati miezi kadhaa nyuma walikuwa wanamuona kama sehemu ya watesi, likiji la Tanzania kunyimwa mikopo wanaruka nalo, la katiba mpya wanalo, tozo wanalo, umeme wanalo, EWURA wanalo. Yani hata wananchi wanashindwa kuelewa hawa watu wana sera gani.

Suala sio kuruka na kila hoja au mjadala,andaeni sera itakayoonekana kuwa ni mbadala wa kinachopelelea haya yote kutokea.
Liko wapi tamko la CHADEMA la kumkumbatia Polepole ?
 
Basi kama mahakamani mnapaogopa muacheni atoe maoni yake na mumjibu kwa hoja, sio kumsuta, hii precedence ya kijinga itatugharimu mbele ya safari ikiendekezwa.
Kumsuta mtu sio tatizo. Tatizo ni mtu kupigwa risasi au kufunguliwa kesi ili anyamaze.
 
Ili kuweza kukitoa chama tawala madarakani, ni wazi kuwa panahitaji chama ambacho kitakuwa mbadala wake, chenye nguvu kama au walau kukaribia nguvu chama tawala. Hali inapokuwa kinyume na hapo, ni wazi kwamba itakuwa vigumu sana kukitoa chama tawala madarakani kwa sababu hilo linawakatisha wananchi tamaa.

Hii ndio hali iliyopo Tanzania kwa sasa. CHADEMA inatamani sana kuiondoa CCM madarakani, lakini ni wazi kwa uwezo wa CHADEMA ulivyo mdogo, tamanio hili litendelea kuwa ndoto hadi pale watakapoamua kubadilika.

CHADEMA imekuwa ikiruka na kila mjadala unaokuja mitandaoni, viongozi wake wamekuwa ni watu wa kushikilia kila kibaya kinachoichafua serikali, badala ya kutumia nguvu na uwezo wao kujenga chama kiwafikie wananchi zaidi, kitoe sera mbadala ili wananchi wakifahamu na wajue kwamba wana mbadala.

Leo CHADEMA inamkumbatia Polepole na kumuona kama shujaa, wakati miezi kadhaa nyuma walikuwa wanamuona kama sehemu ya watesi, likiji la Tanzania kunyimwa mikopo wanaruka nalo, la katiba mpya wanalo, tozo wanalo, umeme wanalo, EWURA wanalo. Yani hata wananchi wanashindwa kuelewa hawa watu wana sera gani.

Suala sio kuruka na kila hoja au mjadala,andaeni sera itakayoonekana kuwa ni mbadala wa kinachopelelea haya yote kutokea.
Wacha upumbavu wewe Chadema wako imara na makongamano ya Katiba mpya na kusajili wanachama wao kwenye Chadema Digital. Lini umesikia tamko la Chadema kuhusu huyu kiroboto wenu? Kama unaongelea ya huku miatandaoni hao ni watu binafsi na maoni yao. Koma kuihusisha Chadema na upuuzi wa Polepole. Huu mtifuano wenu huko CCM sisi tunaufurahia wala hatuna upande kwani CCM wote ni wapigaji na mashetani tu. Tunaomba muuane kabisa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom