CHADEMA huu Uchaguzi wa 2020 tukubali umepita

Countrywide

JF-Expert Member
Mar 2, 2015
18,173
27,223
Habari wanaJF,

Poleni kwa majukumu

Nimeona mijadala kuhusu uchaguzi wa mwaka huu 2020 ni kama inaelekea ukingoni na ukweli usio na shaka ni kuwa tumeshindwa

Hadi sasa hatujui nini cha kufanya hadi sasa kwa maana yote tuliyopanga hakuna lililofanikiwa.

Ninaomba viongozi wa chama wajikite zaidi na uchaguzi unaokuja wa 2025 kwa kuwa sio mbali. Issue kubwa itakuwa ni nani ambawe kweli anaweza kutuvusha huko.

Tumeshawapa nafasi watu wengi wa hapa nchini kwetu na wafia chama lakini ukweli ni kuwa hatujafanikiwa.

Ninaomba chama kiangalie na kuchungulia vizuri sheria na katiba ya nchi kama kuna upenyo wa kumsimamisha Amsterdam awe mgombea wetu.

Ni wazi tumeona kuwa ni mmoja wa makamanda waliotupigania kwa nguvu kubwa sana bila malipo yoyote na ameonyesha ukomavu mkubwa sana.

Ni dhahiri CHADEMA wengi kama sio wote tunamkubali sana Amsterdam.

Hivyo chondechonde chama changu ninawaomba mulizingatie hili.
 
Habari wanajf, poleni kwa majukum
Nimeona mijadala kuhusu uchaguzi wa mwaka huu 2020 ni kama inaelekea ukingoni na ukweli usio na shaka ni kuwa tumeshindwa na hatujui nini cha kufanya hadi sasa kwa maana yote tuliyopanga hakuna lililofanikiwa...
Anza kupanga njia nyingine ya kuiba kura una miaka 4 tu ikiyobakia..hii ya 2020 ilikiwa ya kitoto saana imetia aibu na kinyaa kwa taifa.
 
Habari wanajf, poleni kwa majukum
Nimeona mijadala kuhusu uchaguzi wa mwaka huu 2020 ni kama inaelekea ukingoni na ukweli usio na shaka ni kuwa tumeshindwa na hatujui nini cha kufanya hadi sasa kwa maana yote tuliyopanga hakuna lililofanikiwa...
Je, Amsterdam ni raia wa Tanzania wa kuzaliwa?
 
Hapana ndiyo kwanza dawa za Ukimwi zimeacha kuletwa ngoja kwanza tuendelee mpaka tume huru ya uchaguzi iingie kazini na uchaguzi urudiwe.
 
Habari wanajf, poleni kwa majukum
Nimeona mijadala kuhusu uchaguzi wa mwaka huu 2020 ni kama inaelekea ukingoni na ukweli usio na shaka ni kuwa tumeshindwa na hatujui nini cha kufanya hadi sasa kwa maana yote tuliyopanga hakuna lililofanikiwa...
Anza kupanga njia nyingine ya kuiba kura una miaka 4 tu ikiyobakia..hii ya 2020 ilikiwa ya kitoto saana imetia aibu na kimyaa kwa taifa
 
Back
Top Bottom