Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Ama kweli, nchi hii ni kama ya kusadikika. Maji hamna, barabara kwa Lwakatare yamekuwa mahandaki lakini bado hayo wala hata hayawahusu, wako busy na Makonda.Na hatutamuacha mpaka aje kujibu maswali yafuatayo kama alivyoulizwa na Paskali Mayalla;
-Majina yake yote matatu
-Majina ya wazazi wake wote wawili
-Shule alizosoma-Msingi, Primary na Secondary
-Ufaulu wake kidato cha nne na cha sita
La Makonda likiisha watatafuta wimbo mwingine ilimradi siku zinaenda na wanapata posho zao