sio upupu, bali ni kitu ambacho ktk jamii ni muhimu kijadiliwe
Kwa hili sina uhakika, ila ninaamini viongozi walikuwa na mawasiliano ya karibu na ndugu wa wafiwa, na ndugu hawa waliridhia marehemu waagwe pamoja kwenye halaiki
Sidhani kama katika kusign kutoa mwili ndugu wa familia hakuhusiswhwa,
Vilevile kuna waislamu na wakristo wanaofariki na kuzikwa kwao kunagubikwa na mizozo ya mahakamani pande mbili zikigombea kuzika, kisha akishinda muislam au mkristo ndipo marehemu anazikwa kwa taratibu za dini ambayo imeshinda kesi, nimeshuhudia maiti zikiwa mortuary zaidi ya wiki2 kesi ikinguruma kisha kuzikwa kiislamu,
Vilevile mazingira ya vifo vya ndugu hawa yaligubikwa na utata fulani, nahisi ndio sababu ya ucheleweshwaji
Uwe na amani ndugu, kama CDM wamekosea ni sahihi kukiri udhaifu ila sio intentional
Umeulizwa Kawawa alikaa siku ngapi? Jibu kwanza halafu ndiyo tujadiliane.
ok, hiyo ni kesi maalum ambayo tofauti na hii ambapo pana mzozo wa kisheria, hii ni sawa za mwembechai, pemba cuf na maandamano ya waislam Unguja 1983 ambapo siku ya pili maiti alizikwa kwani polisi wanajua maiti ya imani ya kiislam
imani yake ndivyo inavyotaka. ndio maana hakuna hata kiongozi mmoja duniani mkuu wa kiislam aliewahi kufika 8 days. juu ya watu kumpenda lkn linapokuja swala la maiti imani mwanzo halafu siasa.Labda kabla hatujaomba msamaha. Unajua kila kitu hata imani ina maana yake, mfano msabato anaamini kutokunywa chai, kwasababu chai ina nucotin nyingi inayoweza kuleta madhara katika mwili wa binadam, Marasta Farian hawali nyama kwa imani kwamba wanafanya kosa kupoteza uhai wa mnyama ambae ana roho kama binadam, Sasa nawewe utwambie kwanini ulitaka azikwe haraka hivyo? ili kama utakua na mantic basi tutafanya kama unavyotaka.
Huu ni mwaka wa Kiislamu! Unaweza andika ni mwaka gani kwenye Kalenda ya leo?
Maadili ya nani? Nafikiri huelewi hata maana ya maadili...simply poi ting finger to CDM doesnt really help anyone even yourself maana people know how to distinguish the right from the wrong. hata argument yako is contradictory, why not read again esp bold red...wewe ni kichekesho maana kama hoja zako ni za aina hii na pia lugha ndio kama ilivyo hapo juu, I am sure no one will ever take you seriously, on the contrary, utakuwa unajitapakazia shame
Kwanza unajua mwili wa Marehemu ulikabidhiwa lini kwa wahusika? waliokufa walikuwa na risasi mwilini, Si ilibidi wachakachue ili waondoe risasi? Waulize Polisi ni kwa nini walichelewesha mwili.
kwahili chadema mmechemsha
pemba cuf na maandamano ya waislam Unguja 1983 ambapo siku ya pili maiti alizikwa kwani polisi wanajua maiti ya imani ya kiislam
Asante seniorita kwa kumpasha huyu mpuuzi. Huyu na wajinga/wapuuzi wenzake huongozwa tu na imani ya kuambulia cha kujaza matumbo yao. Ndo maana hata kuhakiki waandikacho hawakumbuki. Kama adai lililotokea siyo nadra kutokea sasa kinachomshangaza ni kipi?
Tuendelee kushukuru mashujaa wetu tumewaenzi na Mungu awarehemu.
1983 CUF haikuwepo acha uchizi na utaahira wako!
Jibu kwa Muhogomchungu;
Biography ya Rais wa Pili wa Misri ya kale ya mafirauni Gamal Abdel Nasser inasema hivi;
Kufa September 28,1970
Kuzikwa November 1,1970
hili jipya limefanyika ndani ya Arusha kuweka maiti 8 days bila ya sababu ya msingi
nadhani chadema ijaribu kuangalia kwanza imani za watu hasa ktk maswala ya kitaifa, inawezekana ikawa na nia nzuri sana lkn njia wanayotumia inakikuka maadili1983 CUF haikuwepo vyama vingi vimeanza Tanzania 1992
View attachment 20160
Usiku wa Septemba 25 mfalme Hussein wa Jordan alifariki na 26 akazikwa kwa kuwa muislam.
Pia mauji ya Pemba watu waliofariki walizikwa siku inayofuata kwa kuwa wote waliofariki ni madhehebu ya kiislam.
Unapokuwa karibu na waumini wa kiislam wanakwambia, kitu cha kwanza kufanyiwa baada ya kukamilika taratibu zote ni kupelekwa mahala pake pa milele yaani kaburini, ndio maana hata viongozi wakuu wa madhehebu hayo mara tu akifa hakai siku nyingi huzikwa
Kwa upande wa madhehebu mengine kama baba wa taifa alikaa muda wa 2 week.
Lkn chadema wameuweka mwili wa madhehebu ya kiislam siku 6 sawa na madhehebu mengine jambo ambalo ktk mtazamo wa kiislam sio nadra kutokea labda patokee dharura.
jee chadema hawakukiuka maadili?hawakuona haja ya kuuzika mapema?
Chadema wanamiliki mortuary? Umeulizia taratibu za postmotem zilikuwaje? Lini mtakuwa na hoja za msingi?