Viongozi karibu wote Tanzania wana tatizo la kujieleza.Hapo sasa inatakiwa Mbowe aulizwe kuwa huo utaratibu mzuri wa chanjo kuwa ya lazima kwa Watanzania wote ni wa namna gani?
Tusikimbilie kuhukumu kauli ya mtu mapema kwa sababu katika suala la chanjo za lazima, kuna kitu kinachoitwa vaccine mandates ambacho kinafahamika duniani, pia kinafanyika katika nchi nyingi tu tena kwa kufuata taratibu zilizowekwa na WHO.
Kwenye hoja yangu ya mwanzoni kabisa wakati tunajadili nilisema kwamba, hoja kubwa hapa ni kuhusu utekelezaji wa huo "ulazima" anaousema Mbowe, ukizingatia kuwa Tanzania katika suala la Covid iko nyuma ya muda na haijatoa chanjo yoyote rasmi kwa raia yeyote yule hadi sasa ukilinganisha na mataifa mengine ambayo yamekwisha tangulia.
Waandishi wa habari waliokuwa pale, ama pengine hawakuona umuhimu juu ya suala hilo au walisahau kumuuliza chochote kuhusiana na hilo. Labda wajaribu kumtafuta kwa wakati mwingine.
It is not uncommon for governments and institutions to mandate certain actions or types of behaviour in order to protect the wellbeing of individuals or communities.You carry water for the guy, that much is known!!you want to infringe the rights of individuals under the guise of community safety.this is how dictactorships start... His statement came from a devastating personal experience and not from an objective mind
Baada ya kuona iyo kofia aliyovaa kichwani nilitegemea ataongea ujinga kama huo, wenzake wakina CHE GUEVARA walizitumia kwenye field yeye analeta ukamanda maneno.Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeomba huduma ya utoaji chanjo ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19), iwe ya lazima badala ya hiari kama ilivyotangazwa na Serikali.
Wito huo umetolewa leo Jumatatu, tarehe 19 Julai 2021 na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, akizungumza na wanahabari jijini Mwanza.
“Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, iweke utaratibu mzuri wa chanjo kuwa ya lazima kwa Watanzania,” amesema Mbowe.
Aidha, Mbowe ameitaka Serikali iongeze juhudi katika kutoa elimu kwa wananchi juu ya kujikinga na maambukizi ya COVID-19, kwa kuwa wengi hawachukui tahadhari dhidi ya janga hilo.
“Lakini public awareness (uelewa kwa umma) haiko, wala usifikiri Watanzania hawana akili, wamedanganywa hawajui washike la rais au la nani,” amesema Mbowe.
Mbowe ameongeza “ wameweka usugu hawaogopi Corona, wanafikiri ugonjwa huu wanaambukiza wachache.”
Wakati huo huo, Mbowe ameiomba Serikali iweke mkakati wa kutoa matibabu ya COVID-19 bure kwa wananchi, kwa kuwa wengi hawana uwezo wa kumudu gharama za matibabu.
“Kitu kikubwa hatujakijua ni gharama za matibabu, kimsingi gharama za COVID-19 ilipaswa kusimamiwa na Serikali kwa asilimia 100,” amesema Mbowe na kuongeza:
“Sababu janga limetengazwa la kidunia na Shirika la Afya Duniani (WHO). Serikali na nchi zake zinawajibika kuwatibu na kuwakinga wananchi.”
Serikali ya Tanzania, imesema imekamilisha muongozo wa kuingiza na kutoa chanjo ya COVID-19, na kwamba zitaingizwa nchini hivi karibuni.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi, alisema chanjo hiyo itatolewa bure kwa Wananchi watakaohitaji.
Mwanahalisi
Mwenye jukumu la kutoa chanjo kwa Watanzania sio Mbowe, it's the government!Viongozi karibu wote Tanzania wana tatizo la kujieleza.
Hapo Mbowe kajifungulia Pandora box la kusemwa analipwa na ma Freemason wa Bill Gates kulazimisha Watanzania wachanjwe chanjo za kusababisha wasizae sana ili kudhibiti ukuaji wa idadi ya Waafrika.
Utaona tactless comments kama hizi zina undermine effort ya vaccination. Hata kama una support vaccination.
So you are using a cited WHO response,ok Noted! Hebu Soma hyo response yako tena,,they are excusing tyrannical behaviour by using catchy phrases like 'advancing valuable social goal'....human rights including individual liberties are absolute ,they cannot be suspended for any reason..and lastly who has carte blanche on determining what those valuable social goals are? Is it your government,or a highly political organ led by a globalistic kabal like the WHO?It is not uncommon for governments and institutions to mandate certain actions or types of behaviour in order to protect the wellbeing of individuals or communities.
Such policies can be ethically justified, as they may be crucial to protect the health and wellbeing of the public. Nevertheless, because policies that mandate an action or behaviour interfere with individual liberty and autonomy, they should seek to balance communal well-being with individual liberties.
While interfering with individual liberty does not in itself make a policy intervention unjustified, such policies raise a number of ethical considerations and concerns and should be justified by advancing another valuable social goal, like protecting public health. [WHO]
Fauci is a self obsessed moron,,in the 1980's he himself promoted the conspiracy theory that AIDS is contracted by coming into contact or touching gay men....in the early days of covid he said masks are useless,,,the agency the NiH funded the lab to which this strain of corona viruses are said to have emerged...Look up the Fauci Emails and his various exchanges with Senator Rand Paul of Kentucky....Mwenye jukumu la kutoa chanjo kwa Watanzania sio Mbowe, it's the government!
Hizo conspiracy theories zimekuwepo hata kabla ya Mbowe and others kuzungumza kuhusu chanjo. Jambo la msingi hapo ni kutengeneza utaratibu mzuri wa utoaji chanjo kama ambavyo imesemwa na Mbowe.
Kwa sababu hata suala la chanjo za lazima (vaccine mandates) lina utaratibu mzuri tu ambao umeainishwa vizuri na WHO pale ambapo utahitajika.
Suala jingine linaloambatana na hilo la conspiracy theories ni hofu juu ya usalama wa chanjo kwa ujumla. Hili ndilo linalosumbua pia nchi nyingi ikiwemo Marekani.
Juzi hapa Fauci ame-suggest kuhusu kuwepo kwa ulazima wa chanjo angalau katika ngazi za serikali za mitaa kwa sasa hata kama bado chanjo hazijaidhinishwa kikamilifu. Bado kuna mwitikio mdogo sana wa watu katika baadhi ya maeneo pamoja na kuwa asilimia kubwa ya watu tayari wamekwisha pata chanjo.
Kuna watu wamegoma kabisa kuchanjwa pamoja na uhamasishaji na uhiari uliopo. Ukienda nchi zingine kama Urusi, upuuzaji wa chanjo ni mkubwa mno.
Vipi kuhusu nchi ambayo haijatoa chanjo hata kwa raia mmoja, mwamko wa kuchanjwa kwa hiari kwa kila raia utakuwaje ukizingatia mwenendo ama kasi ya maambukizi inavyokwenda duniani?
Huyu sijui Mwamba hajafanya utafiti wa public opinion ya watanzania kuhusu covid..19..anaropoka tu...Hana tofauti na jamaa wa tozo ya miamalaChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeomba huduma ya utoaji chanjo ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19), iwe ya lazima badala ya hiari kama ilivyotangazwa na Serikali.
Wito huo umetolewa leo Jumatatu, tarehe 19 Julai 2021 na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, akizungumza na wanahabari jijini Mwanza.
“Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, iweke utaratibu mzuri wa chanjo kuwa ya lazima kwa Watanzania,” amesema Mbowe.
Aidha, Mbowe ameitaka Serikali iongeze juhudi katika kutoa elimu kwa wananchi juu ya kujikinga na maambukizi ya COVID-19, kwa kuwa wengi hawachukui tahadhari dhidi ya janga hilo.
“Lakini public awareness (uelewa kwa umma) haiko, wala usifikiri Watanzania hawana akili, wamedanganywa hawajui washike la rais au la nani,” amesema Mbowe.
Mbowe ameongeza “ wameweka usugu hawaogopi Corona, wanafikiri ugonjwa huu wanaambukiza wachache.”
Wakati huo huo, Mbowe ameiomba Serikali iweke mkakati wa kutoa matibabu ya COVID-19 bure kwa wananchi, kwa kuwa wengi hawana uwezo wa kumudu gharama za matibabu.
“Kitu kikubwa hatujakijua ni gharama za matibabu, kimsingi gharama za COVID-19 ilipaswa kusimamiwa na Serikali kwa asilimia 100,” amesema Mbowe na kuongeza:
“Sababu janga limetengazwa la kidunia na Shirika la Afya Duniani (WHO). Serikali na nchi zake zinawajibika kuwatibu na kuwakinga wananchi.”
Serikali ya Tanzania, imesema imekamilisha muongozo wa kuingiza na kutoa chanjo ya COVID-19, na kwamba zitaingizwa nchini hivi karibuni.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi, alisema chanjo hiyo itatolewa bure kwa Wananchi watakaohitaji.
Mwanahalisi
Nothing is suspended! Read, don't just rush to reply please!So you are using a cited WHO response,ok Noted! Hebu Soma hyo response yako tena,,they are excusing tyrannical behaviour by using catchy phrases like 'advancing valuable social goal'....human rights including individual liberties are absolute ,they cannot be suspended for any reason..and lastly who has carte blanche on determining what those valuable social goals are? Is it your government,or a highly political organ led by a globalistic kabal like the WHO?
Well, now I see where your problem is!Fauci is a self obsessed moron,,in the 1980's he himself promoted the conspiracy theory that AIDS is contracted by coming into contact or touching gay men....in the early days of covid he said masks are useless,,,the agency the NiH funded the lab to which this strain of corona viruses are said to have emerged...Look up the Fauci Emails and his various exchanges with Senator Rand Paul of Kentucky....
Ke mwenzio huyoKwani wewe wenzangu ke/me?
Mbowe amesema serikali itafute utaratibu wa kulazimisha watu wote wapigwe chanjo.Mwenye jukumu la kutoa chanjo kwa Watanzania sio Mbowe, it's the government!
Hizo conspiracy theories zimekuwepo hata kabla ya Mbowe and others kuzungumza kuhusu chanjo. Jambo la msingi hapo ni kutengeneza utaratibu mzuri wa utoaji chanjo kama ambavyo imesemwa na Mbowe.
Kwa sababu hata suala la chanjo za lazima (vaccine mandates) lina utaratibu mzuri tu ambao umeainishwa vizuri na WHO pale ambapo utahitajika.
Suala jingine linaloambatana na hilo la conspiracy theories ni hofu juu ya usalama wa chanjo kwa ujumla. Hili ndilo linalosumbua pia nchi nyingi ikiwemo Marekani.
Juzi hapa Fauci ame-suggest kuhusu kuwepo kwa ulazima wa chanjo angalau katika ngazi za serikali za mitaa kwa sasa hata kama bado chanjo hazijaidhinishwa kikamilifu. Bado kuna mwitikio mdogo sana wa watu katika baadhi ya maeneo pamoja na kuwa asilimia kubwa ya watu tayari wamekwisha pata chanjo.
Kuna watu wamegoma kabisa kuchanjwa pamoja na uhamasishaji na uhiari uliopo. Ukienda nchi zingine kama Urusi, upuuzaji wa chanjo ni mkubwa mno.
Vipi kuhusu nchi ambayo haijatoa chanjo hata kwa raia mmoja, mwamko wa kuchanjwa kwa hiari kwa kila raia utakuwaje ukizingatia mwenendo ama kasi ya maambukizi inavyokwenda duniani?
HIVI KWELI KWAMBA MBOWE HAKUONGELEA HIZO TOZO ZA KIDHALIMU KWA WANANCHI AMEONGELEA KORONA TU?Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeomba huduma ya utoaji chanjo ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19), iwe ya lazima badala ya hiari kama ilivyotangazwa na Serikali.
Wito huo umetolewa leo Jumatatu, tarehe 19 Julai 2021 na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, akizungumza na wanahabari jijini Mwanza.
“Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, iweke utaratibu mzuri wa chanjo kuwa ya lazima kwa Watanzania,” amesema Mbowe.
Aidha, Mbowe ameitaka Serikali iongeze juhudi katika kutoa elimu kwa wananchi juu ya kujikinga na maambukizi ya COVID-19, kwa kuwa wengi hawachukui tahadhari dhidi ya janga hilo.
“Lakini public awareness (uelewa kwa umma) haiko, wala usifikiri Watanzania hawana akili, wamedanganywa hawajui washike la rais au la nani,” amesema Mbowe.
Mbowe ameongeza “ wameweka usugu hawaogopi Corona, wanafikiri ugonjwa huu wanaambukiza wachache.”
Wakati huo huo, Mbowe ameiomba Serikali iweke mkakati wa kutoa matibabu ya COVID-19 bure kwa wananchi, kwa kuwa wengi hawana uwezo wa kumudu gharama za matibabu.
“Kitu kikubwa hatujakijua ni gharama za matibabu, kimsingi gharama za COVID-19 ilipaswa kusimamiwa na Serikali kwa asilimia 100,” amesema Mbowe na kuongeza:
“Sababu janga limetengazwa la kidunia na Shirika la Afya Duniani (WHO). Serikali na nchi zake zinawajibika kuwatibu na kuwakinga wananchi.”
Serikali ya Tanzania, imesema imekamilisha muongozo wa kuingiza na kutoa chanjo ya COVID-19, na kwamba zitaingizwa nchini hivi karibuni.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi, alisema chanjo hiyo itatolewa bure kwa Wananchi watakaohitaji.
Mwanahalisi
Si kweli kuwa maadili ya kitabibu hayaruhusu kabisa.Mbowe amesema serikali itafute utaratibu wa kulazimisha watu wote wapigwe chanjo.
Hilo jambo hata maadili ya kitabibu hayaruhusu.
Unaelewa hilo?
Ukishaongea mambo ya moral justifiction ndiyo umeshaanza ku qalify kitu. Hizo ndizo habari za kulazimisha nurses wachanje.Si kweli kuwa maadili ya kitabibu hayaruhusu kabisa.
Kanuni za maadili ya kitabibu zinapendekeza kutumika kwa utaratibu wa lazima katika utekelezaji wa sera za afya katika mazingira ambayo ni moral justifiable.
Zipo moral justifications mbalimbali za utekelezaji wa chanjo za lazima. Hizo justifications zinakubalika hata na taasisi kubwa za afya kama WHO. Hazijakatazwa!
If I'm not mistaken, ameongelea kuhusu "utaratibu". Kama ni suala la utaratibu basi hapo ndipo ambapo tunaweza kuzipata hizo justifications.Ukishaongea mambo ya moral justifiction ndiyo umeshaanza ku qalify kitu. Hizo ndizo habari za kulazimisha nurses wachanje.
Na ukilazimisha nurses wachanje, hujalazimisha wananchi wachanje.
Kwa sababu, kama nurse hataki kabisa kuchanja anaweza kuacha kazi.
Mbowe haja qualify hii issue. Ameongea kwa raia wote chanjo ilazimishwe. This is wrong, unethical and will violate minority rights za watu kama Jehovah Witnesses amvao hawakubali chanjo kwa sababu za kidini. Mimi sina dini lakini natetea haki za watu wenye imani zao.
By the way, atatoa tamko ku walk back hii kauli, kwa sababu hata watu wa chama chake wameikataa. Haibebeki.
Ni kweli lakini sio lazima.Suala la afya za raia unataka kulifanyia siasa? Yaani unataka kura ya maoni kwenye suala kama hilo?
Kabla ya kufikia kwenye chanjo ya lazima kwa raia wote, bado kuna makundi ambayo yako katika mazingira hatarishi zaidi ya kuathiriwa hususani wahudumu wa afya. Makundi haya lazima yapewe chanjo. Hakuna mjadala wala kura ya maoni hapo!