Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,745
- 5,446
Asante Faiza, Mungu wa Kanisa anaitwa nani, Mungu wa Misikiti anaitwa nani, na miungu wa Wabudha, Hindu wanaitwaje?
Vv
Vv
Padre Slaa kazi ya kumtumikia Mungu imemshinda kutokana na tamaa za kimwili
FaizaFoxy
Mimi sipo chama chochote lakini namu admire sana huyu Dada kwasababu hoja zake nyingi ukisoma kwa makini utakuta zina ukweli . Detailed analysis. Hata kama yupo kwa maslahi ya chama chake ila kichwa chake kimetulia sana . Na anapoweka nondo zake humu naona wapo watu wanatamani wampige mawe.
Asante Faiza, Mungu wa Kanisa anaitwa nani, Mungu wa Misikiti anaitwa nani, na miungu wa Wabudha, Hindu wanaitwaje?
Vv
Mnyika na Mdee waanze kuaga tu ila Mdee anaweza tena kuteuliwa viti maalum maana waanamuogopa sana anajua siri ya Mbowe na Mnyika.
Padre Slaa kazi ya kumtumikia Mungu imemshinda kutokana na tamaa za kimwili
Yesu Kristo ndie Mungu Mkuu, wengine wote ni miungu inclusive Allah and his sole prophet Muhammad, charles darwin a non theistic deity.Ngoja Ishmael atakupa darsa kuhusu hilo la wa kanisa., Nimemuita anajifanyia hajasikia.
Wa Msikiti anaitwa Allah, kuhusu wa Wabudha na wa Wahindu ngoja nifanye "research" kiduchu, ntarudi kukupa darsa.
FaizaFoxy
Wewe ndio mlinzi asiyeonekana aliyetajwa mtabiri wenu?
Au wewe ndie mrithi wake?
Maana unaishi kwa utabiri na hisia tu.
JK na Riz hao unawaweka wapi? au hao sio baba na mwana.?
cc: Getstart
hahhahahahahahaha...the same upuuzi kutoka kwa wapuuzi wale wale
Tatizo moja kubwa sana nnaloliona hapa kutpka kwa bavichaa ni kushindwa kujenga hoja, kati ya wote mliojibu nyuzi hii 99% ya bavichaa wanahororoja na kubwabwaja bila mpango.
Ikiwa vihoja hivi vichache na vya wazi kabisa mnashindwa kujenga hoja zenu na kujibu kistaarabu ili tuelewane, kweli mtaweza kujibu nondo za Tyson na mtaweza kuwakinaisha Watanzania kuwa mnaweza kuongoza nchi?
Jisomeni halafu muone kwa kubwabwaja na kuhororoja kwenu mlikokufanya humu mnaweza kweli kuwa hata wajumbe wa nyumba kumi?
Uzuri ni kwamba leo hamjatukana sana, isipokuwa mapunguani wachache tu, ndiyo raha ya misukule hiyo, utavyoiambia inafata. Tatizo wale kondoo, kila unapowaweka sawa wao vichwa vigumu.
Ntakuja kumjibu kila mmoja kwa namna yake alivyochangia. Liwe ni fundisho kwenu.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Viti maalum vya vyama hakuna uchaguzi ujao, kutakuwa na viti maalum vya Rais tu.
Hapo sasa.
FaizaFoxy
weka ni picha za
ali hassan mwinyi vs hussein mwinyi
jakaya kikwete vs ridhiwani kikwete
pius msekwa vs ana abdallah
samuel sita vs margareth sita
khamis kagasheki vs catherine magige
Asante Faiza, Mungu wa Kanisa anaitwa nani, Mungu wa Misikiti anaitwa nani, na miungu wa Wabudha, Hindu wanaitwaje?
Vv
Novemba si mbali nina uhakika utakimbia jukwaa ..kumbuka ikulu si ufipa...
Bila shaka hakuna utata katika hili, kuwa chadema imeshapoteza majimbo ya uchaguzi hata uchaguzi haujafika.
Kwa ufupi, majimbo ambayo hayako tena mikononi mwa chadema hivi sasa na mpaka ifikapo Oktoba ni ya Zitto, Arfi, Shibuda, Halima Mdee na Mnyika.
Kwa urefu, tujadili na mengine ambayo chadema wanajuwa wazi wameshayakosa au wanategemea kuyakosa kwa sababu tofauti.
Chadema wamshukuru sana Jussa wa Zanzibar kuwapa uhai mpya kwa kuleta wazo la UKAWA na Lipumba kukubali wazo hilo wakati wa BMK.
Lakini mpaka sasa wako ICU kwani hakuna asiyeelewa kipigo kilichowaumiza sana chadema ni siasa zao za ubinafsi, kuanzia Kwa Mtei mpaka Mkwewe Mbowe na upande wa pili kuanzia kwa Slaa mpaka kwa mchumba Josefina ambae ana hodhi madaraka ofisi za chadema makao makuu kuliko akina Komu. Upande wa tatu kuna Ndesamburo na mwanawe, ukivuka bahari kuna mpwa wa Naibu Mwenyekiti wa visiwani nae kapachikwa ubunge wa ipendelo. Yaani huko chadema ubinafsi ni kwao.
Mbali ya uchumia tumbo na udini walio nao.
Hili la udini wala si siri, kauli mbiu ya Chadema "Tumeanza na Mungu Tutamaliza na Mungu" haina utata kabisa kuashiria udini wao, kwani nnauhakika Mungu huyo wanaeanza na kumaliza nae si Allah bali ni Mungu wa Kanisa. Anaebisha hili anambie na nipo tayari kulijadili zaidi. Kwa mantiki hiyo, majimbo yenye Waislam wengi ni lazima chadema iwawachie amma CUF amaa NCCR amma NLD, Mbatia wala Makaidi hatujauona udini wao mpaka sasa, natumai hawana. Chadema kwa hilo hawana kipya, kauli mbiu hiyo inaendelea kuwateketeza kule isipokubalika.
UKAWA nako kimenuka, CUF hawatokubali kubaki na Zanzibar pekee, lazima wajitutumuwe waambulie majimbo ya ubunge bara kujiongezea ruzuku. Jee, chadema iko tayari kuachia majimbo iwape CUF? Hapo sasa.
Upande wa Zanzibar CUF hawatokubali kumpa yeyote hata kiti kimoja, mfano mdogo tu, kumpa chadema jimbo lolote Zanzibar ni kuhakikisha kuwa hilo jimbo umelipoteza, hakuna asiyejuwa, Padri Slaa na kauli mbiu ya chadema ya "Tumeanza na Mungu, tutamaliza na Mungu" Zanzibar haikubaliki kwa sababu niliyoiweka hapo juu.
NCCR hali kadhalika ni lazima wajitutumuwe kuongezzea majimbo, ni nani asiyetaka kujipanuwa? Jee, chadema na au CUF wataakuwa tayari kuachia majimbo yao machache yaliyobaki kwa ajili ya NCCR? ukichukulia kuna kila uwezekano na Kafulila akahamia ACT baada ya Bunge kufungwa.
Na wale wengine NLD nao ni kama paka aliyesikia harufu ya samaki waliposikia wazo la ukawa BMK, wakarukia bila kufikiria, siwalaumu, hata mimi ningekuwa wao ningerukia fursa hiyo, hawana cha kupoteza bali na wao ni lazima wapewe jimbo, na ukawa wakubwa wawaunge mkono, jimbo lingine hilo la chadema linayeyuka. Hawa hata uwaambie nini ni lazima watang'ang'ania na wao watengewe majimbo.
Ukija kwa ACT, hakuna shaka kuwa wabunge wengine wawili watatu zaidi ya hao niliowataja watachukuwa fursa ya kujiunga huko na kugombea Ubunge. Majimbo mengine hayo ya chadema.
Bila kusahau wale wabunge wenye uzoefu wa kupendelewa nao vyama vyao visipowapitisha ni lazima watakuwepo wataokwenda kuwahi fursa ACT.
Maadili nayo ni pigo lingine kwa chadema, sijuwi Mbatia hili analisemeaje, kwani nnavyomuona na kumsikia anavyoongea naona ni mtu ambae yuko vyema ki maadili:
Chadema mpoooooo? Bavichaa njooni kwa heshima na adabu, matusi sitaki.
Kwa umri wako mleta uzi sishangai siasa za hivyo kwani kizazi chenu ndio kilichoasisi siasa za namna hii. Hongera sana kwa siasa zenye tija kwa taifa letu.
Nameroki sokoine na Edward SOKOINE
mAKONGORO NA ROSE nyerere n
mwinyi mbunge afrika mashariki
riz 1 na MAMA SALMA
NAPE NAUYE.....
MGIMWA NA MGIMWA
ADAM MALIMA
GAMA MKUU WA MKOA
makamba
karume
mzindakaya
aisha na omari kigoda.....
List ni ndefu na inaendelea
Ndugu kuwa kwenye fani moja mi sioni kama ni tatizo sana....tatizo linakuja kama akipitishwa kwa mizegwe kwa kupitia sifa za mtangulizi wake na vilevile akiwa na uwezo mdogo wa kuimudu hiyo nafasi....uwanja wa ushindani uwe huru na haki na mhusika awe na uwezo kuimudu nafasi bila shida yoyote.
Maana hata watotot wengi wa wanasheria nao huwa wanasheria katika familia nyingi za mawakili maarufu utakuta walau mtoto wake mmoja wakili....hata majeshini hivyohivyo.....walimu nao hivyo kuna familia ukienda wote walimu....Madaktari nao hivyo...familia za wafanya biashara ndo hivyohivyo....kwa nini hutokea hivyo? mtoto anajikuta amekulia kwenye hayo mazingira mwisho wa siku anavutika na kujiunga na fani ya mzazi au msukumo wa mzazi mwenyewe kwa lengo la kupata mrithi wa fani yake
Hahahaha!!!! Ungeandika vizuri hapo kwenye red ( VITU MAALUM )ili Prof. Kikwete apandishe mzuka wa kutamani kubaki Magogoni.