Wana JF, Ni zaidi ya miaka 50 sasa tukiwatumikia hawa wanyonyaji/wakoloni weusi. Napendeza mara tu CHADEMA/UPINZANI ukiingia ikulu "CCM" ifutwe mara moja kwani haitakiwi kuwapo ktk siasa za ushindani kwa sababu zifuatazo; 1. CCM iko ikulu zaidi ya miaka 50 sasa bila mafanikio yoyote ya maendeleo si mjini wala vijijini hali ni sawa. Kiuchum, kisiasa, kijamii hakuna kilichofanyika ukilinganisha na rasilimali tulizonazo. 2. CCM haijasajiliwa kama sheria inavyotaka tangu 1992 hivyo kuonekana kama chama cha kihuni 3. CCM imejaa umafia,ulaghai,ufisadi na kila aina ya uchafu hivyo kukosa uhalali wa kuitwa chama tawala au chama cha siasa. Kwa 7bu nilizozitaja hapo juu,napendekeza VIGOGO Wote watiwe ndani na wafilisiwe mara tu baada ya CHADEMA/UPINZANI kuingia ikulu VIDAGAA/VIBARAKA tu kama akina "SIMIYU YAO, IFWEERO, ABAKORAKAMO, SUMU, CHABRUMA" na VIJIDAGAA/VIJIBARAKA vingine viachwe kwa kuwa vinatetea njaa a.k.a b7 ili viishi mjini na havijui hii nchi inaliwa vp na imejaaliwa na M/MUNGU kila aina ya RASILIMALI.
Hivi hii ndoto uliota usiku au mchana namini ilikuwa mchana baada ya kupiga gongo usingizi ukakupitia taarifa yako mafisadi wa nchi hii wanapatikana ccm na cdm wote mafisadi ndiomana wa tz wameanza kuipokea ACT kwa mikono yao 2 ilikije kuwakombowa mbowe kawaibia sana watz hebu jaribuni kumuhliza ile. 1kashfa ya bullcanas ilishia wapi? 2 pale bullcanas ni jengo la shirika la nyumba analipia sh ngapi hivi 25000 unaweza ukalipia jengo kama lilepale billcanas ss wa usiangalie ufisadi wa upande mmoja angalia na nyumbani kwako. wa tz tumeshtuka ndugu sasa ni act tu ndio muokoz na mzalendo wa ukweli