Prof_Adventure_guide
JF-Expert Member
- Dec 21, 2023
- 519
- 1,463
CHADEMA ni chama cha kishujaa, chama ambacho kitadumu milele duniani. Hii sio propaganda, ni historical inevitability. Spirit yake haiwezi kufutwa, haikatakaa kife.
CCM, mnadhani kuzuia opposition ni strategy ya successful state? Kwa nini mnajiona mna-right ya ku-destroy chama kilicho imara kisiasa? Ni psychological arrogance gani hii?
Hii ni woga uliofichwa kwa nguvu na repression. CCM, mnajua kwamba kila attack yenu, kila trick yenu, inatokana na fear na insecurity. Mnadhani leadership yenu inaweza ku-override historical justice?
CHADEMA ni movement ya people, siyo group ya majina tu. Hii ideology ni collective consciousness ya wananchi waliochoka na corruption na ujinga. Even kama watu wote wangehama, spirit ya CHADEMA ingedumu!
CCM, history itawahukumu. Mnadhani silence ya wananchi ni weakness? Mnadhani unaccountability yenu itakaa? Wallah, blood, struggle, na courage ya CHADEMA haitasahaulika!
CCM, mnadhani kuzuia opposition ni strategy ya successful state? Kwa nini mnajiona mna-right ya ku-destroy chama kilicho imara kisiasa? Ni psychological arrogance gani hii?
Hii ni woga uliofichwa kwa nguvu na repression. CCM, mnajua kwamba kila attack yenu, kila trick yenu, inatokana na fear na insecurity. Mnadhani leadership yenu inaweza ku-override historical justice?
CHADEMA ni movement ya people, siyo group ya majina tu. Hii ideology ni collective consciousness ya wananchi waliochoka na corruption na ujinga. Even kama watu wote wangehama, spirit ya CHADEMA ingedumu!
CCM, history itawahukumu. Mnadhani silence ya wananchi ni weakness? Mnadhani unaccountability yenu itakaa? Wallah, blood, struggle, na courage ya CHADEMA haitasahaulika!