utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Mohamed Mtoi ni mwanachama na mtendaji wa chama aliyekabidhiwa majukumu na anayatimiza kadri inavyotakiwa.
Yuko anatimiza majukumu yake kwa chama kama kawaida. Anatimiza wajibu wake kama mwanachama. Anawajibika kama mtendaji kwa kadri ya nafasi yake.
CHADEMA au viongozi wake, hawapangiwi wala kupokea ushauri wa namna ya kusimamia, kuendesha chama au utendaji kazi wa kila siku kutoka kwa CCM na washirika wao (its cronies as I normally write).
Mleta mada anayo fursa nzuri ya kupeleka ushauri wake CCM ambako bila shaka wanamwamini zaidi kama sehemu ya vijana wao.
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.
Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.
Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.
Nimeshauri
Rubish.....
nIMESHAONGEA NA Mohamedi Mtoi AMESEMA HAKURUPUKI KWENYE KUJIBU, ATAKUJIBU TU KWA KUTULIA HAPO UTAKAPOKUWA UMEWEKA USHAHIDI WAKO MAANA HII STORY IKO HEWANI HEWANI SANA
CHAMVIGA TULIA ANAKUJA MANI na zumbemkuu hebu njooni huku msikilize Mgosi anatetwa
Si kila jambo ni la kudharau. Huyu bwana anaaminika sana CCM na ACT . Alichoamua kuabdika kwa id yake si cha kudharau hata kidogo na anajua Mohamed Mtoi ni member humu na anajua atakuja kukanusha na hapo ndipo atamwaga kila kitu. Tudharau hadharani lakini secretly afanyiwe uchunguzi. Sasa hivi hakuna mtu wa kuaminika kwa asilimia mia moja, ikizingatiwa MM2 bado hajafahamika.
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.
Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.
Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.
Nimeshauri
Tunawezaje kumuamini mtu aliyeweza kusaliti chama kwa elfu 50 tu za Mpesa?
Ludovick kajipange tena kijana shame on you.
Huna uhalali wakutoa ushauri kwa chama ilhali wewe ni kiongozi mwandamizi ndani ya ACT,Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.
Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.
Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.
Nimeshauri
......ni dhambi kubwa ambayo haitatulia mpaka iwatafune CHADEMA. Lazima iurudie uongozi wa sasa na kuutesa chini ya Sheria za Karma ( Pasco saidia wasioelewa) na lazima ikitese chama mbeleni. Ninaamini hawa Team CHADEMA wanaomdihaki Zitto leo kwa Baraka za wakuu ndani ya chama, siku chache sana zijazo, miongoni mwao wapo watakaohasi tena na kuwa Team Against CHADEMA/Mbowe/Slaa/etc. Na mashambulizi watakayopeleka kwa Team hasimu yatakuwa machungu zaidi na yenye mashiko kuliko aliyopelekewa Zitto. Jinsi chama kitakavyo handle mtafaruku katika scenario hii utawafanya hata vipofu waone double standard ninayoongelea leo. Na vipofu wakiona nadhani hapo hata mungu halisi wa chadema ambaye wao hujinasibu nao ataonekana!
ACT hamna cha prof mpaka asiyeenda shule wao mwendo wao ni mpesa tu.
ni vigum kukuamini mtu uliyekisaliti chama kwa vipande vitano vya elfu kumi.Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.
Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.
Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.
Nimeshauri
Rejea uzi wenye kipande husika hapa chini:
Nathani sasa muda unaanza kuwa shahidi asiyedanganya! Naendelea kusubiri kwa uvumilivu mkuu kitakachokuwa kitubio cha Ben Saanane, Yericko Nyerere na mohamed Mtoi
Wito kwa CHADEMA; alichotahadharisha Joseph Ludovick kisichukuliwe kimasiahara. Tumaini Makene anaweza kurejea hapa baadae akiwa dekio la maji aliyomwaga mwenyewe!
Mohamed Mtoi, anafahamika sana hapa lakini siyo wengi wanajua historia yake. Kufuatia hayo, yaliyomsibu kwa sababu ya CHADEMA, ni jambo la kuangalia kwa makini sana mintarafu usalama wa chama na viongozi wake.
Nashauri haraka na lazima,idara yetu ya ulinzi na usalama,na inteligensia, ihakikishe Mtoi hakutani na dokta Slaa na Mbowe akiwa peke yake.
Kwasababu ya uharaka na unyeti wa jambo hili,nategemea ujumbe huu utafsiriwe katika proper context, ndiyo maana nimeandika kwa jina langu.
Nimeshauri
Mtoi hajulikani anajishughulisha na nini chadema. Mtoi ni jobless