Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
CHADEMA HAWAFAI
Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi hapa Tz,chama pekee kilichoonesha nia thabiti ya kumuondoa mtanzania hapo alipo katika lindi la umaskini wa kutisha ni chadema,hawa chadema hawafai kabisa,wamethubuti kumlazimisha mkulu pamoja na baraza lake kubwa la wabunge wengi bungeni lakini limeweza kuwa mobilize na wakafuata upepo wao hatimaye mawaziri 6 wamepigwa chini.
Hawa chadema ni noma kabisaa,hawafai kulinganishwa na vyama vingine vya upinzani kama tlp,nccr,cuf,nld,adc n.k nk nk nk .Hiki chama hakifai kabisa kulinganishwa na chama chochote cha upinzania hapa Tanzania kwa mipangilio yake iliyo na mikakati imara inayosababisha hata viongozi wengi kutoka ccm kuhamia cdm.
Hawafai kabisa kuachwa hivihivi maana wakiachwa hii nchi itarejea kwenye ukoloni mamboleo,wana kila sababu ya kukabidhiwa dhima ya kuliongoza hili taifa baada ya chama dume ccm kisichozaa matunda ya uhuru miongo kadhaa zaidi ya miaka 48 kuliongoza taifa hili bado songea wanatumia generator kuwasha umeme.
Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi hapa Tz,chama pekee kilichoonesha nia thabiti ya kumuondoa mtanzania hapo alipo katika lindi la umaskini wa kutisha ni chadema,hawa chadema hawafai kabisa,wamethubuti kumlazimisha mkulu pamoja na baraza lake kubwa la wabunge wengi bungeni lakini limeweza kuwa mobilize na wakafuata upepo wao hatimaye mawaziri 6 wamepigwa chini.
Hawa chadema ni noma kabisaa,hawafai kulinganishwa na vyama vingine vya upinzani kama tlp,nccr,cuf,nld,adc n.k nk nk nk .Hiki chama hakifai kabisa kulinganishwa na chama chochote cha upinzania hapa Tanzania kwa mipangilio yake iliyo na mikakati imara inayosababisha hata viongozi wengi kutoka ccm kuhamia cdm.
Hawafai kabisa kuachwa hivihivi maana wakiachwa hii nchi itarejea kwenye ukoloni mamboleo,wana kila sababu ya kukabidhiwa dhima ya kuliongoza hili taifa baada ya chama dume ccm kisichozaa matunda ya uhuru miongo kadhaa zaidi ya miaka 48 kuliongoza taifa hili bado songea wanatumia generator kuwasha umeme.