Chadema Baada ya Uchaguzi 2015--Great Thinkers Only!

-Hapa nadhani tunaenda vizuri japo nimetoa pointi 11. ila umekomaa na hizi nne nadhani zile 7 umezikubali.
Kuhusu Jazba hiyo iko wazi wanavyofula mfano watu wawili wanajazba kweli. Tundu Lisu na Myika. Hii huenda hawajakomaa kisiasa.

-Lile la kuishiwa pesa tumelimaliza sawa?

-Jinsi ya uendeshaji wake inaprove kuwa ni kampuni (Chadema imesajiliwa kama chama lakini utendaji wake kama kampuni). Msajiri wa Chama hana mamlaka ya kuingilia utendaji kazi wa chama. Mtu mmoja anakuwa ndiye mwenye chama tofauti kabisa na maana ya chama.

-Kujiandikisha au kutokujiandikisha ni kubashiri. Mimi hapa nasema reality. Sawa kaka?

Tukopamoja
Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja.

Sasa mkuu, as a great thinker, unapokashifu au kutoa lugha ya kejeli na unaweka kama sababu ya CHADEMA kushindwa na unategemea wanajamvi tuijibu, nashindwa kukuelewa.

- Sababu hizo zina fanana( na UKICHUNGUZA vizuri utagundua ilikuwa ni sentensi moja ikagawanywa(being split)

-Sijakubaliana na hizo sababu ambazo sijazitolea maelezo kwa sababu hujaweka ushahidi/vielelezo mkuu..and i will be idiot just to comment kwa kitu kilicholetwa jamvini, kwa ushabiki tu mkuu.

Then kama ni saula kujiandikisha ni kutokuwa na uhakika ..why did it appear katika list ile uliyoiweka?
 
Naomab nikupe machache tu mengine nitakueleza siku nyingine
1. Ungonvi nda ni ya chama: Kumekuwa na ugonvi ndani ya chama cha chadema ambao unatuonesha wazi kuwa wao kwa wao wana uchu wa madaraka- Mfano kugombea umeya Mwanza. Hii ni picha tosha kabisa inayo nifanya ni prove kwamba chadema itagawanyika na kuwa na makundi ambayo wao kwa wao watajimaliza.

2. Kuongea kitu kile kile: Chadema wamekuwa wakiongea kitu kile kile ambacho kitakuja kuwagharimu maana watu watawachoka. Chadema wamekuwa ni watu wenye jazba, fujo, matusi na kutotii sheria. Mfano:- Mbowe akiwa kwenye mkutano Iringa mada ukawaumeisha akaambiwa aahirishe mkutano akaanza kutoa matusi na kusema hafungi mkutano na hakuna wakumfanya chochote.

3. Kuchukua wanachama waliotemwa: Imekuwa ni kasumba ya chadema kuchukua oili chafu mfano Shibuda, Marando nk. Wanaoingia ndani ya chama hicho baadae wanatengwa na kuonekana kama wako nchi ya ugeni. Kitu hiki ni hatari sana maan hao wanaweza wakawa vibaraka wa vyama walivyotoka maana vimewafundisha na kuwa lea.


Kaka ninayo mengi sana nitatoa maana sina mda wa kuandika kwa sasa!
Huu ndiyo utafiti wako? Kama ndiyo huu ni "Qualitative" au ni "Quantitative"? Annael acha maskhara bwana!!
 
Last edited by a moderator:
Tuambie kama unao na kama ni utafiti ni wa aina gani na hili inaegemea kwenye ile falsafa isemayo "kama huna utafiti huna haki ya kusema" au "No research no right to speak" NAKUSUBIRI!!
Akirudi najinyonga. labda arudi na points za kuungaunga
 
Sasa mkuu, as a great thinker, unapokashifu au kutoa lugha ya kejeli na unaweka kama sababu ya CHADEMA kushindwa na unategemea wanajamvi tuijibu, nashindwa kukuelewa.

- Sababu hizo zina fanana( na UKICHUNGUZA vizuri utagundua ilikuwa ni sentensi moja ikagawanywa(being split)

-Sijakubaliana na hizo sababu ambazo sijazitolea maelezo kwa sababu hujaweka ushahidi/vielelezo mkuu..and i will be idiot just to comment kwa kitu kilicholetwa jamvini, kwa ushabiki tu mkuu.

Then kama ni saula kujiandikisha ni kutokuwa na uhakika ..why did it appear katika list ile uliyoiweka?
Ngoja tu nitoe mfano mmoja ungonvi wa ndani ya cham wakati chama bado kichanga.
-Unakumbuka ule ugonvi wa mwanza juu ya umeya, chadema wanatakiwa wasiwe na ugonvi wowote kwa sasa maana tunataka tuone mfano kwao vilevile chama bado ni kichanga kuwa na ugonvi kunafanya makundi na yanapelekea milango ya kuvunjika chama.

Mfano mwingine ni kuhusu oil chafu. Wale walio temwa kutoka vyama vingine wanachukuliwa moja kwa moja tu ndani ya chadema. Mfano Shibuda, Marando nk. Baadaye watu hawa wanaterekezwa na kupigwa vijembe ndani ya chama na wanakumbuka kule walikotoka na baadaye wanageuka kuwa spy ndani ya chama. Hii inakifanya chama kuwa na makundi yasiyo ya lazima.

Nadhani hii inatosha kwa sasa.
 
Huu ndiyo utafiti wako? Kama ndiyo huu ni "Qualitative" au ni "Quantitative"? Annael acha maskhara bwana!!
Prove me wrong kwa point. I just used Qualitative research hapa. Kama sivyo toa opposit point sawa? Then nitakuja kukupa Quantitative research upo

Ila naomba utoe point sio kuuliza maswali then prove me wrong by point.
 
Umejipanga pekee yako na kuanzia 2013 watu wataanza kurudi CCM ukiwamo wewe la sivyo utaachana na siasa.
we refuse lower our standards to accommodate those who refuse to raise theirs as yu Annael mlamba viatu vya ssm
 
Last edited by a moderator:
ninakuhakikishia CDM itashinda tutapigana vita ajabu trust me hatuwezi kuishi maisha hata mpaka kufa.will see naisubiri sana 2015
Utapigana pekee yako na ukifanya fujo tunakutia ndani.
 
ninakuhakikishia CDM itashinda tutapigana vita ajabu trust me hatuwezi kuishi maisha hata mpaka kufa.will see naisubiri sana 2015

Mtapigana vita na nani wakati polisi tu mnaogopa kupambana nao.
 
Hivi wewe uchoki na Multiple ID's? watu kama nyie enzi zetu ni kutandika na katololo tu.
nitajie ID yangu nyingine unayoujua wewe na kama unajua iriport kwa mods.nitajie mkuu
 
For CHADEMA to go another level ni kwa kufanya maendeleo ya maana kwenye yale Majimbo ya Ubunge waliyo shinda 2010 na wanayaongoza kwa sasa. Kwa hilo watanishawishi 2015 nichukue kama mfano hivyo kufanya niwa-pigie kura. Only that is enough for me.
 
Utapigana pekee yako na ukifanya fujo tunakutia ndani.
wewe ni mtu mdogo sana kutamka hayo maneno pipozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr itakufunga mdomo wako nakuhakikishia nyie wote tutawawowa 2015 mtakuwa wapole sana hapa jamvini mtabaki kuriport watu kwa mods wapigwe ban
 
Ritz taja hiyo ID nyingine unayoisema usipotezee mambo yako ya kizush
 
Last edited by a moderator:
wewe ni mtu mdogo sana kutamka hayo maneno pipozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr itakufunga mdomo wako nakuhakikishia nyie wote tutawawowa 2015 mtakuwa wapole sana hapa jamvini mtabaki kuriport watu kwa mods wapigwe ban
Hizo hadith za hapo zamani za kale chadema........
 
Rosemarie, that is a good research, but bring deeper insights that will take CDM to the next level. It should be more than pen and paper. Moreover be optimistic. Do not give a room for defeat at all. Let us look forward for landslide victory in 2015. God is on our side. That is why you've never heard CCM invoking for the power of God
 
Back
Top Bottom