Kitakachoiokoa NCHI hii toka mikononi mwa CCM ni pale tu WAGOMBEA HURU watakaporuhusiwa. Bahati mbaya kabisa ruhusa hii inatakiwa itolewe na SERIKALI ya CCM. Kwa sasa tuendelee tu na hizi blah blah za kuitaka CHADEMA, CUF, TLP,...wafanye hiki; waache kile;
Tatizo letu ni KATIBA.
Tatizo letu ni KATIBA.