Chadema kama taasisi inaendesha shughuli zake ofisini kwa mipangilio yake bila kusukumwa, kuchagizwa, kushinikizwa wala kushawishiwa na yeyeto.
Tulipo sasa mwenyekiti mheshimiwa Mbowe (mola amjalie salama) yuko nyuma ya nondo chini ya watesi wake ambao wangependa kuona Chadema ikisambaratika "forth with."
Chadema kama watoto yatima nafasi yao ndani ya nchi wanaijua pasi na shaka. Wanayajua machungu yao. Wanayajua magumu yao. Wanajua hawana Mama, mjomba wala shangazi. Wanazijua hali zao.
Wanajua hawana pa kukimbilia. Wanajua vyote jua na mvua vi juu ya vichwa vyao. Wanajua mtaji wa wao ni nguvu zao wenyewe. Wanajua silaha na ngao yao ni umoja na wingi wao.
Wamedhamiria kuzipambania hali zao na kwa hilo halipo linalo wasimamisha.
Kwamba watesi wa Mbowe wangependa ikiwezekana kumfutilia mbali Mbowe, kuifutilia mbali Chadema, kwani nani asiyelijua hilo? Kwamba sasa ndiyo wameikaribia adhimu yao hiyo? Thubutu!
Mbona itakuwa ni kujilisha upepo mchana kweupe?
Kutwa kucha kutengeneza chokochoko. Mara Mbowe katelekezwa jela, Mbowe ka "boogie step," Mbowe mwenyekiti wa maisha, Mbowe hana uungwaji mkono, kufanyike uchaguzi Chadema, kuwe na katiba mpya Chadema, nk, khaaaaaa!
Hivi hamna vyama vyenu? Au kwanini msianzishe vyama mkajiwekea hizo katiba zilizo bora kabisa kuliko zote duniani na ikibidi kuliko hata za huko mbinguni mliko na malaika viongozi?
Kila mtu, si johnthebaptist, USSR nk, ana lake alimradi wasikie kuna mipango gani. Wakudadavuwa naye bila shaka ni yulee..ee, fungeni milango anakuja!
Kweli kimya kingi kina mshindo mkuu.
Chadema iko salama na hali ni shwari.
Babu Loliondo katutangulia, tusifanye ajizi tupate "jab" zetu kama kipaumbele.
Maisha yetu na ya watu wengine ni ya muhimu zaidi kuliko vyote na muda wenyewe ni mchache.
Ninawasilisha.
Tulipo sasa mwenyekiti mheshimiwa Mbowe (mola amjalie salama) yuko nyuma ya nondo chini ya watesi wake ambao wangependa kuona Chadema ikisambaratika "forth with."
Chadema kama watoto yatima nafasi yao ndani ya nchi wanaijua pasi na shaka. Wanayajua machungu yao. Wanayajua magumu yao. Wanajua hawana Mama, mjomba wala shangazi. Wanazijua hali zao.
Wanajua hawana pa kukimbilia. Wanajua vyote jua na mvua vi juu ya vichwa vyao. Wanajua mtaji wa wao ni nguvu zao wenyewe. Wanajua silaha na ngao yao ni umoja na wingi wao.
Wamedhamiria kuzipambania hali zao na kwa hilo halipo linalo wasimamisha.
Kwamba watesi wa Mbowe wangependa ikiwezekana kumfutilia mbali Mbowe, kuifutilia mbali Chadema, kwani nani asiyelijua hilo? Kwamba sasa ndiyo wameikaribia adhimu yao hiyo? Thubutu!
Mbona itakuwa ni kujilisha upepo mchana kweupe?
Kutwa kucha kutengeneza chokochoko. Mara Mbowe katelekezwa jela, Mbowe ka "boogie step," Mbowe mwenyekiti wa maisha, Mbowe hana uungwaji mkono, kufanyike uchaguzi Chadema, kuwe na katiba mpya Chadema, nk, khaaaaaa!
Mamluki ndani ya Magwanda ya Makamanda
Pana tofauti za wazi baina ya wana Chadema almaarufu makamanda na wale wa ule upande mwingine wakiwamo CCM. Habari ya mjini, masikioni mwa watanzania kwa sasa ni chanjo ya Corona. Safari inayotegemewa kufikishwa palipo pema takribani ndani ya kama wiki 2. Habari ya mjini kwa makamanda ni...
www.jamiiforums.com
Hivi hamna vyama vyenu? Au kwanini msianzishe vyama mkajiwekea hizo katiba zilizo bora kabisa kuliko zote duniani na ikibidi kuliko hata za huko mbinguni mliko na malaika viongozi?
Kila mtu, si johnthebaptist, USSR nk, ana lake alimradi wasikie kuna mipango gani. Wakudadavuwa naye bila shaka ni yulee..ee, fungeni milango anakuja!
Kweli kimya kingi kina mshindo mkuu.
Chadema iko salama na hali ni shwari.
Babu Loliondo katutangulia, tusifanye ajizi tupate "jab" zetu kama kipaumbele.
Maisha yetu na ya watu wengine ni ya muhimu zaidi kuliko vyote na muda wenyewe ni mchache.
Ninawasilisha.