William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Kama imeshindikana kuwa na redio au gazeti basi nunueni vipindi kwenye tv na redio na andaeni vipeperushi, cd na vijarida vya habari zinazowahusu. Watu hawakuelewa kwanini mlitoka bungeni mara mbili. Kwa hili la kujitangaza mnazidiwa hadi na MZEE WA MPAKO. Habari za kuhusu chadema kunasemu hazifiki kabisa. Zinafika propaganda tu kuwa ni chama cha vurugu udini na ukabila na watu wanahamini hayo. Napenda kuona chadema inafanya kazi kisayansi zaidi.
Kuanzia kubuni sera kujitangaza na kupigania haki. Mazungunzo yenu na JK KUHUSU KATIBA yasiwafunge mdomo. Mlikuwa kimiya mgomo wa madaktari. Mko kimiya madai ya walimu. Mko kimiya madai ya wafanyakazi. Kwa chadema imara hatutaitaji wanaharakti wala hasasi za kiraia.
TUNAOMBA TUMWONE SLAA ANAHUTUBIA TAIFA HATA KILA MWEZI KWENYE TV REDIO NA CD KUPITIA MKUTANO WA HADHARA NA KUONESHA MBINU MBADALA za kuokoa taifa. Ahutubie ikitokea sintofahamu yoyote inaohusu chama na taifa na si kuacha tbc ipige propaganga. Tujue uelekeo wa chama na kadharika.
SIAMINI KAMA HAMNA FEDHA. INAMAANA MNAWEZA MKAWA MNAZIDIWA KIPATO NA MZEE WA MPAKO. Weka kipindi maalumu tuone na hojazenu ata mnazozitoa bungeni msitegemee magezeti pekee watu bush hawawaelewi
Kuanzia kubuni sera kujitangaza na kupigania haki. Mazungunzo yenu na JK KUHUSU KATIBA yasiwafunge mdomo. Mlikuwa kimiya mgomo wa madaktari. Mko kimiya madai ya walimu. Mko kimiya madai ya wafanyakazi. Kwa chadema imara hatutaitaji wanaharakti wala hasasi za kiraia.
TUNAOMBA TUMWONE SLAA ANAHUTUBIA TAIFA HATA KILA MWEZI KWENYE TV REDIO NA CD KUPITIA MKUTANO WA HADHARA NA KUONESHA MBINU MBADALA za kuokoa taifa. Ahutubie ikitokea sintofahamu yoyote inaohusu chama na taifa na si kuacha tbc ipige propaganga. Tujue uelekeo wa chama na kadharika.
SIAMINI KAMA HAMNA FEDHA. INAMAANA MNAWEZA MKAWA MNAZIDIWA KIPATO NA MZEE WA MPAKO. Weka kipindi maalumu tuone na hojazenu ata mnazozitoa bungeni msitegemee magezeti pekee watu bush hawawaelewi