Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Tangia kuondoka kwa Dr Slaa, Chadema imeacha misingi yake!, sasa hivi kinaongozwa bila kanuni, taratibu na miiko ya chama.
Sasa hivi mafisadi, wachawi, wauza madawa ya kulevya wote watajiunga chadema kwa shangwe na vigelegele bila shida yoyote. !!
Kipindi cha Dr Slaa mtu yoyote mwenye tuhuma za ufisadi na uuzaji wa dawa za kulevya asingeweza kukimbilia chadema.
Hahahaha muulizeni Mkuu wa Mkoa ukweli kuhusu kumpangia nyumba yule International Drug Trafficker.