Chadema hawafai

Technician

JF-Expert Member
Mar 30, 2010
841
222
CHADEMA HAWAFAI

Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi hapa Tz,chama pekee kilichoonesha nia thabiti ya kumuondoa mtanzania hapo alipo katika lindi la umaskini wa kutisha ni chadema,hawa chadema hawafai kabisa,wamethubuti kumlazimisha mkulu pamoja na baraza lake kubwa la wabunge wengi bungeni lakini limeweza kuwa mobilize na wakafuata upepo wao hatimaye mawaziri 6 wamepigwa chini.
Hawa chadema ni noma kabisaa,hawafai kulinganishwa na vyama vingine vya upinzani kama tlp,nccr,cuf,nld,adc n.k nk nk nk .Hiki chama hakifai kabisa kulinganishwa na chama chochote cha upinzania hapa Tanzania kwa mipangilio yake iliyo na mikakati imara inayosababisha hata viongozi wengi kutoka ccm kuhamia cdm.
Hawafai kabisa kuachwa hivihivi maana wakiachwa hii nchi itarejea kwenye ukoloni mamboleo,wana kila sababu ya kukabidhiwa dhima ya kuliongoza hili taifa baada ya chama dume ccm kisichozaa matunda ya uhuru miongo kadhaa zaidi ya miaka 48 kuliongoza taifa hili bado songea wanatumia generator kuwasha umeme.
 
CHADEMA HAWAFAI

Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi hapa Tz,chama pekee kilichoonesha nia thabiti ya kumuondoa mtanzania hapo alipo katika lindi la umaskini wa kutisha ni chadema,hawa chadema hawafai kabisa,wamethubuti kumlazimisha mkulu pamoja na baraza lake kubwa la wabunge wengi bungeni lakini limeweza kuwa mobilize na wakafuata upepo wao hatimaye mawaziri 6 wamepigwa chini.
Hawa chadema ni noma kabisaa,hawafai kulinganishwa na vyama vingine vya upinzani kama tlp,nccr,cuf,nld,adc n.k nk nk nk .Hiki chama hakifai kabisa kulinganishwa na chama chochote cha upinzania hapa Tanzania kwa mipangilio yake iliyo na mikakati imara inayosababisha hata viongozi wengi kutoka ccm kuhamia cdm.
Hawafai kabisa kuachwa hivihivi maana wakiachwa hii nchi itarejea kwenye ukoloni mamboleo,wana kila sababu ya kukabidhiwa dhima ya kuliongoza hili taifa baada ya chama dume ccm kisichozaa matunda ya uhuru miongo kadhaa zaidi ya miaka 48 kuliongoza taifa hili bado songea wanatumia generator kuwasha umeme.
Haya maneno huwa yanatumiwa na kina Nape, Wassira na Werema wanapomshauri rais masuala ya siasa na mahusiano.
 
CHADEMA HAWAFAI

Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi hapa Tz,chama pekee kilichoonesha nia thabiti ya kumuondoa mtanzania hapo alipo katika lindi la umaskini wa kutisha ni chadema,hawa chadema hawafai kabisa,wamethubuti kumlazimisha mkulu pamoja na baraza lake kubwa la wabunge wengi bungeni lakini limeweza kuwa mobilize na wakafuata upepo wao hatimaye mawaziri 6 wamepigwa chini.
Hawa chadema ni noma kabisaa,hawafai kulinganishwa na vyama vingine vya upinzani kama tlp,nccr,cuf,nld,adc n.k nk nk nk .Hiki chama hakifai kabisa kulinganishwa na chama chochote cha upinzania hapa Tanzania kwa mipangilio yake iliyo na mikakati imara inayosababisha hata viongozi wengi kutoka ccm kuhamia cdm.
Hawafai kabisa kuachwa hivihivi maana wakiachwa hii nchi itarejea kwenye ukoloni mamboleo,wana kila sababu ya kukabidhiwa dhima ya kuliongoza hili taifa baada ya chama dume ccm kisichozaa matunda ya uhuru miongo kadhaa zaidi ya miaka 48 kuliongoza taifa hili bado songea wanatumia generator kuwasha umeme.

Nimeona signature ya Feedback inasema: Only in Tanzania: Movement for Change (M4C) Vs Movement for Killing (M4K)
 
CHADEMA HAWAFAI

Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi hapa Tz,chama pekee kilichoonesha nia thabiti ya kumuondoa mtanzania hapo alipo katika lindi la umaskini wa kutisha ni chadema,hawa chadema hawafai kabisa,wamethubuti kumlazimisha mkulu pamoja na baraza lake kubwa la wabunge wengi bungeni lakini limeweza kuwa mobilize na wakafuata upepo wao hatimaye mawaziri 6 wamepigwa chini.
Hawa chadema ni noma kabisaa,hawafai kulinganishwa na vyama vingine vya upinzani kama tlp,nccr,cuf,nld,adc n.k nk nk nk .Hiki chama hakifai kabisa kulinganishwa na chama chochote cha upinzania hapa Tanzania kwa mipangilio yake iliyo na mikakati imara inayosababisha hata viongozi wengi kutoka ccm kuhamia cdm.
Hawafai kabisa kuachwa hivihivi maana wakiachwa hii nchi itarejea kwenye ukoloni mamboleo,wana kila sababu ya kukabidhiwa dhima ya kuliongoza hili taifa baada ya chama dume ccm kisichozaa matunda ya uhuru miongo kadhaa zaidi ya miaka 48 kuliongoza taifa hili bado songea wanatumia generator kuwasha umeme.



Mistari yako imesimama but kichwa cha habari ni vagaranti mkulu.
Tumekuja kuwashika pasiposhikika hakika huu moto wa gesi kuuzima utamaliza maji baharini.

makambako gari la M4C ni speed mia ishirini wanatembea nayo sasa hivi. kaskani speed inasoma 180km/h

tabora na mitaa ya kati wako 50km/h

Mwanza na kanda ya ziwa wako 150km/h

hapo Dar kutokana na wazee wengi kupenda wali wa bure kutoka ikulu speed inasoma 40km/h

but soon gari letu aina ya M4C tutakuwa kwenye speed moja ya 180km/h by end of 2014
 
CHADEMA HAWAFAI

Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi hapa Tz,chama pekee kilichoonesha nia thabiti ya kumuondoa mtanzania hapo alipo katika lindi la umaskini wa kutisha ni chadema,hawa chadema hawafai kabisa,wamethubuti kumlazimisha mkulu pamoja na baraza lake kubwa la wabunge wengi bungeni lakini limeweza kuwa mobilize na wakafuata upepo wao hatimaye mawaziri 6 wamepigwa chini.
Hawa chadema ni noma kabisaa,hawafai kulinganishwa na vyama vingine vya upinzani kama tlp,nccr,cuf,nld,adc n.k nk nk nk .Hiki chama hakifai kabisa kulinganishwa na chama chochote cha upinzania hapa Tanzania kwa mipangilio yake iliyo na mikakati imara inayosababisha hata viongozi wengi kutoka ccm kuhamia cdm.
Hawafai kabisa kuachwa hivihivi maana wakiachwa hii nchi itarejea kwenye ukoloni mamboleo,wana kila sababu ya kukabidhiwa dhima ya kuliongoza hili taifa baada ya chama dume ccm kisichozaa matunda ya uhuru miongo kadhaa zaidi ya miaka 48 kuliongoza taifa hili bado songea wanatumia generator kuwasha umeme.

Unasifia na kuponda at the same time.......no wonder tunafeli mitihani
 
Mistari yako imesimama but kichwa cha habari ni vagaranti mkulu.
Tumekuja kuwashika pasiposhikika hakika huu moto wa gesi kuuzima utamaliza maji baharini.

makambako gari la M4C ni speed mia ishirini wanatembea nayo sasa hivi. kaskani speed inasoma 180km/h

tabora na mitaa ya kati wako 50km/h

Mwanza na kanda ya ziwa wako 150km/h

hapo Dar kutokana na wazee wengi kupenda wali wa bure kutoka ikulu speed inasoma 40km/h

but soon gari letu aina ya M4C tutakuwa kwenye speed moja ya 180km/h by end of 2014
Dar ache maana pale tukipawasha biashara ya CCM basi kwanza Mkuu wa nchi atapashida sana kama Dar itakuwa kama mbeya, Arusha, Mwanza ambako anaenda kama anaenda nchi jirani....Kikwete huingia Arusha usiku anondoka asubuhi tunasikiakwenye vyombo vya habari kikwete alikuwa arusha jana...Kikwete kulikoni Arusha uliyoipenda kila mwenzi ulikuwa unatia timu njiro..
 
Nimeona signature ya Feedback inasema: Only in Tanzania: Movement for Change (M4C) Vs Movement for Killing (M4K)
Kweli yegella hiyo ni signature yangu, wakati sisi tunahangaika kuwakomboa wananchi kwa kuanzisha M4C wao wanahangaika kuwamaliza wananchi kwa kuwakata shingo kwa kuanzisha M4K.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kichwa chako cha habari kilinifanya niandae majibu kabla hata ya kusoma na ilikuwa nipate ban lakini nimeishia kucheka!!! ki le mutuz ha ! ha ! ha ! ha !
 
CHADEMA HAWAFAI
wana kila sababu ya kukabidhiwa dhima ya kuliongoza hili taifa baada ya chama dume ccm kisichozaa matunda ya uhuru miongo kadhaa zaidi ya miaka 48 kuliongoza taifa hili bado songea wanatumia generator kuwasha umeme.
Kigoma wana wiki nzima hawana umeme jana ndio umeanza kuwaka kwa masaa 24, Du kweli M4C inahitajika haraka.

 
chadema hawafai

tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi hapa tz,chama pekee kilichoonesha nia thabiti ya kumuondoa mtanzania hapo alipo katika lindi la umaskini wa kutisha ni chadema,hawa chadema hawafai kabisa,wamethubuti kumlazimisha mkulu pamoja na baraza lake kubwa la wabunge wengi bungeni lakini limeweza kuwa mobilize na wakafuata upepo wao hatimaye mawaziri 6 wamepigwa chini.
Hawa chadema ni noma kabisaa,hawafai kulinganishwa na vyama vingine vya upinzani kama tlp,nccr,cuf,nld,adc n.k nk nk nk .hiki chama hakifai kabisa kulinganishwa na chama chochote cha upinzania hapa tanzania kwa mipangilio yake iliyo na mikakati imara inayosababisha hata viongozi wengi kutoka ccm kuhamia cdm.
Hawafai kabisa kuachwa hivihivi maana wakiachwa hii nchi itarejea kwenye ukoloni mamboleo,wana kila sababu ya kukabidhiwa dhima ya kuliongoza hili taifa baada ya chama dume ccm kisichozaa matunda ya uhuru miongo kadhaa zaidi ya miaka 48 kuliongoza taifa hili bado songea wanatumia generator kuwasha umeme.



....movement for killing, chama cha mzee ndesambulo,bora kuwasha generator kuliko kuongozwa na watu wa mkoa mmoja au dini moja,nasikia kina zito na wenzake wanaundiwa zengwe wafukuzwe kwa sababu wanatofautiana na itikadi ya din ya chadema, hatuwezi kuwakabidhi dola hawa,ukiona ccm wamshindwa ujue ni zamu ya kina mwamunyange kuchukua inchi ili tueshimiane mtaani
 
Unasifia na kuponda at the same time.......no wonder tunafeli mitihani

Utawatambuaje !! wachangiaji wanaosoma na kuelewa Lugha ya kiswahili?
Hapa ni wachache sana walioelewa hii Lugha iliyotumika.

Wengi hukurupuka kujibu threads kama hizi.


 
CHADEMA HAWAFAI

Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi hapa Tz,chama pekee kilichoonesha nia thabiti ya kumuondoa mtanzania hapo alipo katika lindi la umaskini wa kutisha ni chadema,hawa chadema hawafai kabisa,wamethubuti kumlazimisha mkulu pamoja na baraza lake kubwa la wabunge wengi bungeni lakini limeweza kuwa mobilize na wakafuata upepo wao hatimaye mawaziri 6 wamepigwa chini.
Hawa chadema ni noma kabisaa,hawafai kulinganishwa na vyama vingine vya upinzani kama tlp,nccr,cuf,nld,adc n.k nk nk nk .Hiki chama hakifai kabisa kulinganishwa na chama chochote cha upinzania hapa Tanzania kwa mipangilio yake iliyo na mikakati imara inayosababisha hata viongozi wengi kutoka ccm kuhamia cdm.
Hawafai kabisa kuachwa hivihivi maana wakiachwa hii nchi itarejea kwenye ukoloni mamboleo,wana kila sababu ya kukabidhiwa dhima ya kuliongoza hili taifa baada ya chama dume ccm kisichozaa matunda ya uhuru miongo kadhaa zaidi ya miaka 48 kuliongoza taifa hili bado songea wanatumia generator kuwasha umeme.

Nimekusoma japo staili yako hii inaweza kuzua tafrani kwenye kadamnasi maana hii mpaka mtu atulie ndio atelewa unachomaanisha.
 
Mkuu kuna watu huwa hawana muda wa kufuatilia mantiki, wanaishia kwenye title tu. Utakuja uvune mitusi kwa staili yako hii! Shauri yako.
 
Subiri Nape aje hapa, kama hajakanusha na kusema Baraza la Mawaziri ni CC ndio iliyoamua.
 
Nilivyoona kichwa cha habari nikajua umechokoza nyuki. Haya endeleeni mie napita...

Kwani wewe hujahisi harufu mbaya miaka 48 ya chama kushika hatamu bado mambo iko kulekule na bado unatuambia unapita unaenda wapi sasa? au unaenda jalalani?mwisho utatapika kwa hii harufu mbaya ya Rushwa.
 
Mkuu kuna watu huwa hawana muda wa kufuatilia mantiki, wanaishia kwenye title tu. Utakuja uvune mitusi kwa staili yako hii! Shauri yako.

Ndio maana mikataba mingi ya madini tumingizwa mkenge kwasababu hatusomi content za mkataba badala yake tunakimbilia kuangalia 10% ya contract.
 
Back
Top Bottom