Wana JF, Ni zaidi ya miaka 50 sasa tukiwatumikia hawa wanyonyaji/wakoloni weusi. Napendeza mara tu CHADEMA/UPINZANI ukiingia ikulu "CCM" ifutwe mara moja kwani haitakiwi kuwapo ktk siasa za ushindani kwa sababu zifuatazo; 1. CCM iko ikulu zaidi ya miaka 50 sasa bila mafanikio yoyote ya maendeleo si mjini wala vijijini hali ni sawa. Kiuchum, kisiasa, kijamii hakuna kilichofanyika ukilinganisha na rasilimali tulizonazo. 2. CCM haijasajiliwa kama sheria inavyotaka tangu 1992 hivyo kuonekana kama chama cha kihuni 3. CCM imejaa umafia,ulaghai,ufisadi na kila aina ya uchafu hivyo kukosa uhalali wa kuitwa chama tawala au chama cha siasa. Kwa 7bu nilizozitaja hapo juu,napendekeza VIGOGO Wote watiwe ndani na wafilisiwe mara tu baada ya CHADEMA/UPINZANI kuingia ikulu VIDAGAA/VIBARAKA tu kama akina "SIMIYU YAO, IFWEERO, ABAKORAKAMO, SUMU, CHABRUMA" na VIJIDAGAA/VIJIBARAKA vingine viachwe kwa kuwa vinatetea njaa a.k.a b7 ili viishi mjini na havijui hii nchi inaliwa vp na imejaaliwa na M/MUNGU kila aina ya RASILIMALI.
Wana JF, Ni zaidi ya miaka 50 sasa tukiwatumikia hawa wanyonyaji/wakoloni weusi. Napendeza mara tu CHADEMA/UPINZANI ukiingia ikulu "CCM" ifutwe mara moja kwani haitakiwi kuwapo ktk siasa za ushindani kwa sababu zifuatazo; 1. CCM iko ikulu zaidi ya miaka 50 sasa bila mafanikio yoyote ya maendeleo si mjini wala vijijini hali ni sawa. Kiuchum, kisiasa, kijamii hakuna kilichofanyika ukilinganisha na rasilimali tulizonazo. 2. CCM haijasajiliwa kama sheria inavyotaka tangu 1992 hivyo kuonekana kama chama cha kihuni 3. CCM imejaa umafia,ulaghai,ufisadi na kila aina ya uchafu hivyo kukosa uhalali wa kuitwa chama tawala au chama cha siasa. Kwa 7bu nilizozitaja hapo juu,napendekeza VIGOGO Wote watiwe ndani na wafilisiwe mara tu baada ya CHADEMA/UPINZANI kuingia ikulu VIDAGAA/VIBARAKA tu kama akina "SIMIYU YAO, IFWEERO, ABAKORAKAMO, SUMU, CHABRUMA" na VIJIDAGAA/VIJIBARAKA vingine viachwe kwa kuwa vinatetea njaa a.k.a b7 ili viishi mjini na havijui hii nchi inaliwa vp na imejaaliwa na M/MUNGU kila aina ya RASILIMALI.
Wana JF, Ni zaidi ya miaka 50 sasa tukiwatumikia hawa wanyonyaji/wakoloni weusi. Napendeza mara tu CHADEMA/UPINZANI ukiingia ikulu "CCM" ifutwe mara moja kwani haitakiwi kuwapo ktk siasa za ushindani kwa sababu zifuatazo; 1. CCM iko ikulu zaidi ya miaka 50 sasa bila mafanikio yoyote ya maendeleo si mjini wala vijijini hali ni sawa. Kiuchum, kisiasa, kijamii hakuna kilichofanyika ukilinganisha na rasilimali tulizonazo. 2. CCM haijasajiliwa kama sheria inavyotaka tangu 1992 hivyo kuonekana kama chama cha kihuni 3. CCM imejaa umafia,ulaghai,ufisadi na kila aina ya uchafu hivyo kukosa uhalali wa kuitwa chama tawala au chama cha siasa. Kwa 7bu nilizozitaja hapo juu,napendekeza VIGOGO Wote watiwe ndani na wafilisiwe mara tu baada ya CHADEMA/UPINZANI kuingia ikulu VIDAGAA/VIBARAKA tu kama akina "SIMIYU YAO, IFWEERO, ABAKORAKAMO, SUMU, CHABRUMA" na VIJIDAGAA/VIJIBARAKA vingine viachwe kwa kuwa vinatetea njaa a.k.a b7 ili viishi mjini na havijui hii nchi inaliwa vp na imejaaliwa na M/MUNGU kila aina ya RASILIMALI.
mbona cdm wameishaingia ikulu yao si iko pale kinondoni makabulini manyanya, au wewe unataka waende ikulu gani or unakumbushia waende mombasa na dubei. Wazee wa kugawa vocha za tigo
Leo Gongo ulioinywa ni kiboko, imeingia hadi kwenye "BROCAS AREA" ya ubongo!
Wana JF, Ni zaidi ya miaka 50 sasa tukiwatumikia hawa wanyonyaji/wakoloni weusi. Napendeza mara tu CHADEMA/UPINZANI ukiingia ikulu "CCM" ifutwe mara moja kwani haitakiwi kuwapo ktk siasa za ushindani kwa sababu zifuatazo; 1. CCM iko ikulu zaidi ya miaka 50 sasa bila mafanikio yoyote ya maendeleo si mjini wala vijijini hali ni sawa. Kiuchum, kisiasa, kijamii hakuna kilichofanyika ukilinganisha na rasilimali tulizonazo. 2. CCM haijasajiliwa kama sheria inavyotaka tangu 1992 hivyo kuonekana kama chama cha kihuni 3. CCM imejaa umafia,ulaghai,ufisadi na kila aina ya uchafu hivyo kukosa uhalali wa kuitwa chama tawala au chama cha siasa. Kwa 7bu nilizozitaja hapo juu,napendekeza VIGOGO Wote watiwe ndani na wafilisiwe mara tu baada ya CHADEMA/UPINZANI kuingia ikulu VIDAGAA/VIBARAKA tu kama akina "SIMIYU YAO, IFWEERO, ABAKORAKAMO, SUMU, CHABRUMA" na VIJIDAGAA/VIJIBARAKA vingine viachwe kwa kuwa vinatetea njaa a.k.a b7 ili viishi mjini na havijui hii nchi inaliwa vp na imejaaliwa na M/MUNGU kila aina ya RASILIMALI.
Too much consumption of alcohol,"Gongo", is dangeous to your health.!
Dada yangu vipi umekurupuka baada ya kutandika viroba na ganja ndio ukaandaa uzi wako. Maana siku hizi kwa ganja wamama hamjambo na hii thread inaonekana kabisa ushapiga widi. Sahau kwa miaka 50 mingine ya Katiba kama mtakamata madaraka nchi hii hiyo Chagadema yenyewe baada ya Uchaguzi wa mwakani watu wanagawana mbao we endelea na mawazo ya fisi kwamba binadamu anavyotembea saa yoyote karibu mkono unadondoka. Mwisho nikwambie ukiwa mnafiki ujanani uzeeni utakua mchawi dadangu.
--------- vibaya jamaa hawana huruma ,unatumika kotekote pole dada ila ndo maisha uliyoyachagua na njaa pia inachangia