CHADEMA chazoa viti Mbeya vijijini, CCM hoi

Big up CHADEMA,kwa mwenendo huu 2015 ni mwaka wetu kuudondosha utawala dhalimu wa CCM na kushika hatamu.
 
Nimemkumbuka yule mwenyekiti wa chadema mkoa wa Mbeya aliyehamia CCM na kujigamba kwamba ataibomoa kabisa chadema Mbeya eti yeye ndiye aliingiza wanachama,sijui sasa hivi anaficha wapi sura yake
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Nimemkumbuka yule mwenyekiti wa chadema mkoa wa Mbeya aliyehamia CCM na kujigamba kwamba ataibomoa kabisa chadema Mbeya eti yeye ndiye aliingiza wanachama,sijui sasa hivi anaficha wapi sura yake

Mpaka kufikia 2015 kuna watu wataokota makopo kwa kuchanganyikiwa sababu ya maamuzi ya ovyo kama huyo kilaza coz ninachoona cdm ni mwendo mdundo tu,haiteteleki,juzi wenje alifunika mbaya pale buhongwa
ama kweli watu wameamua kubadilika
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Chadema wao walenge zaidi uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 maana hapo ndio penye mzizi wa 2015. Ukikamata uongozi wa serikali za mitaa,vijiji na vitongoji unajiweka katika nafasi nzuri zaidi ya ushindi ktk uchaguzi mkuu maana hadaa,ulaghai na wizi wa kura ni rahisi kuudhibiti
 
Hakuna mtanganyika asiyechoshwa na CCM iliyozeeka na kuota magamba kila mahali, kuanzia IKULU mpaka kule vitongojini. Watanganyika tubadilike tuyaepuke haya magamba, ni suma ya kufisha itatumaliza. Chadema safi sana Mbeya!!!
 
Hakuna mtanganyika asiyechoshwa na CCM iliyozeeka na kuota magamba kila mahali, kuanzia IKULU mpaka kule vitongojini. Watanganyika tubadilike tuyaepuke haya magamba, ni suma ya kufisha itatumaliza. Chadema safi sana Mbeya!!!

hasa ukichukulia wazanzibar walivyowatukana watanganyika walipokuwa wanajadili mswada wa katiba.
 
Chadema wao walenge zaidi uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 maana hapo ndio penye mzizi wa 2015. Ukikamata uongozi wa serikali za mitaa,vijiji na vitongoji unajiweka katika nafasi nzuri zaidi ya ushindi ktk uchaguzi mkuu maana hadaa,ulaghai na wizi wa kura ni rahisi kuudhibiti

viongozi wa chadema wachukue pointi muhimu kama hizi
 
Hongera wana mby,hongera cdm. Wandugu vijijini watu wamebadilika na wanaendelea kubadilika,elimu ya uraia ni muhimu iendelee. Lakini tume huru wajameni hawa wadau hawakotayari kuachia kirahisi, kwa tume hii ya Kilavu na wenzake lazima kitu kifanyike. Nadhani mumesikia kongo kilichofanyika. Na 'psychology' ya kuanza kutangaza maeneo wanayo ongoza wao tu kwanza ili kuaminisha wananchi ktk uchakachuaji utakao fuata,waweza kunukuu haya na kuhakikisha hayajitokezi tena ktk uchaguzi mapema, kabla ya wakati kufika.
 
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa wa wenyeviti wa vijiji na vitongoji kata ya Nsalala Mbeya vijijini.Chadema imenyakua vijiji 4 huku CCM ikiambulia kijiji 1 tu.Katika uchaguzi wa vitongoji Chadema imeshinda vitongoji 9 huku CCM nayo ikishinda vitongoji 9.Uchaguzi huo umefanyika mwishoni mwa wiki. Source Nipashe Uk.13

Asante kwa taarifa, je kabla ya sasa uwakilishi kwa uwiano wa vyama ulikuwaje?

Nafikiri ndio maana nasikia ccm hawataki tena hizi chaguzi ndogo, maana kabla ya uchaguzi mkuu ujao wanaweza kuwa tayari wako nje.

Hongera CHADEMA, ila msisahu kuwatumikia wananchi.
 
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa wa wenyeviti wa vijiji na vitongoji kata ya Nsalala Mbeya vijijini.Chadema imenyakua vijiji 4 huku CCM ikiambulia kijiji 1 tu.Katika uchaguzi wa vitongoji Chadema imeshinda vitongoji 9 huku CCM nayo ikishinda vitongoji 9.Uchaguzi huo umefanyika mwishoni mwa wiki. Source Nipashe Uk.13

Mwanzo mzuri kwa cdm na ni salam kwa magamba 2015 hamna chenu kwani cdm wameanza chini na wanapanda now. Big up cdm
 
Back
Top Bottom