Mkuu
Hawa jamaa hawaja panic ila wako kwenye severe state of panic over weighed by denial.
Tuwakubalie kuwa Chadema haikushinda bali ilitetea kata. Ili kuwapa nafuu ya usingizi tuwakubalie tu. Lakini wakumbuke kuwa chedema ilijizatiti kutetea kata zake na hatimaye ccm wakashindwa kuchukua hata kata moja. Kama hivyo ndivyo ina maana ccm walishindwa mbinu na ccm maana uchaguzi 16 juni 2013 ccm ilinyang'anywa kata zake 3 na chadema baada ya kushindwa kuzitetea kama chadema jinsi ilivyo tetea kata zake 4.
Kama hivyo ndivyo, basi chadema ni imara kwenye kutetea vyake kuliko ccm.
Kwa mantiki hiyo, kati ya chadema na ccm akitafuutwa mshindi na mahiri wa kutetea na kushinda chaguzi kwenye kata zilizo kuwa kwenye himaya bila shaka mshindi hawezi kuwa ccm.
Unauma, ni mchungu lakini ndio ukweli.