Chadema chama kinachosifika wanachadema mpo?

Chadema chama kinachosifika wanachadema mpo?

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,756
Kipindi cha nyuma Chadema kilikuwa chama kinachosifika sana ukisikia jina Mbowe yaani unatemeka sio kwa kujitolea au sio kwa hoja zao ila kwa kil kitu zile uniform za grey wanaitana Makamanda.

Nakumbuka huku Arusha vijana wengi walikifurahia wengine wakajitolea kwa Mh. Lema ilikuwa fujo na raha sana.

Ila kwasasa kimekufa hakisikiki sijui kwanini je humu Chadema mpo au mmeshabadilisha tiketi kama Wema. Wema aliona anakaa na njaa akarudi CCM.

Wakuu hebu fungukeni.

Mimi ni CCM tokea nipate uelewa na ni chaguo langu mazima.

Napenda rangi yao kijani inaamanisha amani na chakula kipo.

Kijivu chadema meaning njaa.
Karibuni kwa mapovu.
 
Mkuu unajua mpinzani anazaliwa toka utotoni aisee,
cha kushangaza ni kwamba yani toka utotoni sikuwahi kuipenda ccm mpaka sasa sielewi ni kwanini,
Ila akiwepo kiongozi Imara na mpenda haki basi mimi huwa huyo kiongozi namkubali sana..
 
"Napenda rangi yao kijana inaamanisha amani na chakula kipo .
Kijivu chadema meaning njaa"

MWISHO WA KUNUKUU
Na hawa ndio wapiga kura😀😀
 
Mkuu unajua mpinzani anazaliwa toka utotoni aisee,
cha kushangaza ni kwamba yani toka utotoni sikuwahi kuipenda ccm mpaka sasa sielewi ni kwanini,
Ila akiwepo kiongozi Imara na mpenda haki basi mimi huwa huyo kiongozi namkubali sana..
Ni kweli kama hupendi kitu huwezi kujilazimisha
 
Lazima tupendee chakula kwani kila mtu akienda kazini mwisho wa mwezi anapewa nini sichakula??
 
Kipindi cha nyuma chadema kilikuwa chama kinachosifika sana ukisikia jina mbowe yaani unatemeka sio kwa kujitolea au sio kwa hoja zao ila kwa kil kitu zile uniform za grey wanaitana makamanda.

Nakumbuka huku Arusha vijana wengi walikifurahia wengine wakajitolea kwa Mh. Lema ilikuwa fujo na raha sana.

Ila kwasasa kimekufa hakisikiki sijui kwanini je humu chadema mpo au mmeshabadilisha tiketi kama Wema...
Uteuzi umeisha
 
Uwe unaandika vizuri basi shost lol, but sorry km nmekukwaza.
 
Kipindi cha nyuma chadema kilikuwa chama kinachosifika sana ukisikia jina mbowe yaani unatemeka sio kwa kujitolea au sio kwa hoja zao ila kwa kil kitu zile uniform za grey wanaitana makamanda.

Nakumbuka huku Arusha vijana wengi walikifurahia wengine wakajitolea kwa Mh. Lema ilikuwa fujo na raha sana.

Ila kwasasa kimekufa hakisikiki sijui kwanini je humu chadema mpo au mmeshabadilisha tiketi kama Wema.
Wema aliona anakaa na njaa akarudi CCM .

Wakuu hebu fungukeni .

Mimi ni CCM tokea nipate uelewa na nichaguo langu mazima .

Napenda rangi yao kijana inaamanisha amani na chakula kipo .

Kijivu chadema meaning njaa.
Karibuni kwa mapovu.
.
tapatalk_1591139887964.jpeg
 
Ni ngumu sana kuona wafuasi wa CHADEMA Hasa katika mbinyo wa siasa kipindi cha nyuma ilikuwa ni rahisi kufanya mifahalo na mijadala na mikutano CHADEMA ilizidi kuimarika saiviii hairuhusiwi CHADEMA itapimwa wakati wa kampeni ambapo siasa zitaruhusiwa
 
Mimi ni mtanzania ila sijakulia hapa so siwezi kuandika ujumbe vizuri
Oooh hongera san, ila uache kushabikia kijani sawa eeeh, au wee huon muenendo uliopo hapa nchini? Tena umeish mambele hko aaah badilika bhana.
 
Oooh hongera san, ila uache kushabikia kijani sawa eeeh, au wee huon muenendo uliopo hapa nchini? Tena umeish mambele hko aaah badilika bhana.
True sasa inabidi iwe hivyo kwa muda huu no option halafu hata tukiwapa kura tutaawaminije kuwa tuko safe kwa maana aliahidi Mengi moshi hajatimiza kabisaa.

Magufuli katimiza silimia 50 ya ahadi yake na ndio mnasema tunabanwa kwa muda huu but ndio nchi iendelee sasa usipolipa kodi nchi itaendeshwaje?

Atleast kwa muda huu vumilieni tu amalizie miaka yake tutajua mbeleni.
 
True sasa inabidi iwe hivyo kwa muda huu no option halafu hata tukiwapa kura tutaawaminije kuwa tuko safe kwa maana aliahidi Mengi moshi hajatimiza kabisaa.

Magufuli katimiza silimia 50 ya ahadi yake na ndio mnasema tunabanwa kwa muda huu but ndio nchi iendelee sasa usipolipa kodi nchi itaendeshwaje??
Atleast kwa muda huu vumilieni tu amalizie miaka yake tutajua mbeleni.
Weee shost huijui vzur kijani, couz hujaish hapa nchini ila ouk bhana kuwa upande ambao unaona sahihi kwako. Relaaaax
 
Back
Top Bottom