CHADEMA hawataki ‘ujinga’, kumekucha

CHADEMA hawataki ‘ujinga’, kumekucha

Kweli shida mkuu
Ndo maana wenye kufikiri saaaaaana, wanadhani kwa Tanzania hivi ilivyo, demokrasia haswa hii ya vyama vingi ilitakiwa isubiri kidogo. Bado sisi hatujakomaa ktk utaifa wetu. Hatuaminiani kabisa.

Si kwamba alifanya kosa kubwa mh. Mbowe kama lengo lilikuwa ni kuufuta ukaskazini wa cdm, ingawa kidemokrasia ni udhaifu. Tuwe wakweli, taifa lina ukanda, ukabila, udini nk. Kanda chache tu ndo hazina mambo hayo. Embu vuta picha kidogo, angefikia hatua gani mtu kama Msigwa kwa kanda ya kaskazini ktk uchaguzi ambao ole ameshiriki Nyasa?
 
Sasa kama mshindi amepata %58 weunasema hakubaliki manayake nini.
 
Mbowe ana akili sana anajaribu Kufuta Ule Ukaskazini na Namuona Vyeo vikigombewa na Wakaskazini anajaribu Kuweka na wengine hivyo Chama kinakua kikubwa kama CCM ambayo ina watu wa Makabila

Mbowe alimuweka Msigwa kuepuka ukaskazini tena Mtu mwenye Jina lisilojificha Kama Ole Sosopi mda mwingine Mihadarati inasaidia.
Atuchugai mtu kutokana na kabila lake, kama Mbowe analazimisha fulani achaguliwe au hasichaguliwe kutokana na kabila lake basi bado yupo kwenye ujima...
 
Hahahaha. Mnaopangiwa kaongee nini bila kufikiri mnakuwa wakali sana.

Kyama chenu ndo hiki. Mzee kachuja hadi vijana wameanza kumpiga mawe waziwazi. Kasome na post ya sarakasi za mwanahalisi na Ben saa8.
Mkuu harufu inayotoka makalioni kwako haitakiwi kutoka akilini mwako. Jitafakari
 
Back
Top Bottom