Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 70,950
- 104,587
Viongozi karibu wote Tanzania wana tatizo la kujieleza.Hapo sasa inatakiwa Mbowe aulizwe kuwa huo utaratibu mzuri wa chanjo kuwa ya lazima kwa Watanzania wote ni wa namna gani?
Tusikimbilie kuhukumu kauli ya mtu mapema kwa sababu katika suala la chanjo za lazima, kuna kitu kinachoitwa vaccine mandates ambacho kinafahamika duniani, pia kinafanyika katika nchi nyingi tu tena kwa kufuata taratibu zilizowekwa na WHO.
Kwenye hoja yangu ya mwanzoni kabisa wakati tunajadili nilisema kwamba, hoja kubwa hapa ni kuhusu utekelezaji wa huo "ulazima" anaousema Mbowe, ukizingatia kuwa Tanzania katika suala la Covid iko nyuma ya muda na haijatoa chanjo yoyote rasmi kwa raia yeyote yule hadi sasa ukilinganisha na mataifa mengine ambayo yamekwisha tangulia.
Waandishi wa habari waliokuwa pale, ama pengine hawakuona umuhimu juu ya suala hilo au walisahau kumuuliza chochote kuhusiana na hilo. Labda wajaribu kumtafuta kwa wakati mwingine.
Hapo Mbowe kajifungulia Pandora box la kusemwa analipwa na ma Freemason wa Bill Gates kulazimisha Watanzania wachanjwe chanjo za kusababisha wasizae sana ili kudhibiti ukuaji wa idadi ya Waafrika.
Utaona tactless comments kama hizi zina undermine effort ya vaccination. Hata kama una support vaccination.