mzee wa mawe
Senior Member
- Aug 2, 2011
- 151
- 15
KAMPUNI ya Export Trading, imesema kambi ya upinzani Bungeni, imelidanganya Bunge kuwa inamilikiwa na mshitakiwa wa wizi wa mabilioni ya fedha kwenye Akaunti ya madeni ya Nje (EPA), Jeetu Patel. pia kampuni hiyo ya upinzani, inayoongozwa na wabunge wa chadema, kwa spika wa Bunge, Anne Makinda, ili awachukulie hatua zinazostahili.
"Jeetu patel hahusiki kwa namna yoyote na kampuni hii. kampuni imeshtushwa na taarifa hiyo kutolewa mbele ya moja ya mihimili ya utawala wa nchi yetu bila kuchunguza ukweli" alisema jana Balozi Ramia Abdiwawa, kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo.
Kauli ilikuja baada ya Mdee, kushutumu kitendo cha serikali kuwanyang'anya ardhi wakulima wadogo sehemu mbalimbali nchini na kuwamilikisha vigogo, ikiwamo kampuni hiyo ambayo alidai inamilikiwa na Jeetu Patel.
Soma MWANANCHI
"Jeetu patel hahusiki kwa namna yoyote na kampuni hii. kampuni imeshtushwa na taarifa hiyo kutolewa mbele ya moja ya mihimili ya utawala wa nchi yetu bila kuchunguza ukweli" alisema jana Balozi Ramia Abdiwawa, kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo.
Kauli ilikuja baada ya Mdee, kushutumu kitendo cha serikali kuwanyang'anya ardhi wakulima wadogo sehemu mbalimbali nchini na kuwamilikisha vigogo, ikiwamo kampuni hiyo ambayo alidai inamilikiwa na Jeetu Patel.
Soma MWANANCHI