CHADEMA Haina Itikadi Kama Chama!

Inapatikana Hapa
Itikadi ya Chama

  1. CHADEMA ni chama cha itikadi ya MRENGO WA KATI (center party).
  2. CHADEMA ni chama kinachoamini kukuza na kuimarisha uchumi wa nchi kwa kutumia raslimali za nchi yetu bila kuathiri uhuru wa Taifa, na kuhakikisha kuwa umma kwa ujumla unanufaika na raslimali zao.
  3. CHADEMA inaamini katika kujenga na kuimarisha uchumi wa soko huru, utakaoheshimu na kulinda haki na mali za watu, biashara huru na sekta ya watu binafsi bila kupoka mamlaka ya umma katika maeneo nyeti hususani pale penye hitilafu ya soko au penye maeneo nyeti ya kiuchumi. Tunaamini katika soko huru sio soko holela.
  4. CHADEMA inaamini kuhakikisha matumizi bora ya raslimali asilia za nchi ili zichangie kikamilifu katika pato la taifa na hasa kuboresha huduma za kiuchumi zinazotumiwa na wananchi wote.
  5. CHADEMA inaamini katika uzalendo na kuthamini mila na desturi zetu zilizo nzuri.
  6. CHADEMA inaamini katika uhuru chini ya sheria zilizo za haki.
  7. CHADEMA inaamini katika siasa ambazo ziko juu ya vyama zenye kusimamia zaidi maslahi ya Taifa.
  8. CHADEMA inaweka umuhimu wa pekee katika familia kama moja ya taasisi muhimu ya kijamii.
  9. CHADEMA inaamini katika umuhimu wa uhuru wa kuamini katika kujenga maadili ya mwanajamii mmoja mmoja bila kuifanya dini kuwa sehemu ya dola.
  10. CHADEMA inaamini taifa linaundwa na watu, hivyo uhai wake unawategemea watu, na mabadiliko yake yanatokana na watu.
  11. CHADEMA inaamini katika kujenga uwezo wa wazawa katika kumiliki na kuendesha uchumi.
  12. CHADEMA inaamini kumiliki raslimali na mali miongoni mwa wananchi kunawapa uhuru zaidi hivyo tunataka kujenga chama na baadaye taifa lenye kutoa fursa, ambapo kila mtu bila kujali asili na hali yake anaweza kutimiza na kufanikiwa kadiri ya vipaji vyake.
 
Hapa tunataka jibu watueleze hawa vijana wa conservative party itikadi yao ninini?? Nyerere aliwahi kuwaambia kuwa kwa vile ni mabepari basi hawa ndio wapinzani wa kweli maana ccm inafuata ujamaa. Lakini kama ambavyo cv zao ziaanza kufahamika zaidi ya nusu ya hawa jamaa vijana wa edo mtei hawana hata elimy ya chuo kikuu ukitoa vijana wachache kama zito mdee lisu na shibuda ambao hat mwelekeo wao angalau unatia matumaini. Waliobaki na watoto wa mama kijo kisima na anawalea nkya na malya na sungusia aisee kweli hapa bila chadema kuchukua nchi akyamungu mtanilipa nyumba yangu niliyousa kule koborororoni. Sasa hawa ni mabepari au wa jamaa mbona htufanani nao??

??????????????????????????????????????????????????????
 
TOKA JF imeanzishwa 2006 kuna thread kibao za hii kitu, mod hebu jaribuni kuzilink maaana hadi kero kila siku mtu anakurupuna na itikadi za CDM, nakumbuka 2009 na 2010 tulikuwa na mjadala mkali sana hapa jamvini kuhusu hii kitu, saluti ma kamanda...
 
Inapatikana Hapa
Itikadi ya Chama

  1. CHADEMA ni chama cha itikadi ya MRENGO WA KATI (center party).
  2. CHADEMA ni chama kinachoamini kukuza na kuimarisha uchumi wa nchi kwa kutumia raslimali za nchi yetu bila kuathiri uhuru wa Taifa, na kuhakikisha kuwa umma kwa ujumla unanufaika na raslimali zao.
  3. CHADEMA inaamini katika kujenga na kuimarisha uchumi wa soko huru, utakaoheshimu na kulinda haki na mali za watu, biashara huru na sekta ya watu binafsi bila kupoka mamlaka ya umma katika maeneo nyeti hususani pale penye hitilafu ya soko au penye maeneo nyeti ya kiuchumi. Tunaamini katika soko huru sio soko holela.
  4. CHADEMA inaamini kuhakikisha matumizi bora ya raslimali asilia za nchi ili zichangie kikamilifu katika pato la taifa na hasa kuboresha huduma za kiuchumi zinazotumiwa na wananchi wote.
  5. CHADEMA inaamini katika uzalendo na kuthamini mila na desturi zetu zilizo nzuri.
  6. CHADEMA inaamini katika uhuru chini ya sheria zilizo za haki.
  7. CHADEMA inaamini katika siasa ambazo ziko juu ya vyama zenye kusimamia zaidi maslahi ya Taifa.
  8. CHADEMA inaweka umuhimu wa pekee katika familia kama moja ya taasisi muhimu ya kijamii.
  9. CHADEMA inaamini katika umuhimu wa uhuru wa kuamini katika kujenga maadili ya mwanajamii mmoja mmoja bila kuifanya dini kuwa sehemu ya dola.
  10. CHADEMA inaamini taifa linaundwa na watu, hivyo uhai wake unawategemea watu, na mabadiliko yake yanatokana na watu.
  11. CHADEMA inaamini katika kujenga uwezo wa wazawa katika kumiliki na kuendesha uchumi.
  12. CHADEMA inaamini kumiliki raslimali na mali miongoni mwa wananchi kunawapa uhuru zaidi hivyo tunataka kujenga chama na baadaye taifa lenye kutoa fursa, ambapo kila mtu bila kujali asili na hali yake anaweza kutimiza na kufanikiwa kadiri ya vipaji vyake.

Haya ni maneno matupu yasiyo na mfupa.
-
Kwanza kabisa ni vijanaw wangapi nafahamu na kuielewa hii misimamo na kuiamini kwa dhati?
Utawaendelezaje wakulima na mazao yao kwa nyimbo hizi?
Utawaendelezaje vijana wanaoandamana kila siku kuwa sapoti kwa haya maneno matupu
Vijana na elimu je? Unasemaje kwa itikadi hi ambayo ni general terms!

Umajimbo hapa hasa maana yake ni nini? Kama sio ubaguzi wa kikanda.
Acheni ku copy na kupaste maazimio ya mabepari wa Venice
 
Hapa tunataka jibu watueleze hawa vijana wa conservative party itikadi yao ninini?? Nyerere aliwahi kuwaambia kuwa kwa vile ni mabepari basi hawa ndio wapinzani wa kweli maana ccm inafuata ujamaa. Lakini kama ambavyo cv zao ziaanza kufahamika zaidi ya nusu ya hawa jamaa vijana wa edo mtei hawana hata elimy ya chuo kikuu ukitoa vijana wachache kama zito mdee lisu na shibuda ambao hat mwelekeo wao angalau unatia matumaini. Waliobaki na watoto wa mama kijo kisima na anawalea nkya na malya na sungusia aisee kweli hapa bila chadema kuchukua nchi akyamungu mtanilipa nyumba yangu niliyousa kule koborororoni. Sasa hawa ni mabepari au wa jamaa mbona htufanani nao??
ulitaka kusema nini??sijakuelewa nilichonote ni kuwa thinking capacity yako imejaa ufisadi tu.real kimeo.
 
Huna jipya wewe, yani unarudia thread za miaka 10 iliyopita. Very stupid!!
 
UNAHANGAIKAM SANA ANNA KWA NINI USIENDE KIVUKONI UKAREKEBISHE KIPENGELE CHA CCM NI CHAMA CHA WAKULIMA NA WAFANYAKAZI MKIHALALISHE NA MSEME CCM NI CHAMA CHA MAFISA:decision:DI NA WAHUJUMU
 
naona nape kakupa kidogo mgao wake wa posho poleni sana kayapeleke uhuru na mzalendo hapa utatukaniwa mamayako bure:spider:
 
Nimepitia kwa Umakini Katiba ya Chadema tofauti na matarajio ya Chama chochote cha Siasa lazima kuweka msimamo wake hasa mlengwa wa Kiitikadi! Chadema haijaweka wazi kama ni Chama cha Kijamaa au ni Chama Cha Kibepari! Tofauti na CCM ambao wao Wanasema ni Chama cha Kijamaa japokuwa Ujamaa walisha Uweka kando! Vyama vingi duniani huonesha mlengo wake hasa kama ni kuamini Ubepari au Ujamaa! Hata marafiki zao wa Ujerumani na Uingereza wamebainisha mlengo wa Vyama vyao! Wanachama wa Chadema walio wengi hata hapa JF hawajui Itikadi ya Chama Chao(Inasikitisha sana)! Hakuna tofauti kati ya Chadema na Timu ya Simba wala Yanga kwani hawana Itikadi!
My Take: Chadema ijipambanua ina itikadi gani Ujamaa au Ubepari! Wanachadema jiulizeni Itikadi ya Chama chenu ni ipi?
@John Marwa, kwanza kabisa lazima wewe mwenyewe ufahamu maana ya Itikadi hizi na tofauti zake ktk dunia hii ya leo. Ujamaa unaujua wewe sio ujamaa unaotangazwa na vyama vya nchi za magharibi isipokuwa kwa VIAPAUMBELE ambavyo binafsi yangu husema hivi:- Is it the end justifies the Means or is it the means justifies the end?.

Siasa za Vipaumbele ni itikadi zinazopingana ktk malnego ya ujenzi wa jamii husika kulingana na WATU na MAZINGIRA yao (There so many incarnations) hivyo huwezi kulazimisha vyama ktk mtazamo wa siasa ya Kijamaa na Kibepari bila kuitazama kwanza historia ya nchi husika maanake katika Upinzani wa vyama lazima kuwepo itikadi inayotawala na vyama vingine vikatokana na itikadi inayopingana na iliyopo.

Ujamaa umejikita zaidi ktk kuamini kwamba ndani ya mfumo wa Kibepari lazima kuna oppression ya watu wa chini kutokana na asili ya ushindani ndani ya Ubepari ambapo matajiri wachache ndio hu control vyanzo hivi na kushusha mishahara wa watu wa chini na kati. Hivyo Ujamaa ndani ya Ubepari kazi yake kubwa ni kulinda watu wa chini kwa malengo ya kutokuwa na matabaka yaani wana advocate a completely classless society.

Katika dunia yaleo yenye kupokea soko huria unakuta kwenye Ujamaa kuna ubepari na ktk Ubepari kuna Ujamaa na hapo ndipo upinzani unapopatikana - Zile fikra na siasa za kwamba shughuli zote za kuzalisha na kukuza uchumi ziwe mikononi mwa serikali hazitumiki tena isipokuwa wajamaa wanasisitiza REGULATIONS ambazo main goal is to dispel class distinctions kupata kuwa na harmonious society, free of oppression na financial instability.

Sasa how you gonna do that ndipo Wajamaa husema serikali ina wajibu wa ku control all means of production and distribution of goods. Kwa hilo sidhani kama CCM wapo upande huo wala sidhani kuna chama Tanzania kinaunga mkono serikali kumiliki njia zote za kuzalisha na kukuza uchumi japokuwa vyama vyote vinataka ujenzi wa classless society...

Hapa ndipo ngoma ipo maana sisi sote maskini, asilimia 99 ya Watanzania ni maskini wa hali na mali wasiokuwa na Mtaji isipokuwa wa magenge ya nyanya halafu tunaubeba Ubepari wakati huo huo tukitaka watu wote kuwa jamii isiyokuwa na matabaka!. Kifupi hakuna chama chenye itikadi inayofanana na zile za Ulaya isipokuwa vyama vyote vinabeba mazuri ya huku na kule kupingana na Uongozi ama muundo wa chama. Wasiokubaliana na JK au Nape watakihama chama na wasiokubaliana na Mbowe au Dr.Slaa ndio watakihama chama.
 
Chadema hawana itikadi kwa sasa. Wanasubiri mabwana zao wakubwa wa conservative party wawafundishe au mjomba wao afonso dhlakama wa renamo ambaye ndiye aliyewafundisha kuvaa magwanda ya mgambo
 
Back
Top Bottom