habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 456
Ukosefu wa ajira za kueleweka ndio umesababisha mkubali kuwa misukule ya lumumba kwa ujira wa buku saba tu per day. Hata hamjionei aibu kwa namna mnavyotumika?
Pili, Chadema haitashiriki mkutano huo kwa kuwa Amani haijadiliwi