katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,758
- Thread starter
- #21
Umeshawahi kuona mtu anafurahia kwao ila akija kujua hapo sio kwao niwamepanga sindokukata tamaa hicho chama kilipendwa sana ila kilijishusha kwa tundu .Weee shost huijui vzur kijani, couz hujaish hapa nchini ila ouk bhana kuwa upande ambao unaona sahihi kwako. Relaaaax
Hawakumsaidia matibabu.
Ni watu wengine ndio walijitolea akapona sasa ahadi zao hazijatimizwa basi.
Ndio maana chadema imeshuka daraja