Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,184
- 2,471
Na bado. Itaendelea kutesa na kuteka sana.Je Chadema imeanza kuteka siasa za pande zote za nchi ?
Na bado. Itaendelea kutesa na kuteka sana.Je Chadema imeanza kuteka siasa za pande zote za nchi ?
Huyo mfuasi wa Tulia Kaanza lini kuwa ChademaYaan watu 6 watikise Zanzibar?? Lkn CHADEMA kuna vichaa kweli kweli wakiongozwa na POPOMA mkuu GENTAMYCINE
Nakushangaa unavyotetea ujinga yaani wamejichoresha ni aibuSasa unalia nini ?
katiba mpya ni ujinga ?Nakushangaa unavyotetea ujinga yaani wamejichoresha ni aibu
CDM mlikosea mlipomjibu maalim kuwa nyinyi ni chama kikubwa wakitaka wajiunge kama wanachama wa kawaida. Kiburi na uoni wa karibu kimewanyima nafasi ya kuwa chama tawala zenj siku uchaguzi ukiwa huru japo nusu tu.Kule CUF ilishakufa wafuasi wa maalim wakauzwa kwa walanguzi na walanguzi wakawauza kwa CCM, Chadema waelekeze nguvu huko wachukue dora la visiwani
Weka ushahidi .CDM mlikosea mlipomjibu maalim kuwa nyinyi ni chama kikubwa wakitaka wajiunge kama wanachama wa kawaida. Kiburi na uoni wa karibu kimewanyima nafasi ya kuwa chama tawala zenj siku uchaguzi ukiwa huru japo nusu tu.
Wazanzibar huwa hawaigawi nguvu ya upizani jifuzeni kuishi na ACT Is here to stay.