Wanafurahi kwasababu hawajui Kama wamepigwa Ban na EUHivi mmesoma shule gani nyie watu? Nikujitoa ufahamu kwa kuwa mko kwenye ulaji au ni kukosa akili?
Huu no USALITI mkubwa sana.Hawafai kuendelea kuwepo ndani ya chamaNakubali mkuu hatimae CHADEMA imekufa sasa mimi inaniuma sana hel yangu niliwachangia aisee.Si wangewaaacha tu CCM waendeshe nchi wenyewe bureee kabisa
😂😂🤣🤣🤣Nimecheka Asee...Hivi huku JF msalani ni wapi? Nimekula mafenesi basi nikichanganya na yanayojiri nchini tumbo linavuruga sana.
CDM .Nichamachake pamaja nawachagawenzie.nandiomaana yule dada wa.Geita hakupewa nafasiMbowe anaonesha dalili za uoga sna.CDM haipaswi kuendelea na watu wa dizaini hii
Wafute uanachama, anza kutengeneza wengine
CDM ni chama cha wananchi
Hao wabunge wameenda kinyume na msimamo wa CHAMANadhani CHADEMA imetumia busara kubwa hadi kuwaruhusu wabunge wa upinzani. CHADEMA wametumia akili kubwa.
Mkuu Bujibuji nilikuwa nakusikitikia sana, na Mshana, kwa jinsi ulivyokuwa unajitoa ufahamu kama mtoto wa juzi kumbe umeona chaguzi zote toka vyama vingi vilipoanza. Mkuu wewe hujui drama za wana siasa kaka?Nasikia eti wamepewa ulinzi, wanalindwa na usalama wa taifa
Ban ya nokoWanafurahi kwasababu hawajui Kama wamepigwa Ban na EU
Hujasikia ile kauli yake kwenye ile Video Clip?Wapinzani wachumia tumbo ndo wamejaa Tanzania, mpinzani wa kweli ni maalim self tu
Kwenda kule chadema chadema ndio Nini..si Sacco's tu..hivi unadhani. Watakula wapi jomba, na Wana familia watoto shule, magari ,madeni ya mikopo, we unafanya mchezo nini.?? Kama unasema utawalisha wote hao na kuwatimizia mahitaji yao kea miaka 5 jitokeze ili wajitoe..vinginevyo unawapigia kelele tu...Kuna ka msemo ka Kiswahili kanasema
"Hakunaga Umoja kwenye Njaa akitokea mwenye chakula "
Ni dhahiri shahiri huu msemo unatumika sasa kwa kile ambacho kinatokea na kinachoendelea kutokea ndani ya CHADEMA
Ni ujinga mkubwa kiasi gani kuona usaliti wa namna hii unatokea. Watu wamefungwa gerezani, kupigwa, kujinyima ili tu wapate haki yao halafu anatokea mtu ambaye alikua anawahimiza wananchi kujitolea anawasaliti mbele yao tena dakika za lala salama kabisa. Ina maana hawa wabunge wa CHADEMA walioapa kama Wabunge wateule wa viti maalumu hawajaona AIBU kabisa kwa usaliti wao huu!! Huku si kuwasaliti wanachama tu yaani umesaliti hata Nchi yao Mama.
Watu wanasaliti ilihali MAPAMBANO ya kutafuta haki bado yanaendelea. Inasikitisha sana
Halima Mdee na kikundi chake wamesaliti Nchi.Hawafai kufumbiwa macho kabisa.Wanafaa kuondolewa uanachama
Alamsiki
Game nyie hamliwezi, subiri huyo Mnyika wako kama ataropoka, na huyo Mbowe kama atajishebedua. Ukitaka kuona uzalendo ona jinsi halima alivyojielezea kwa adabu na heshima. Tulishawaambia muheshimu mamlaka, tufanye siasa za staha nyie mnataka kufanya siasa za ugomvi, kikubwa viongozi wenu wameelewa nyie nyumbu mtaelewa tuKuna ka msemo ka Kiswahili kanasema
"Hakunaga Umoja kwenye Njaa akitokea mwenye chakula "
Ni dhahiri shahiri huu msemo unatumika sasa kwa kile ambacho kinatokea na kinachoendelea kutokea ndani ya CHADEMA
Ni ujinga mkubwa kiasi gani kuona usaliti wa namna hii unatokea. Watu wamefungwa gerezani, kupigwa, kujinyima ili tu wapate haki yao halafu anatokea mtu ambaye alikua anawahimiza wananchi kujitolea anawasaliti mbele yao tena dakika za lala salama kabisa. Ina maana hawa wabunge wa CHADEMA walioapa kama Wabunge wateule wa viti maalumu hawajaona AIBU kabisa kwa usaliti wao huu!! Huku si kuwasaliti wanachama tu yaani umesaliti hata Nchi yao Mama.
Watu wanasaliti ilihali MAPAMBANO ya kutafuta haki bado yanaendelea. Inasikitisha sana
Halima Mdee na kikundi chake wamesaliti Nchi.Hawafai kufumbiwa macho kabisa.Wanafaa kuondolewa uanachama
Alamsiki
Hahahahaha wajameni mnakumbuka maandamano yasiyo na kikomo nchi nzima..yamefikia wapi wajameni..Mkuu uko kama miye. Na mijitu mingine mpaka inauliwa ikiwa mbele kwenye maandamano. Ukiiuliza unapigania nini hasa hata haijui. Halafu kesho na kesho kutwa hao hao unaowapigania mpaka kuhatarisha maisha yako unawakuta wako pamoja wanafakamia keki ya taifa. Utopolo mtupu na kamwe sitakaa nishabikie mwanasiasa !
Wachunga ng'ombe mmepewa vi-nafasi vya uongozi mara hii mnaanza kudharau watu eti ni ''maskini wa kutupwa''! Haya walikuwepo wenye fedha na nguvu kuliko nyie lakini waliishia mwisho mbaya. Dhulma na mauaji mnaowafanyia watu wasio na hatia mwisho wake waja na siyo mzuri. Bora nibaki ''maskini wa kutupwa'' kuliko kujiunga kujiunga kwenye kundi la wauaji na dhulmati !Una nini maskini wa kutupwa!
Pengine naweza kuwa nilishachangia! All ni all. Hakuna dude litakalopigania haki kwa niaba ya watanzani bali ni watanzania wenyewe.Sasa ukikaa tu home ndio chama kinakufa
Coz the way nimekuelewa ni kwamba wao wasingekwenda then sijui kama umewaza chama kingejiendesha vip?
Ww Leo tukikwambia changia mafuta Lita 1000 ya magari ya chama utatoa?
Kuna watu wana maneno walahWiki lazima iwendefu kwa maumivu, maana kuna watu wamekikeketa chama bila ganzi..
Fanya kama unainuka hivi halafu sukuma gesi itoke hautasikia tena tumbo kuvurugaHivi huku JF msalani ni wapi? Nimekula mafenesi basi nikichanganya na yanayojiri nchini tumbo linavuruga sana.
Hata uwezo wa kujiunga huna nani akuunge wewe vuvuzela.Wachunga ng'ombe mmepewa vi-nafasi vya uongozi mara hii mnaanza kudharau watu eti ni ''maskini wa kutupwa''! Haya walikuwepo wenye fedha na nguvu kuliko nyie lakini waliishia mwisho mbaya. Dhulma na mauaji mnaowafanyia watu wasio na hatia mwisho wake waja na siyo mzuri. Bora nibaki ''maskini wa kutupwa'' kuliko kujiunga kujiunga kwenye kundi la wauaji na dhulmati !
Kuna ka msemo ka Kiswahili kanasema
"Hakunaga Umoja kwenye Njaa akitokea mwenye chakula "
Ni dhahiri shahiri huu msemo unatumika sasa kwa kile ambacho kinatokea na kinachoendelea kutokea ndani ya CHADEMA
Ni ujinga mkubwa kiasi gani kuona usaliti wa namna hii unatokea. Watu wamefungwa gerezani, kupigwa, kujinyima ili tu wapate haki yao halafu anatokea mtu ambaye alikua anawahimiza wananchi kujitolea anawasaliti mbele yao tena dakika za lala salama kabisa. Ina maana hawa wabunge wa CHADEMA walioapa kama Wabunge wateule wa viti maalumu hawajaona AIBU kabisa kwa usaliti wao huu!! Huku si kuwasaliti wanachama tu yaani umesaliti hata Nchi yao Mama.
Watu wanasaliti ilihali MAPAMBANO ya kutafuta haki bado yanaendelea. Inasikitisha sana
Halima Mdee na kikundi chake wamesaliti Nchi.Hawafai kufumbiwa macho kabisa.Wanafaa kuondolewa uanachama
Alamsiki
Subiri 2025,watapiga nyomi mbili tatu kwenye kampeni halafu watakuja humu kukuuliza kama CHADEMA imekufa!.