CHADEMA imekuwa dampo la CCM


Kabla ya kujiunga na Chadema Dr. Slaa alikuwa chama gani cha siasa?
 
Kwahiyo Dk slaa alikuwa anazuia watu kujiunga chamani? Kuna msemo ubmnasema "Umetisha" lakini wewe "UMETISHWA" pole yako!!!!
 
....
....Wema wahurumie Dada umetisha
Sorry, nilikusudia kumjibu mtoa hoja mkuu. Take it easy
 




Kati ya hao unaowashutumu,ni wangapi wamejiunga Chadema wakitoka kutumikia vifungo vyao baada ya kuhukumiwa na serikali ya ccm inayomiliki mahakama ya mafisadi?

Kama serikali yako yenye mamlaka zote kikatiba imedhindwa kuwashughulikia hao wahalifu,badala yake inaota ndoto za kutamani kuwa igp ili ipambane na waimba pambio wa Gwajima na waosha magari nani alaumiwe?

Waacheni watu watumie haki zao za kikatiba za kujiunga na vyama wavitakavyo,kama kujiunga na chama cha siasa nako ni "kifaru cha jeshi", utangazieni umma uelewe kuwa mtu kuhama chama ni sawa na kukihamisha kifaru kambini.
 
Haya tumekusikia, kunywa maji upumzike
 
Na wanaopokelewa kila siku ccm wakitokea Chadema wao unawazungumziaje?
Wanaokwenda ccm inajulikana ni njaa huwa inawaandama, ila kwa chadema tena hasa miaka ya karibuni wanaoingia ni watu wa hovyo zaidi.....mafisadi, wachawi, makahaba, madawa ya kulevya nk
Mtaongea sana aisee ...save your breath...yet is to come

 
Endeleeni kutetea ujinga
 
Watanzania tumshukuru sana Paul Makonda kwa kukubali kujitoa mhanga kuwaokoa vijana wetu. Hivi bila Makonda tungejuaje kama Steven Nyerere anamla mama yake Wema?
 
imekuwa dampo, kwan hawa waliojiunga na chadema wamefukuzwa ccm? kama ni dampo la ccm mbona hao hao walipokuwa uku mliwabebesha majukum mazito tu ya chama, kama ile kampen ya mama sema na mwanao ni nan aliiendesha
 
Haki inakuja baada ya kushtukiwa kuwa hufai,Kyadema bana hawajifunzi ni kama sikio la kufa,walianza na Richmond sasa wanakuja na akina Sepetunga wanaamini Sepetunga atawapa ushindi hah hah haya kama mnaamini hao''wasanii'' wanaongeza tija kwenye uchaguzi sawa.
 
Ukizungumzia dampo unakosea sana,wanachama wa chadema wengi wanahama kwenda CCM na wanachama wengi wa CCM wanahama kwenda CHADEMA,labda usema vyama vya siasa ni dampo kwa wanachama.
 
imekuwa dampo, kwan hawa waliojiunga na chadema wamefukuzwa ccm? kama ni dampo la ccm mbona hao hao walipokuwa uku mliwabebesha majukum mazito tu ya chama, kama ile kampen ya mama sema na mwanao ni nan aliiendesha
Kwa kuwa Kyadema ni chama kinachojali ''upendeleo maalumu kwenye teuzi viti maalumu basi Sepetunga atatinga mjengoni''huko alikoenda ndio mwake .
 
Naunga mkono wema kuhamia chadema, maana team Nyumbuz wooote watamfata. 2020 Chadema msimamishe mgombea urais anaeleweka...hata mimi nitachagua CDM
 


Wema Sepetu alishiriki kikamilifu katika ziara zote za kikampeni zilizofanywa na makamu wa Rais,mbona hajiudhuru hiyo nafasi baada ya kugundulika kuwa ameipata baada ya kusapotiwa na mbwia Unga?
 
Watanzania tumshukuru sana Paul Makonda kwa kukubali kujitoa mhanga kuwaokoa vijana wetu. Hivi bila Makonda tungejuaje kama Steven Nyerere anamla mama yake Wema?
Aise ndo mmekuja na hili? Hahahaha
na kwakwel tungejuaje hata daudi pauli bashite makonda alimla masogange na kumpangishia nyumba makongo na zaidi akataka na "papuchi" ya wema akapigwa chini sasa inamuuma ndo analipa kisasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…