TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,593
Habari wadau!
Hawa CHADEMA ni watu wa ajabu sana, walianza na harakati za kumshusha Sabaya wamefanikiwa kumchafua kisiasa na sasa kesi ipo mahakamani.
Leo wanataka kumshusha Diamond Platinumz kisa kuunga mkono CCM kwenye uchaguzi wa 2020.
Haya yote ni matokeo ya visasi yaani hawana uvumilivu wa kisiasa kabisa leo Diamond anaweza akalipa kutokana na mapenzi yake kwa CCM kwa zile harakati walizoanza za kumtoa BET yaani wajamaa inapokuja suala la kulilia madaraka hawana kabisa uzalendo wanaweza hata wakauza nchi.
Waliangaika sana kipindi cha JPM kuiuza nchi kwa mabeberu ikashindikana leo wamekuja na staili ya kafala.
Hawa hawastahili hata kupewa kuongoza serikali ya kijiji kwa kweli watalipiza kisasi kwa kila mtu siku watakapopewa nchi.
Nami nasema siku CHADEMA watakapochukua hii nchi nitaenda zangu kuishi hata Kivu huko Congo kuliko kungalia hawa wajamaa wakiongoza nchi.
Hawa CHADEMA ni watu wa ajabu sana, walianza na harakati za kumshusha Sabaya wamefanikiwa kumchafua kisiasa na sasa kesi ipo mahakamani.
Leo wanataka kumshusha Diamond Platinumz kisa kuunga mkono CCM kwenye uchaguzi wa 2020.
Haya yote ni matokeo ya visasi yaani hawana uvumilivu wa kisiasa kabisa leo Diamond anaweza akalipa kutokana na mapenzi yake kwa CCM kwa zile harakati walizoanza za kumtoa BET yaani wajamaa inapokuja suala la kulilia madaraka hawana kabisa uzalendo wanaweza hata wakauza nchi.
Waliangaika sana kipindi cha JPM kuiuza nchi kwa mabeberu ikashindikana leo wamekuja na staili ya kafala.
Hawa hawastahili hata kupewa kuongoza serikali ya kijiji kwa kweli watalipiza kisasi kwa kila mtu siku watakapopewa nchi.
Nami nasema siku CHADEMA watakapochukua hii nchi nitaenda zangu kuishi hata Kivu huko Congo kuliko kungalia hawa wajamaa wakiongoza nchi.