Ndio Askari wa wote maana kijana ACT upo, Mwigulu anakutumia, naamini utakuwa u mwanaccm waliotumwa maalum kuhakikisha giza lkinaendelea kuwepo ndani ya Tanganyika. Unajua kutumika ni kazi sana. Pole sana kijana kuwa askari wa wote ni kazi mnoo. Hivi wewe unaweza kuwa mwanachadema....? Uhuru wa Mtanganyika daima ni ngumu kupatikana kutokana na ujinga, njaaa na mayuda kama nyie!Angalieni tena maneno "itafsiriwe kwenye proper context!" sasa mpaka hapa sijaona katika chadema aliyeweka proper context,akiwamo msemaji wetu wa chama.tutegemee tu kuwa wenye wajibu wa kulinda chama chetu wanafanya kazi.
Angalieni tena maneno "itafsiriwe kwenye proper context!" sasa mpaka hapa sijaona katika chadema aliyeweka proper context,akiwamo msemaji wetu wa chama.tutegemee tu kuwa wenye wajibu wa kulinda chama chetu wanafanya kazi.
Jiulize kwanini huyo Ludovick anashambuliwa na CHADEMA wote, wakati Mohamedi anatetewa na CHADEMA wote.Wewe jifanye unaaminika na kupendwa lakini ipo siku utakuja juta uamuzi wake wa kukubali kuzungukwa na hawa kina masawe na john.
wanafiki wamekutana
Jiulize kwanini huyo Ludovick anashambuliwa na CHADEMA wote, wakati Mohamedi anatetewa na CHADEMA wote.
Kinachoangaliwa ni matendo ya mtu, si dini yake kama udhaniavyo.
Angalieni tena maneno "itafsiriwe kwenye proper context!" sasa mpaka hapa sijaona katika chadema aliyeweka proper context,akiwamo msemaji wetu wa chama.tutegemee tu kuwa wenye wajibu wa kulinda chama chetu wanafanya kazi.
Wakuu.
Sikutaka kumjibu Ludovick kwa kuwa majibu ya Afisa habari wetu wa chama kamanda Tumaini Makene yalijitosheleza sana! Nimeamua kumjibu binafsi kwa kuwa anaweza kuibua hofu isiyokuwa na msingi kutokana na matumizi ya lugha aliyotumia.
Kwenye sehemu ya bandiko lake kwa wale wanaojua kukusanya na kuunganisha nukta ameandika hivi "... Kufuatia hayo yaliyo msibu kwa sababu ya CHADEMA...".
Japo kwenye bandiko lake hukueleza yaliyonisibu ni yapi, lakini wakati huohuo amejivika kuwa msemaji wangu ambaye kwa haiba na matendo yake ya usaliti kwenye chama siwezi kumruhusu kufanya hivyo, bali anaweza kuwa msemaji anaye tumiwa na waliowahi kumtumia kuiangamiza CHADEMA kwa ugaidi fake na mwishowe wakashindwa wote.
Mpaka amekuja kuandika ujumbe wake hapo juu, Sina lolote lililo nikumba ndani ya CHADEMA na natimiza majukumu yangu na wajibu wangu kwa chama chetu ambacho naamini kwa matendo na mwenendo wake (Ludovick Joseph) hawezi kuwa na udhu wa kukisemea achilia mbali kujinasibu kuwa ni mwanachama.
Kama kuna lolote baya linaloweza kunikumbuka na kunidhuru kama ilivyotokea kwa Kibanda ambaye kwenye moja ya mchango wake kule mabadiliko alisema "...miongoni mwa watu walio nivamia ana fanana na Joseph Ludovick...",wakati huo Ludovick akiwa wa kwanza kuripoti kwenye mitandao kuwa Kibanda amevamiwa, litafanya nikumbuke hiyo kauli yake ya "...Yaliyo msibu kwa sababu ya CHADEMA.."
Ninachoweza kumuambia, NIKO TAYARI KWA LOLOTE maana najua hawashindwi kufanya lolote kama jinsi ambayo wamekuwa mafundi wa kupanga yote waliyopanga na wakashindwa kwenye yote.
"Foward ever, backward never"
Mkuu Tumaini Makene, asante kwa taarifa hii kuhusu Chadema na viongozi wake katika suala zima la kupokea ushauri, ushauri siku zote huwa ni ushauri tuu, mshauriwa ana hiyari aupokee au kuupuuza, ila kwa mujibu wa kitu kinachoitwa "right to information" kwa mtu yoyote au taasisi yoyote ambayo iko paid by taxpayers money, the tax pays have all the right to know each and everything kuhusu chombo hicho ambacho ndio hatma ya kodi zao!.
Chadema is no exception, its not a "private party" to enjoy "the right to privacy", itahojiwa, itaulizwa, itachunguzwa, itashauriwa, na pale inapoboronga, itabamizwa kwa sababu ni kodi zetu ndizo zinazoiendesha Chadema!.
Kwa vile sote tuko humu jf, sisi wengine hatuna vyama, mazuri tutapongeza, madudu tutakemea, na kwenye ushauri tutatao, its up to Chadema to take it or leave it, ila kuna sisi wengine hatupendagi makelele ya watu kuja kutulilia humu kila baada ya miaka mitano!, ndio maana sisi wengine tunashauri, na tukiisha puuzwa, wakati wa kuleta vilio humu vya November, 2015, sio tuu tutawakumbusha tuliwashauri nini, bali badala ya kuwapa pole kwa vilio, tutawazomea tukiamini hayo ndio mliyoyataka!.
Asante.
Pasco.[/
Nitakuwa wa mwisho kuamini huna chama, na nitakuwa wa kwanza kuamini wewe ni CCM.
akili yako ya korodani ndo inaamini hiyo ni slogan ya Msaliti,kwamba msaliti ni creator
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.
Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.
Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.
Nimeshauri
ACT mtawachukua sana lakini kiuhalisia wanawajua vizuri sana viongozi wenu, ni vigumu sana kutoamini yanayosemwa na ACT kuhusu viongozi wa CHADEMA na hasa MBOWE na SLAA
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.
Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.
Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.
Nimeshauri
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.
Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.
Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.
Nimeshauri
Angalieni tena maneno "itafsiriwe kwenye proper context!" sasa mpaka hapa sijaona katika chadema aliyeweka proper context,akiwamo msemaji wetu wa chama.tutegemee tu kuwa wenye wajibu wa kulinda chama chetu wanafanya kazi.
vipi Mkuu mshahara serikalini umeshatoka?Njaa mbaya sana, kama Zito kang'ang'ania mpaka alambe kiinua mgongo, itakuwa wewe mtekaji
haya utakuja kuyakana mwenyewe huko siku za usoni. Wewe jifanye unaaminika na kupendwa lakini ipo siku utakuja juta uamuzi wake wa kukubali kuzungukwa na hawa kina masawe na john.
Chamviga, rekodi yako hapa JF inaonesha una chuki kwa Wakristo. Hiyo chuki ndio chimbuko la hoja zako za kisiasa.haya utakuja kuyakana mwenyewe huko siku za usoni. Wewe jifanye unaaminika na kupendwa lakini ipo siku utakuja juta uamuzi wake wa kukubali kuzungukwa na hawa kina masawe na john.
By CHAMVIGA
Mkuu Ritz jamaa zetu wa chadema tunawasitiri mengi sana ila naona wanaamua kumwaga siri wenyewe hapa wanazozipanga makanisani kwa ajili ya taifa letu.
By CHAMVIGA
Huwezi kuitenganisha chadema na kanisa kabisa. Wakatoliki huwachukia waislamu sana na ukiangalia chadema asilimia kubwa ya wakristo wanamchukiaZitto, Arif, na karibia waislamu wote walioko chadema. Hata upcoming kina Mohamedi Mtoi wanamuonyesha tabasamu la kinafiki tu siku akija kutaka nafasi ndani ya chama atakoma.
vipi Mkuu mshahara serikalini umeshatoka?