CHADEMA huwalipa wanaoandamana


Pasco,
Finito est questoque
 

Mkuu,huyo ni wa kupuuzwa,laana ya usaliti wa harakati zinamtafunaa,et chama chetu,shame on him!
 
Last edited by a moderator:
- Jibu hoja wacha matusi yangekuwa mali mngeshashika dola, jibu hoja kama huna kaa pembeni waachie wenye hoja mamabo ya baba na mama yako yantokea wapi hapa, le mburulazzzz

Le Mutuz

Mtumishi wa ndani wa Mwigulu ataleta hoja gani.
 
Huwa napenda kujitolea kwa mambo ya CDM.

Sihitaji kulipwa wala sihitaji kuwajadili wanaotaka kulipwa.
 
- Jibu hoja wacha matusi yangekuwa mali mngeshashika dola, jibu hoja kama huna kaa pembeni waachie wenye hoja mamabo ya baba na mama yako yantokea wapi hapa, le mburulazzzz

Le Mutuz
Kwa hiyo wewe malecela na ma ccm wenzenu mnatumia njaa ya huyu mjinga kuzidi kumdhalilisha?
Binafsi nilikushuhudia ulivoshindwa kujenga hoja bungeni ili uchaguliwe eala,pamoja na tambo za kusema you know I've been livin in us for some time now,walikutupilia mbali,na kama unbisha jaribu ugombee walau udiwani tu 2015 uone utaksvyogaragazwa na cdm hiyohiyo,

Hivi ulikuwa na ajira gani kule us brother?
 
Jamani mchangia harusi ya Ludo bwana Lwakatare hayumo humu..embu atuambie ni kweli alichangia buku thelathini?
 
 
Ningeshauri utumie fake ID japo ni aina fulani ya uoga. Unachoongea ni kweli na kwa ka elimu fulani nazijua dirty games ka hizi. In short hakuna chama kisafi hata kama kinajinadi hivyo. Hata CDM itaingia madarakani still bado baadhi ya upuuzi wa CCM itaurudia sana tu, refer Kibaki and Satta! Wote ni wale wale kasoro mavazi tu, hawa kijani hawa kaki!
Hongera kwa kusema ukweli, ila waangalie unaowazungumza wana mengi ya kudhuru hata zaidi ya uliyoyajua ukiwa CDM chumbani.
Kila la kheri Mwl.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

Ulichokiandika hapa kinathibitisha kuwa una matatizo ya akili. Iweje ukubali kufanya kitu kisicho sahihi kwa kuwa tu umeambiwa ufanye hivyo? Are you crazy sir?
 
You speak godly you live satanic i hate people of your type are you from Kagera neighbor to Kagame?
 

Mkuu hiyo si falsafa ya ACT?
 

Chadema walikulipa shilingi ngapi kurekodi ile clip ya Rwakatare?

Mwigulu alishamalizia posho yako kwa kazi uliyomfanyia na unayoendelea kuifanya?......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…