superfisadi
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 553
- 52
walichofanya chadema ni sahihi ni bora kujifunza kutokana na makosa na inavyoelekea wanajifunza ndio maana kila uchaguzi angalau wanakaribia ushindi hasa hii wa biharamlo
Kwanza haina sababu ya kufanya hivyo. Pili, inachosha kusikia wimbo wao wa malalamishi kuhusu CCM, dola n.k lakini kubwa ni kupoteza mtaji wao wa kisiasa. Wamuunge mkono mgombea wa chama kingine wao fedha na raslimali ambayo wangeitumia huko kwanza warudi Busanda, Kiteto, Mbeya Vijijini, Tunduru n.k na majimbo mengine kama 70 tu na huko wajijenge kwa ajili ya 2010.
i. x,y
Mkuu heri hizi zimepakwa rangi je; tuendelee na zile ambazo hata rangu hazina??????Mkuu ni kweli mtupu unayoongea, inatakiwa watuonyeshe mbinu mbadala za uhakika na zenye tija mambo ya kusema eti nitakusanya kodi hivi na vile hilo hata mtoto wa shule ya msingi ana uwezo nalo kulisema.
Ndiyo mimi nikasema jogoo ni yule yule kapwaka rangi tofauti ,mbinu za CHADEMA ukiziangalia hazina tofauti na za ccm ,ila zimepakwa rangi tuu.
Mkuu heri hizi zimepakwa rangi je; tuendelee na zile ambazo hata rangu hazina??????
Bado ukweli utabakia kwamba Chadema pekee bila nguvu ya pamoja na vyama vingine haiwezi kumshinda CCM.
Kulingana na maneno ya Mrema, Biharamulo ilikuwa jimbo la TLP, hivyo ushindi wa wananchi wa Biharamuro ni kumwondoa TLP sii kushinda kwa Chadema wala CCM..kilichotokea huko Biharamuro ni wananchi kukiacha chama hicho na kujiunga na vyama vingine ikiwa na maana CCM wameongeza umaarufu wao baada ya kushindwa uchaguzi uliopita, na Chadema wameongeza umaarufu wao kwa kiwango kikubwa zaidi ya CCM kwa sababu hawakuwa nafasi walioshika leo.
Hivyo pamoja na kuibiwa kura ni muhimu tukubali kwamba hadi sasa hivi CCM aidha imesimama palepale pa mwaka jana kabla ya kuiba kura au imeongeza umaarufu wake kwa kuchukua asilimia ndogo ya wafuasi wa TLP.
Binafsi nitaendelea kuamini kwamba ipo haja kubwa sana ya Muafaka baina ya wapinzani hasa chama Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi..ambao kwa muda wamekuwa na matatizo baina yao.
Ni muhimu sana chama CUF na NCCR-Mageuzi wakubali dira ya Chadema ambayo inaonekana kuwavutia wananchi zaidi ya kushindana ktk uongozi..Kisha chama TLP wakubali kwamba wanapoteza umaarufu na p[engine ni wakati muafaka kwao kufanya mageuzi ya haraka iwekenavyo..
Nje ya hapo, tutakuwa tunajidanganya kufikiria kwamba Chadema imeweza kusimama na CCM wakati ushindi haukuwa wetu mahala ambapo CCM ilishindwa uchaguzi uliopita. Leo hii tukiweza kumwondoa CCM ni furaha yetu sote kuondoka kwa CCM ndiko kunatangulia zaidi ya amechukua nani kwani macho yetu wote ni kuona CCM imeanguka!
Yawezekana kabisa ndicho walichoomba wana Biharamulo - kuanguka kwa TLP.
Bado ukweli utabakia kwamba Chadema pekee bila nguvu ya pamoja na vyama vingine haiwezi kumshinda CCM.
Kulingana na maneno ya Mrema, Biharamulo ilikuwa jimbo la TLP, hivyo ushindi wa wananchi wa Biharamuro ni kumwondoa TLP sii kushinda kwa Chadema wala CCM..kilichotokea huko Biharamuro ni wananchi kukiacha chama hicho na kujiunga na vyama vingine ikiwa na maana CCM wameongeza umaarufu wao baada ya kushindwa uchaguzi uliopita, na Chadema wameongeza umaarufu wao kwa kiwango kikubwa zaidi ya CCM kwa sababu hawakuwa nafasi walioshika leo.
Hivyo pamoja na kuibiwa kura ni muhimu tukubali kwamba hadi sasa hivi CCM aidha imesimama palepale pa mwaka jana kabla ya kuiba kura au imeongeza umaarufu wake kwa kuchukua asilimia ndogo ya wafuasi wa TLP.
Binafsi nitaendelea kuamini kwamba ipo haja kubwa sana ya Muafaka baina ya wapinzani hasa chama Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi..ambao kwa muda wamekuwa na matatizo baina yao.
Ni muhimu sana chama CUF na NCCR-Mageuzi wakubali dira ya Chadema ambayo inaonekana kuwavutia wananchi zaidi ya kushindana ktk uongozi..Kisha chama TLP wakubali kwamba wanapoteza umaarufu na p[engine ni wakati muafaka kwao kufanya mageuzi ya haraka iwekenavyo..
Nje ya hapo, tutakuwa tunajidanganya kufikiria kwamba Chadema imeweza kusimama na CCM wakati ushindi haukuwa wetu mahala ambapo CCM ilishindwa uchaguzi uliopita. Leo hii tukiweza kumwondoa CCM ni furaha yetu sote kuondoka kwa CCM ndiko kunatangulia zaidi ya amechukua nani kwani macho yetu wote ni kuona CCM imeanguka!
Yawezekana kabisa ndicho walichoomba wana Biharamulo - kuanguka kwa TLP.
Sina cha kuongeza hapa mzee wangu MwanakijijiKwanza haina sababu ya kufanya hivyo. Pili, inachosha kusikia wimbo wao wa malalamishi kuhusu CCM, dola n.k lakini kubwa ni kupoteza mtaji wao wa kisiasa. Wamuunge mkono mgombea wa chama kingine wao fedha na raslimali ambayo wangeitumia huko kwanza warudi Busanda, Kiteto, Mbeya Vijijini, Tunduru n.k na majimbo mengine kama 70 tu na huko wajijenge kwa ajili ya 2010.
a. Kuandikisha wanachama wapya (kupata kura 22,000 si mchezo kwani kuna wanachama wangapi?)
b. Kufungua matawi mapya
c. Kutengeneza mtandao wa mafunzo kwa makada wake
d. Kutengeneza ajenda za mahali (hili nitalichambua baadaye)
e. Kubadilisha Katiba yake ili kilenge kushinda uchaguzi na kuunda serikali.
f. kulenga majimbo ya mjini ambako imekuwa ikikubalika kwa kufanya hayo ya a, b na c
g. Kubadili mkakati wa mahubiri yake, kuhubiri ufisadi hakuleti ushindi bali kuhubiri ujumbe wa matumaini dhidi ya ufisadi kutaleta. Wao watafanya nini. Hapa hawana budi kuradicalize their message. "tutawatafuta wale wote waliohusika na wizi wa fedha umma, tutawawajibisha, na walioficha fedha nje tutahakikisha zinarudishwa ndani ya muda x).
h. Wahamishe makazi yao toka Dar na kuamia vijijini; Dar iwe pa kuja kuchaji tu.
i. x,y
Asante kwa mchango wako Kaka yangu, Sina cha kuongeza kwa i was thought kama wewe na michango hiyo piaBado ukweli utabakia kwamba Chadema pekee bila nguvu ya pamoja na vyama vingine haiwezi kumshinda CCM.
Kulingana na maneno ya Mrema, Biharamulo ilikuwa jimbo la TLP, hivyo ushindi wa wananchi wa Biharamuro ni kumwondoa TLP sii kushinda kwa Chadema wala CCM..kilichotokea huko Biharamuro ni wananchi kukiacha chama hicho na kujiunga na vyama vingine ikiwa na maana CCM wameongeza umaarufu wao baada ya kushindwa uchaguzi uliopita, na Chadema wameongeza umaarufu wao kwa kiwango kikubwa zaidi ya CCM kwa sababu hawakuwa nafasi walioshika leo.
Hivyo pamoja na kuibiwa kura ni muhimu tukubali kwamba hadi sasa hivi CCM aidha imesimama palepale pa mwaka jana kabla ya kuiba kura au imeongeza umaarufu wake kwa kuchukua asilimia ndogo ya wafuasi wa TLP.
Binafsi nitaendelea kuamini kwamba ipo haja kubwa sana ya Muafaka baina ya wapinzani hasa chama Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi..ambao kwa muda wamekuwa na matatizo baina yao.
Ni muhimu sana chama CUF na NCCR-Mageuzi wakubali dira ya Chadema ambayo inaonekana kuwavutia wananchi zaidi ya kushindana ktk uongozi..Kisha chama TLP wakubali kwamba wanapoteza umaarufu na p[engine ni wakati muafaka kwao kufanya mageuzi ya haraka iwekenavyo..
Nje ya hapo, tutakuwa tunajidanganya kufikiria kwamba Chadema imeweza kusimama na CCM wakati ushindi haukuwa wetu mahala ambapo CCM ilishindwa uchaguzi uliopita. Leo hii tukiweza kumwondoa CCM ni furaha yetu sote kuondoka kwa CCM ndiko kunatangulia zaidi ya amechukua nani kwani macho yetu wote ni kuona CCM imeanguka!
Yawezekana kabisa ndicho walichoomba wana Biharamulo - kuanguka kwa TLP.
Walichofanya Chadema mpaka sasa ni sahihi, na mafanikio yameonekana. Kuongeza idadi ya wapiga kura wanaokiunga mkono sio jambo dogo.
Naelewa humu kuna wapotoshaji waliosomea, na pengine wanalipwa kwa kazi hiyo, ili ionekane Chadema imekosea njia. Mimi naamini kabisa mafanikio wanayoyapata (ukiachilia mbali kuukosa ubunge) ni makubwa na ya kujivunia.
Mkumbuke jambo moja: Upinzani Tanzania umejengwa zaidi kwa influence ya mtu mmoja mmoja, kama Seif Shariff kule Zanzibar, na Mrema huku Bara. Kudorora kwa hawa ndio imekuwa kudorora kwa vyama. Lakini kwa Chadema hali ni tofauti. Hiki ni chama-taasisi, na sio chama-mtu.
Kwa hilo tu, big up Chadema! Wasomi wengi na walalahoi watawafuateni.